Cornwallis
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 940
- 853
- Thread starter
-
- #161
Ametuumba ili tuje tumtafute?I have a personal experience kuhusu Mungu. Ukimtafuta ataonekana kwako.
Tunazidi kwenda mbali....yaliyo gizani ni yapi? Unaweza kutoa uthibitisho?Hizo ni fafanuzi za kujazia.
Macho ya rohoni ni uwezo binafsi wa mtu kuona na kujua yaliyo gizani
Sina wasiwasi na chanzo cha mungu kwa sababu hayupoWewe ni yupi kati ya hawa, mkanamungu au mwenye wasiwasi wa chanzo na uwepo wa Mungu?
Yaliyo gizani mfano uchawi, wachawi,majini, ,mapepo, mizimu, laana, mikosi kwa uchacheTunazidi kwenda mbali....yaliyo gizani ni yapi? Unaweza kutoa uthibitisho?
Kwa hio wewe ni mkanamunguSina wasiwasi na chanzo cha mungu kwa sababu hayupo
Unaamini vipo au unajua?Yaliyo gizani mfano uchawi, wachawi,majini, ,mapepo, mizimu, laana, mikosi kwa uchache
Sikubaliani na dhana ya uwepo wa MunguKwa hio wewe ni mkanamungu
Kwa mantiki hio wewe ni MkanaMunguSikubaliani na dhana ya uwepo wa Mungu
Naamini na najua piaUnaamini vipo au unajua?
Sijaelewa hoja yako ni ipi.Don't talk out loud,you lower the IQ of the whole street. [emoji2960]
Ama una amini ama unajua.Naamini na najua pia
Kama huna uhakika kuwa si MUNGU unahakika kuwa ni nani? MUNGU anatajwa kwa sababu ww usiyetaka atajwe hujasema ni nani aliyefanya haya . Ukitaka watu waseme si MUNGU aliyefanya haya sema aliyeyafanya. Kama hakuna aliyefanya basi MUNGU ataendelea kuwepo hata kama kuna wasiotaka awepo.Huo mfano wa chungu na Mungu vinaendana kweli?
Atleast Chungu tunajua kimetengenezwa na binadamu..pamoja na kuwa kinaweza kupelekwa na mto porini.
Lakini Mungu hata hatuna uhakika kama yupo achilia mbali kama aliumba ulimwengu.
NdioKwa mantiki hio wewe ni MkanaMungu
NdKwa mantiki hio wewe ni MkanaMungu
Unataka kujenga hoja ipi? Vitu kama hujui usifatilie?Daah vijana mkishashiba mnaanza kuwaza mambo ya ajabu, kuna vitu vingitu hapa bado hatuna majibu huko sijui unaenda kutafuta nini
Endelea kumkana MunguNdio
Anatafufa majibu ili ajueSasa kwanini unajadili jambo usilolijua ? Hivi ndivyo mnavyofundishwa ?
Sawa mkuuAsili ya maendeleo yao imetoka na Ukristo ndio uliwapa elimu na ustaarabu.
Hakuna maendeleo pasipo ustaarabu.Mtu aliyestarabika na mwenye hofu ya Mungu hawezi kuwa fisadi kwa kuiba kodi za wananchi na kwenda kununua mabus au kudhamini timu ya mpira huku maelf wakifa njaa,wakikosa huduma muhimu. Mtu mwenye dini utanguliza maslai ya wengine kabla yake, mtu mwenye dini ulijenga taifa lake na sio tumbo lake.
Taja hizo sababu kwanini wengine wazaliwe vipofu.Zipo sababu zaidi ya moja mtu kuzaliwa kipofu