Unajua Mungu aliumbwa na nani?

Unajua Mungu aliumbwa na nani?

Ushajua Hilo na wewe ukichagua kinyume lazima ufukuzwe sababu umefanya hiari hali ya kuwa unajua mafikio yake ni wapi. Kijana huna akili, mambo yako wazi namna hii bado unashupaza shingo kwamba hakuna uhuru wa kuchagua ?
Kisai acha kudanganya nakukanya
Ongea ukweli wa dini Yako , Allah amepanga kwa kila mtu ata mtoto mchanga akifa kama alimpangia moto ni moto na habadili
 
Ushajua Hilo na wewe ukichagua kinyume lazima ufukuzwe sababu umefanya hiari hali ya kuwa unajua mafikio yake ni wapi. Kijana huna akili, mambo yako wazi namna hii bado unashupaza shingo kwamba hakuna uhuru wa kuchagua ?
Nakukanya acha kudanganya umma

Allah kashapanga ata wewe apo inaweza kuwa kashapanga unaenda motoni ata upigize fuvu chini kila siku mara 5 ni kiberiti tu

A'isha, said Allah's Messenger, there is happiness for this child who is a bird from the birds of Paradise for it committed no sin nor has he reached the age when one can commit sin. He said: 'A'isha, it may be otherwise, because Allah created for Paradise those who are fit for it while they were yet in their father's loins and created for Hell those who are to go to Hell. He created them for Hell while they were yet in their father's loins. Sahih Muslim 2662c
 
Mzee usimsingizie Mungu kwenye vitu hivyo vya mwili wa binadamu ni Evolution tuu
Halafu hili Jambo la "evolution" la atheists wengi naona ni kama vile ni lecture kwao yaani wote jibu lenu ni "evolution" au "nature"
 
Nakukanya acha kudanganya umma

Allah kashapanga ata wewe apo inaweza kuwa kashapanga unaenda motoni ata upigize fuvu chini kila siku mara 5 ni kiberiti tu

A'isha, said Allah's Messenger, there is happiness for this child who is a bird from the birds of Paradise for it committed no sin nor has he reached the age when one can commit sin. He said: 'A'isha, it may be otherwise, because Allah created for Paradise those who are fit for it while they were yet in their father's loins and created for Hell those who are to go to Hell. He created them for Hell while they were yet in their father's loins. Sahih Muslim 2662c
Atawadanganya misukule wenzie tu.
 
ww na iyo simu ni samething,kila kitu kilisha tokea muda mrefu nyuma
Onyesha kuwa kila kitu kimeshatokea muda mrefu nyuma na hivi tuvionavyo sasa pamoja na sisi wenyewe ni illusion.
 
Mungu tusiye muona ni sawa na kueleza kitu tusicho kiona. mada imeishia hapo
wewe unaiona akili yako? Kama unaiona piga picha hapa tuione mana mimi akili yako siioni.
 
Mimi ni kijana ambaye Kwa muda wa miaka 2 nimekuwa nikifatilia mijadala mbalimbali hapa Jf katika jukwaa hili la intelligence. Moja ya mijadala ambayo imekuwa ikinivutia sana ni hii ya dhana ya uwepo wa Mungu.

Swali kubwa ambalo nimeku wa nikijiuliza ni " Mungu alitoka wapi"

Baada ya kuisoma sana biblia na Quran pamoja na kuwahoji viongozi mbalimbali wa dini, hatimaye nikapata jibu la swali lililonitatiza muda mrefu, Mungu alitoka wapi?

Nimegundua kuwa muumba wa Mungu ni mwanadamu. Yes mwanadamu kama Mimi na wewe ndiye aliyemuumba Mungu.

Kwanini nimefikia hitimisho hilo?

Vitabu tunavyoaminishwa kuwa ni vya Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu ( biblia & Quran) ni vitabu vyenye makosa mengi sana ya kimantiki na habari nyingi zenye utata, jambo ambalo tusingetegemea liwepo katika kitabu kilichoandikwa kwa muongozo kutoka kwa Mungu mkuu mwenye uwezo asiyeshindwa na kitu.

Uwepo wa habari hizo zenye utata zinadhihirisha moja kati ya mambo yafuatayo.

1. Mungu hana ukuu tunaoambiwa ndio sababu ameshindwa kutoa mwongonzo mzuri katika kuandika kitabu kisicho na makosa ya kimatinki.

2. Habari hizi ni zao la fikra za mwanadamu aliyeishi katika zama za giza na ujinga. Mwanadamu ambae alitaka kutafuta majibu mepesi katika maswali magumu yaliyomzunguka ndio sababu zina utata.

Kama jibu ni 1 basi Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu hayupo Bali aliyepo ni dhaifu na mbabaishaji aliyeshindwa kuandika vizuri kitabu kinachomuelezea yeye mwenyewe.

