Raphael Thedomiri
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 442
- 729
Soma swali langu vizuri.Hili nshakujibu. Nshakuambia mfano wa series za namba 1, 2, 3, 4...hazina mwisho kwasababu unaweza ukaendelea kuongezea Moja mbele milele na milele na usifike mwisho.
Kama unadai zina mwisho utaje apa, ni namba gani hiyo ya mwisho?? Mimi ntakuambia ijumlishe na moja.
Soma jibu langu vizuriSoma swali langu vizuri.
Hujajibu swali.Soma jibu langu vizuri
Mwanadamu bhana kapewa pumzi baada ya kumshukuru Muumba wake yeye anamkufuru kama hivi
Subiri siku iyo pumzi ikate ndo utamjua Mungu vizuri kma saivi hutaki kumjua
Huo ni uamuzi wake yeye Mwenyewe[Muumba] na yeye tu ndo anajua kwanini unaumba hivo.
Hivi wewe unajua siku yako ya kufa? Unajua kifo chako kitakuaje?
Hicho kifo nani au nini kilikiweka?
Ukisema MUNGU aliumbwa na binadamu njoo na majibu yote yenye utata kuhusu ulimwengu na mauti.
Kama huna majibu yaliyopelekea watu kuamini uwepo wa MUNGU ni kupoteza muda.
NB: Watu wanaamini kuhusu MUNGU sababu binadamu amefeli kujibu ulimwengu ni nn na kifo ni nn na vimetokana na nn.
Mungu anakuzoom tu unavyojishongondoa humu ngoja zamu yake ifike utajamba upepo sio upepo hewa sio hewa
Na uzima wa Milele ndio Huu, Wakujue Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma.
Yohana 17.3.
Ila Quran.
Imeandikwa na Jesuit+ Mohamed+ Shetani+ Majini.
MJUE SANA MUNGU.
SOMA SANA BIBLIA.
Utoto wako umeanza kwa kusema Mungu ameumbwa na mwanadamu na nikikuuliza binadamu ametoka wapi au kaletwa na nani?? Si ndo utaniletea hoja za mtoto wa chekechea.
Huna lolote unalojua wewe pamoja na kufatilia hili jukwaa kwa miaka miwili bado hujapata kitu cha kutushawishi zaidi ya kutaka watu wakujazie comments Tu "NI KIJANA KIMWILI ILA KIFIKRA WE NI MZEE TENA KIKONGWE" Huna tofauti na mtoto aliyetoka kuachishwa kunyonya na mama yake
Mungu sio wa showOff ndio maana kaweka uhuru wa kuamini au kutokuaminiKama unajua kuwa yupo, kwanini usimwite ajitokeze aje kumjibu huyu jamaa?
#YNWA
Dogo usitafute sifa kupitia MUUMBA wako, kama nilivyokushauri hapo juu uvitazame na utafakari ni namna gani vingeweza kuwepo bila nguvu ya uumbaji na haujatilia maanani.
Kama tu ambavyo huwezi kuyageuza macho yako na kukitazama kisogo chako tambua pia fikra na akili zako zina ukomo, hivyo utakuwa sahihi sana kuamini uwepo wa MUNGU.
Mungu sio wa showOff ndio maana kaweka uhuru wa kuamini au kutokuamini
Sitajibu huu ujinga wako utapambana mwenyewe
Mzee unadhani kila mtu anaishi kwa shemeji kama wewe? yaani nipoteze muda wangu kukuthibitishia kuwa wewe ni cha asubuhi, like seriously? nyie vijana falsafa zinawaharibu sana na sijui mnatoa wapi ujasiri wa aina hii.
Na mnapojificha ni hapo kwenye upuuzi wa thibitisha thibitisha, yaani nikuthibitishie kuwa wewe ni mwafrika na unajiona mwenyewe kwenye kioo ulivyo mweusi tii na pua kubwa ya kibantu, mkuu sina muda wa kupoteza wewe kama unaona hiyo picha ni ya mtoto wa mbuzi, fine.
MUNGU anatetewa?Umeshindwa kumtetea Mungu umeamua kumu-attack mtu personally.
#YNWA
Unadhani mungu ni gatusso sio, aje akujibu wewe mwana jamiiforums kuweni na adabu wazee, hakuja kuwajibu babu zenu tangu enzi ya nuhu ndio aje kujibu leo? hatowajibu na atakuja kuwauliza nyote ana kwa ana siku ya mwisho.Sasa si umwite Mungu ajitokezee Mwenyewe kuthibitisha...
Mungu yupo sawa, ila kwenye utetezi kwanini tunatumia nguvu nyingii kumtetea ilihali yeye mwenyewe yupo?
#YNWA
MUNGU anatetewa?
Unadhani mungu ni gatusso sio, aje akujibu wewe mwana jamiiforums kuweni na adabu wazee, hakuna kuwajibu babu zenu tangu enzi ya nuhu ndio aje kujibu leo? hatowajibu na atakuja kuwauliza yote ana kwa ana siku ya mwisho.