hobbies pia mkuuNi tabia tu. Kusoma inaweza kuwa ndio muda wako wa kupumzika. Hao watu wa chini uwasemao ndio wanaongoza kukaa vijiweni.
Huhitaji muda mrefu kusoma hata nusu saa, pages 2/3 kitabu kimoja kwa mwezi inatosha.
Haya mzee wa road tripKitabu kinaweza kuwa njia ya kupunguza stress. Kudaiwa kodi,ada ni vitu vya kawaida kwenye maisha.
Umewaza vema mkuu, sawa kabisa maisha yalikuwa mazuri pia back then.Hayo magazeti yote kwa sasa naweza kusema yamekuwa replaced na mitandao kama ifuatavyo.
1.Sani - Facebook
2.Tabasamu- Instagram
3. Bongo - Twitter/X
Mboni haujasema Mfaransa umemkuta na kitabu cha Kiswahili?Mkuu lugha siyo kii ngereza na kiswahili tu, ziko nyingi. Ni kawaida kabisa kumkuta mfaransa ana vitabu vilivyoandikwa kwa kiingereza, kispaniola na kiitaliano. Au hoja yako nn?
Kiukweli kiswahili siyo lugha ya kujifunza, ndiyo maana huoni ikisomwa huko duniani.Mboni haujasema Mfaransa umemkuta na kitabu cha Kiswahili?
Duuuuh HII mpya kabisaKiukweli kiswahili siyo lugha ya kujifunza, ndiyo maana huoni ikisomwa huko duniani.
Haina utajiri wa maarifa yoyote. Hata wanaoipigia debe ukiwasikiliza wanaishia kusema "kiswahili ni lugha tamu kama titi la mama".
Lugha imebeba majungu, umbea na masikitiko tu.
Mkuu hiyo prof pic vepe au ndo maarifa uliyoongezewa na vitabu unavyosoma.# roca fella
Hata mimi ni msomaji kiasi wa vitabu pale ninapo pata nafasi huwa ninafurahia tukio hilo kwa maana kusoma ni kuongeza maarifa na kupata mwangaza.
Unataka tukutombe au? Nakuona mda mrefu unatuma signal kwenye avatar mara umeweka tako umetubong'olea leo unatuonesha Papa tukueleweje?# roca fella
Hata mimi ni msomaji kiasi wa vitabu pale ninapo pata nafasi huwa ninafurahia tukio hilo kwa maana kusoma ni kuongeza maarifa na kupata mwangaza.
# Roca fellaUnataka tukutombe au? Nakuona mda mrefu unatuma signal kwenye avatar mara umeweka tako umetubong'olea leo unatuonesha Papa tukueleweje?
Fema majarida hayakuwai kunipita kila yakitoka.Vitabu vya Kiswahili vipo vingi tu,
Majarida ya Kiswahili yapo mengi,
Fikiria hili,
Kule sekondari Kuna vitabu vya Kiswahili, vya riwaya
Katika darasa watoto wawili au watatu watasoma Ila wengine ambao Ni wengi wanakomaa na summary za mwalimu tu
Hapo unapata picha gani?
Kitabu ambacho kila mtu atasoma ni Ngoswe!
Kitabu Cha KUSADIKIKA Cha Shaaban Robert, ambacho hakina maudhui ya mapenzi, kinasomwa na wanafunzi wawili ambao wanaasili ya upenzi wa kusoma vitabu
Kuna haya majarida ya Fema, yanagawiwa mashuleni
Yanatoa Elimu mbalimbali za Makuzi, usafi, afya, maadili, mazingira, Uongozi n.k
Lakini hautakuta watoto wanachukua muda wao kusoma wapate Elimu,
Mara chache tu watasoma zile katuni Basi
Tabia ya kupenda kusoma ni janga kwetu,
Ni upumbavu kuanza kujitetea katika hili
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
ππππhivyo ndio vilugha vyao mbna hata hapa kuna watu wanamudu vilugha vitatu vinne ukiacha kiswahili na kingreza.Mkuu lugha siyo kii ngereza na kiswahili tu, ziko nyingi. Ni kawaida kabisa kumkuta mfaransa ana vitabu vilivyoandikwa kwa kiingereza, kispaniola na kiitaliano. Au hoja yako nn?
π¨πKusoma vitabu ni tabia ambayo ukishaijenga hauwezi kuiacha.
Wala haina uhusiano na uchumi kuwa tajiri ,uchumi wa kati au uchumi wa chini.
Mimi binafsi nimeanza kusoma vitabu kupitia majarida ya FEMA.
Ila niongee tu ukweli vitabu vizuri vineandikiwa katika lugha ya kiingereza na hii yaweza kuwa kikwazo watu kutokusoma vitabu Sana.
Wazungu wanaelewa msingi mkubwa wa maarifa unapatikana vitabuni. Maana vitabu ni experience za wat u za maisha na utafiti.
Wasomi ambao hawajitambui ni kwasababu hawasomi vitabu
Weka na HII basi# Roca fella
kuweka picha katika profile haihisiani na suala la ngono,
nimeweka picha kwa mapenzi yangu ingawaje Mimi ni jinsia ya kiume.
Naelewa hiyo hali ila kama ishu ni cost inabidi nifanye hivyo. Kwenye simu na PC nina vitabu ambavyo naweza jaza chumba kizima. Na vingi ni vya 2022, 23, 24. Kuna hiki nimekipata juzi kimetoka mwezi huu. Bei yake Amazon ni 150k. Plus cost ya usafirishaji inakuwa kama 250k+. Hicho ni kimoja vikiwa vingi gharama yaweza kufikia ya mradi kabisa. Na sahivi nishazoea kabisa hivyo kiwe cha kushika mkononi au soft copy kama pdf na epub, kwangu ni sawa tu.Aisee mimi kitabu mpaka nisome hard copy. Nimeshindwa kusoma vya mtandaoni. Nimesoma vichache sana. Pia napenda nivione kabatini.
Kusoma vitabu ni tabia ambayo ukishaijenga hauwezi kuiacha.
Wala haina uhusiano na uchumi kuwa tajiri ,uchumi wa kati au uchumi wa chini.
Mimi binafsi nimeanza kusoma vitabu kupitia majarida ya FEMA.
Ila niongee tu ukweli vitabu vizuri vineandikiwa katika lugha ya kiingereza na hii yaweza kuwa kikwazo watu kutokusoma vitabu Sana.
Wazungu wanaelewa msingi mkubwa wa maarifa unapatikana vitabuni. Maana vitabu ni experience za wat u za maisha na utafiti.
Wasomi ambao hawajitambui ni kwasababu hawasomi vitabu
Kukuza akili kwa usomaji wa vitabu ni jambo muhimu sana ,ila kukuza ufahamu ili uandike vitabu ni jambo kubwa zaidi.