Unajua Mungu aliumbwa na nani?

Hilo swali utajiuliza na ninakuhakikishia hautapata jibu, utawauliza wanafalsafa hautapata jibu! Kibaya zaidi utawauliza wanateolojia(waliomjifunza Mungu) na bado hawatakupa jibu!!

Kwa hiyo mimi nikukatishe tamaa kabisa kwamba hakuna jibu la swali lako.
 
Soma swali langu vizuri.
 
Mwanadamu bhana kapewa pumzi baada ya kumshukuru Muumba wake yeye anamkufuru kama hivi

Subiri siku iyo pumzi ikate ndo utamjua Mungu vizuri kma saivi hutaki kumjua

Mtu akishakufa ndio Mungu hujulikana, kwahiyo tukiwa hai hawezi kujulikana mpaka pumzi ikate?

#YNWA
 
Huo ni uamuzi wake yeye Mwenyewe[Muumba] na yeye tu ndo anajua kwanini unaumba hivo.
Hivi wewe unajua siku yako ya kufa? Unajua kifo chako kitakuaje?
Hicho kifo nani au nini kilikiweka?

Kama huwezi kumjibia KWANINI UNAMTETEA?
Mwache ajitetee mwenyewe.

#YNWA
 

Kwanini huwa mnapenda kutumia KIFO na KUKATIKA PUMZI kama defend ya uwepo wa Mungu?

Hatuna point nyengine ZAIDI YA KIFO?

#YNWA
 
Na uzima wa Milele ndio Huu, Wakujue Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma.

Yohana 17.3.

Ila Quran.
Imeandikwa na Jesuit+ Mohamed+ Shetani+ Majini.

MJUE SANA MUNGU.
SOMA SANA BIBLIA.

Kila mwenye dini HUVUTIA PAKWAKE.

Kwanini Mungu asiweke mambo kirahisi ili tujue dini ya kweli kirahisii bila misuguano?

#YNWA
 
Utoto wako umeanza kwa kusema Mungu ameumbwa na mwanadamu na nikikuuliza binadamu ametoka wapi au kaletwa na nani?? Si ndo utaniletea hoja za mtoto wa chekechea.

"Watu wa Mungu" Hamuwezi kujibu hoja bila kum "attack" mtoa hoja?
Hamuoni hata huyo Mnayemyetea anawashangaa?

#YNWA
 

Mungu ndio ANAYATAKA HAYA?

#YNWA
 

Kwanini watetezi wa Mungu mnaopenda kutumia vitisho ili mshinde hoja?

#YNWA
 

Sasa si umwite Mungu ajitokezee Mwenyewe kuthibitisha...

Mungu yupo sawa, ila kwenye utetezi kwanini tunatumia nguvu nyingii kumtetea ilihali yeye mwenyewe yupo?

#YNWA
 
Sasa si umwite Mungu ajitokezee Mwenyewe kuthibitisha...

Mungu yupo sawa, ila kwenye utetezi kwanini tunatumia nguvu nyingii kumtetea ilihali yeye mwenyewe yupo?

#YNWA
Unadhani mungu ni gatusso sio, aje akujibu wewe mwana jamiiforums kuweni na adabu wazee, hakuja kuwajibu babu zenu tangu enzi ya nuhu ndio aje kujibu leo? hatowajibu na atakuja kuwauliza nyote ana kwa ana siku ya mwisho.
 
MUNGU anatetewa?

Unatakomaa kuthibitisha kuwa yupo "Unafanya nini?," Una " Prove his existence" unatetea uwepo wake.

Nadhani, ikifike wakati waislamu waache kubeba silaha ili kumtetea yeye na sheria zake.

Wakristo tuache kuchanganya madesa "Nani (kanisani gani) yupo sahihi?""

Ajitokeze mwenyewe AMALIZE KESI.

#YNWA
 
Unadhani mungu ni gatusso sio, aje akujibu wewe mwana jamiiforums kuweni na adabu wazee, hakuna kuwajibu babu zenu tangu enzi ya nuhu ndio aje kujibu leo? hatowajibu na atakuja kuwauliza yote ana kwa ana siku ya mwisho.

Ni kawaida yenu.

Huwa mnatumia vitisho kumaliza hoja zenu.

Kama serikali, ikiona mmezidi "Wanawatumia vitisho tu ili muogope"

Na hasa misikitini kumejaaa vitishoooo tu vya kifooo yaani ni full vitishoooo.

Haya nishaogopa NANYAMAZA.

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…