Mzalendo120
JF-Expert Member
- Jul 2, 2022
- 1,842
- 2,410
Hoja yenye mashikoSababu vimeandikwa lugha yao ya nyumbani, wewe unataka kuniambia Watoto wa Mama Ntilie haukukisoma? Machozi Jasho na Damu haukukisoma? Rais anamtaka Mke wangu haukukisoma? Vingeandikwa kigriki ungesoma?
Utafanya vizuri endapo utamwambukiza alau mtu mmoja hiyo tabia ya usomaji.Mkuu unaona sasa what came out of that task...
Vitabu ni muhimu sana.... Nimekuwa msomaji sana siku za karibuni duuh sijui nilikuwa wapi siku zote, my life is changing for the better hata hapa nipo na kitabu changu nasoma.
PointSababu vimeandikwa lugha yao ya nyumbani, wewe unataka kuniambia Watoto wa Mama Ntilie haukukisoma? Machozi Jasho na Damu haukukisoma? Rais anamtaka Mke wangu haukukisoma? Vingeandikwa kigriki ungesoma?
Wanangu labda ndo inawezekana maana ntakuwa na direct influence japo kwa sasa sijapata watoto.Utafanya vizuri endapo utamwambukiza alau mtu mmoja hiyo tabia ya usomaji.
Hujaamua kufuatilia tu. Mimi nasoma vitabu vya tech na vingi Amazon vinaanzia laki moja ila nivapata free kwa pdf format kwenye magroup na online libraries.Kuhusu bei nakubali 100%kwetu watu masikini sana tunahangaika na shillings za kula,kitabu elfu 30 anasa,Mimi Kuna kitabu kinauzwa 120k,Kila nikifikiria gharama najikuta naghairi,
Hawana stress, hivi huna Akira, unadaiwa kodi, Ada za shule, bado wazazi wanakutegemea hiko kitabu hata ukisoma utaelewa?Waafrika wanasoma vitabu, lakini Wazungu wana wasomaji wengi zaidi kuzidi Waafrika.
Kwa Wazungu, usomaji wa vitabu ni kama sehemu ya maisha ya wengi wao.
Unajua ni kwa nini? Naamini ni kwa sababu wamelelewa hivyo! Walijengewa hiyo tabia tokea wakiwa wadogo sana.
1. Wanaweza wasiwe wote, lakini nafahamu kuwa Wazungu wana kawaida ya kuwasomea watoto wao vitabu pindi wanapojiandaa kulala. Mtoto anapoingia kitandani kulala, mzazi huketi pembeni yake na kumsomea kitabu mpaka asinzie.
2. Wengine huanza kuwasomea watoto wao vitabu tokea wakiwa tumboni. Huamini kuwa kufanya hivyo kutasaidia kuifinyanga tabia ya mtoto tokea akiwa tumboni mwa mamaye.
3. Nao wenyewe ni wasomaji. Ni rahisi mtoto kuiga kile anachokiona kwa wazazi wake. Watoto wa wasomaji huishia kuwa wasomaji.
Hizo ni baadhi ya mbinu wanazozitumia. Yeyote anaweza kuzitumia kuwajengea watoto wake tabia ya kujisomea vitabu vizuri.
Sipendi kusoma PDFHujaamua kufuatilia tu. Mimi nasoma vitabu vya tech na vingi Amazon vinaanzia laki moja ila nivapata free kwa pdf format kwenye magroup na online libraries.
Aisee mimi kitabu mpaka nisome hard copy. Nimeshindwa kusoma vya mtandaoni. Nimesoma vichache sana. Pia napenda nivione kabatini.Hujaamua kufuatilia tu. Mimi nasoma vitabu vya tech na vingi Amazon vinaanzia laki moja ila nivapata free kwa pdf format kwenye magroup na online libraries.
Kitabu kinaweza kuwa njia ya kupunguza stress. Kudaiwa kodi,ada ni vitu vya kawaida kwenye maisha.Hawana stress, hivi huna Akira, unadaiwa kodi, Ada za shule, bado wazazi wanakutegemea hiko kitabu hata ukisoma utaelewa?
Hayo magazeti yote kwa sasa naweza kusema yamekuwa replaced na mitandao kama ifuatavyo.Kipindi niko mdogo sikumudu kusoma vitabu ila nilikuwa nasoma kila toleo la
1. Sani
2. Tabasamu
3. Bongo
Ila nilikuwa napenda sana kusoma coz mshua Alini-inspire kusoma ( kwa yeye kutokujua kusoma na kuandika 😭😢) nilikuwa namsomea magazeti.
Mkuu vitabu ni vizuri mno ila possibility ya Mtanzania wa hali ya chini kuwa na muda wa kusoma vitabu kwa sisi wapambanaji ni ngumu. Wenye uchumi stable kamba wazee walioko kwenye cabinet na mifumo ya hela ni rahisi kusoma.Kitabu kinaweza kuwa njia ya kupunguza stress. Kudaiwa kodi,ada ni vitu vya kawaida kwenye maisha.
kuamka sahauha ha ha ha ha ha! daah sijui ni lini tutaamka
😂Inategemea na aina gani ya Story Mimi huwezi ukaniandikia Story ndefu Mwanzo mwisho unamsifia Malaya fulani aliekua anakupa mbunye kwenye Gari lako huo ni usenge
lakini ajabu zaidi hata hao stable's hawasomi. reading culture ni utamaduni mgumu kwa watu wa ukimaniMkuu vitabu ni vizuri mno ila possibility ya Mtanzania wa hali ya chini kuwa na muda wa kusoma vitabu kwa sisi wapambanaji ni ngumu. Wenye uchumi stable kamba wazee walioko kwenye cabinet na mifumo ya hela ni rahisi kusoma.
Ni tabia tu. Kusoma inaweza kuwa ndio muda wako wa kupumzika. Hao watu wa chini uwasemao ndio wanaongoza kukaa vijiweni.Mkuu vitabu ni vizuri mno ila possibility ya Mtanzania wa hali ya chini kuwa na muda wa kusoma vitabu kwa sisi wapambanaji ni ngumu. Wenye uchumi stable kamba wazee walioko kwenye cabinet na mifumo ya hela ni rahisi kusoma.
Mkuu lugha siyo kii ngereza na kiswahili tu, ziko nyingi. Ni kawaida kabisa kumkuta mfaransa ana vitabu vilivyoandikwa kwa kiingereza, kispaniola na kiitaliano. Au hoja yako nn?Ukimkuta Mzungu ana Maktaba kubwa imejaa Vitabu vya Kiswahili nitafute nikulipe dollar 100,000