Afrocentric view
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,374
- 2,280
Wapi nimekana Mungu??? Nani kakuambia mimi ni mkana Mungu??Huwa nacheka sana hoja za Wakana Mungu,
Mimi sio mkana Mungu mkuu
Wapi nimesema najua??? Kwanza kitendo cha wewe kuniita mpumbavu nisiyejua, tayari kimeashiria wewe sio mpumbavu na unayejua...sasa kwanini unitukane mimi kuwa najiona najua huku wewe mwenyewe kwa kusema hivyo tu, tayari umeojiona kuwa wewe ndo unajua??kitu ambacho wakana Mungu hamkijui ni kuwa hamjijui kama hamjui yaani nyinyi ni Wapumbavu, huku mkijiona mnajua.
Upepo unavuma na kusababisha miti kuanguka, Hapo mtu akiuliza nani kaangusha mti atakuwa sahihi?? Sio kila kitu kinakuwa caused na kitu chenye akili.Umeuliza swali rahisi sana kwanini ni "Nani ?" na si "Nini ?" hili hata wenzako waliuliza sisi tukawajibu hivi nini hakina uwezo wa kusanifu wala Hakika ila nani ana uwezo wa kisanifu na anajua, ana Elimu, ana hekima na ni mkamilifu. Yaani kwa ufupi "Nani" ni dhamiri inayo kwe chenye akili, maarifa na kujua, ila nini ni dhamiri ya swali kwa kisichokuwa na akili, kisichojua, kisichokuwa na malengo.
DNA haina akili lakini inacode kila kitu kwenye kiumbe.
Sawa, Karibu uthibitishe.Mimi najua na ninaweza kithibitisha kwa kutumia akili, mazingira na ufunuo.