Raphael Thedomiri
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 442
- 729
Hilo swali utajiuliza na ninakuhakikishia hautapata jibu, utawauliza wanafalsafa hautapata jibu! Kibaya zaidi utawauliza wanateolojia(waliomjifunza Mungu) na bado hawatakupa jibu!!
Kwa hiyo mimi nikukatishe tamaa kabisa kwamba hakuna jibu la swali lako.
Kwa hiyo mimi nikukatishe tamaa kabisa kwamba hakuna jibu la swali lako.