Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
# ROCA FELLAUnafanya vizuri, na utafanya vizuri zaidi ikiwa utajitengenezea utaratibu wa kukuwezesha kusoma kila siku.
AMIIN YA RAAB ATASAIDIA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
# ROCA FELLAUnafanya vizuri, na utafanya vizuri zaidi ikiwa utajitengenezea utaratibu wa kukuwezesha kusoma kila siku.
Vitabu vya Kiswahili vipo vingi tu,Umejibu vema sana
1.vimeandikwa lugha Yao.
2.Bei ni rafiki kwa uchumi wao
Kitabu gani mkuu? Mimi vitabu vingi nanunua 10,000-15,000 tena najua huyu jamaa ananipiga. Ingawa hivi vitabu bei halisi si chini ya 100,000 ila wanafyatua copies mjini hapa.Kuhusu bei nakubali 100%kwetu watu masikini sana tunahangaika na shillings za kula,kitabu elfu 30 anasa,Mimi Kuna kitabu kinauzwa 120k,Kila nikifikiria gharama najikuta naghairi,
Mama yake Dr Carson aliwapa hii task Dr Carson na ndugu yake. Imagine huyo mama alikuwa hajui kusoma.Kuna jamaa mmoja yeye alisema anaingia deal na mtoto wake asome kitabu akimaliza amweleze alichosoma jamaa amlipe dogo....
jamaa anasema dogo anadhan analipwa kumbe anafanya aje kuwa msomaji akikua.
Wanaimba mapiano na lusikiliza mp3 playerHuku bongo watoto kushinda kwenye tv akikuona unachezea simu analilia umuwekee game au katuni tu
Kitabu gani mkuu? Mimi vitabu vingi nanunua 10,000-15,000 tena najua huyu jamaa ananipiga. Ingawa hivi vitabu bei halisi si chini ya 100,000 ila wanafyatua copies mjini hapa.
nko madagascar kwa sasa wewe uko wapiuko wap
wanapiga style zote za mapiano utaskia hii inaitwa umlando 🙄🙄 mqcho juu kama anaumwa ugweduroWanaimba mapiano na lusikiliza mp3 player
Hata nyimbo za singeli wanazijua zotewanapiga style zote za mapiano utaskia hii inaitwa umlando 🙄🙄 mqcho juu kama anaumwa ugweduro
huko ndo usiongee kbsaHata nyimbo za singeli wanazijua zote
Hayo majina mnayowaita Wazungu nyie mko tayari kuitwa?Achana na HUYO Mzungu KOKO ni Mpogolo wa Morogoro nimekwambia Mzungu wa Wall Street pale New York nitajie mmoja nani mwenye Maktaba kubwa ya Kiswahili?
Kule kuna free wifi na mtv wa kwendaHivi tanganyika library kuna mahudhurio kweli
Maana wakati wetu tunasoma hizo sehemu ilikuwa laZima uende
Kujisomea vitabu mbalimbali
Badaye tena ilipokuja American library tukawa tunapavamia pia
Ova
Vinzur San, vp huyo Kwa picha ndio wew🤒😋# roca fella
Hata mimi ni msomaji kiasi wa vitabu pale ninapo pata nafasi huwa ninafurahia tukio hilo kwa maana kusoma ni kuongeza maarifa na kupata mwangaza.
Sidhani kama lugha ndiyo tatizo. Vitabu vilivyotafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili ni vingi sana nchini lakini wasomaji ni wachache mno ukilinganisha na mataifa mengine.Sababu vimeandikwa lugha yao ya nyumbani, wewe unataka kuniambia Watoto wa Mama Ntilie haukukisoma? Machozi Jasho na Damu haukukisoma? Rais anamtaka Mke wangu haukukisoma? Vingeandikwa kigriki ungesoma?
Bei Jing ngapi?Sidhani kama lugha ndiyo tatizo. Vitabu vilivyotafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili ni vingi sana nchini lakini wasomaji ni wachache mno ukilinganisha na mataifa mengine.
Hata wasomi wengi wa Tz huwa wakishatunukiwa shahada zao hupeana talaka na vitabu. Ni tofauti na kwa "wenzetu", wao wamefanya urafiki na vitabu.
Hata vya sh 2,000/= vipo. Inategemeana kama ni vitabu au tuvitabu!Bei Jing ngapi?
Mkuu unaona sasa what came out of that task...Mama yake Dr Carson aliwapa hii task Dr Carson na ndugu yake. Imagine huyo mama alikuwa hajui kusoma.
ha ha ha ha ha ha! daah sijui ni lini tutaamkaHuku bongo watoto kushinda kwenye tv akikuona unachezea simu analilia umuwekee game au katuni tu
tuna safari ndefu sanaha ha ha ha ha ha! daah sijui ni lini tutaamka