Kama jibu ni 2 ,basi Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu hayupo ndiyo sababu akatokea mtu akatunga habari kutokana na fikra zake mwenyewe. Angekuepo asingeruhusu magepu katika fikra za mwanadamu ambayo yamepelekea mwanadamu huyo kujitungia majibu mepesi na habari zenye utata ili kuziba hayo magepu katika fikra zake.

Pointi zote mbili utaona zinaonyesha kuwa Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu mjuzi wa yote hayupo Bali " ama aliyepo ni dhaifu,mbabaishaji na asiye na uelewa wowote kuhusu ulimwengu, ama dhana nzima ni hadithi ya kutungwa katika fikra za mwanadamu aliyeishi katika zama za ujinga na kukosa access ya taarifa mbalimbali.

Nawasilisha.
Nimegundua kuwa muumba wa Mungu ni mwanadamu. Yes mwanadamu kama Mimi na wewe ndiye aliyemuumba Mungu.
Huu ndio ugunduzi wako, lakini unakinzana na hitimisho lako lenye wino mzito.
Uwepo wa habari hizo zenye utata zinadhihirisha moja kati ya mambo yafuatayo.

1. Mungu hana ukuu tunaoambiwa ndio sababu ameshindwa kutoa mwongonzo mzuri katika kuandika kitabu kisicho na makosa ya kimatinki.

2. Habari hizi ni zao la fikra za mwanadamu aliyeishi katika zama za giza na ujinga. Mwanadamu ambae alitaka kutafuta majibu mepesi katika maswali magumu yaliyomzunguka ndio sababu zina utata.
Namba moja inakinzana na ugunduzi wako hapo juu.
Pointi zote mbili utaona zinaonyesha kuwa Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu mjuzi wa yote hayupo Bali " ama aliyepo ni dhaifu,mbabaishaji na asiye na uelewa wowote kuhusu ulimwengu, ama dhana nzima ni hadithi ya kutungwa katika fikra za mwanadamu aliyeishi katika zama za ujinga na kukosa access ya taarifa mbalimbali.
Huyo unayefikiri labda yupo ndio aliumbwa na binadamu? Je, uwepo wa vyote tunavyoviona ikiwemo binadamu, asili yake ni nini?
 
Mimi ni kijana ambaye Kwa muda wa miaka 2 nimekuwa nikifatilia mijadala mbalimbali hapa Jf katika jukwaa hili la intelligence. Moja ya mijadala ambayo imekuwa ikinivutia sana ni hii ya dhana ya uwepo wa Mungu.

Swali kubwa ambalo nimeku wa nikijiuliza ni " Mungu alitoka wapi"

Baada ya kuisoma sana biblia na Quran pamoja na kuwahoji viongozi mbalimbali wa dini, hatimaye nikapata jibu la swali lililonitatiza muda mrefu, Mungu alitoka wapi?

Nimegundua kuwa muumba wa Mungu ni mwanadamu. Yes mwanadamu kama Mimi na wewe ndiye aliyemuumba Mungu.

Kwanini nimefikia hitimisho hilo?

Vitabu tunavyoaminishwa kuwa ni vya Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu ( biblia & Quran) ni vitabu vyenye makosa mengi sana ya kimantiki na habari nyingi zenye utata, jambo ambalo tusingetegemea liwepo katika kitabu kilichoandikwa kwa muongozo kutoka kwa Mungu mkuu mwenye uwezo asiyeshindwa na kitu.

Uwepo wa habari hizo zenye utata zinadhihirisha moja kati ya mambo yafuatayo.

1. Mungu hana ukuu tunaoambiwa ndio sababu ameshindwa kutoa mwongonzo mzuri katika kuandika kitabu kisicho na makosa ya kimatinki.

2. Habari hizi ni zao la fikra za mwanadamu aliyeishi katika zama za giza na ujinga. Mwanadamu ambae alitaka kutafuta majibu mepesi katika maswali magumu yaliyomzunguka ndio sababu zina utata.

Kama jibu ni 1 basi Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu hayupo Bali aliyepo ni dhaifu na mbabaishaji aliyeshindwa kuandika vizuri kitabu kinachomuelezea yeye mwenyewe.

Kama jibu ni 2 ,basi Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu hayupo ndiyo sababu akatokea mtu akatunga habari kutokana na fikra zake mwenyewe. Angekuepo asingeruhusu magepu katika fikra za mwanadamu ambayo yamepelekea mwanadamu huyo kujitungia majibu mepesi na habari zenye utata ili kuziba hayo magepu katika fikra zake.

Pointi zote mbili utaona zinaonyesha kuwa Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu mjuzi wa yote hayupo Bali " ama aliyepo ni dhaifu,mbabaishaji na asiye na uelewa wowote kuhusu ulimwengu, ama dhana nzima ni hadithi ya kutungwa katika fikra za mwanadamu aliyeishi katika zama za ujinga na kukosa access ya taarifa mbalimbali.

Nawasilisha.
Unatakiwa leo ujue,, hakuna kitu kisicho kua na mwanzo kuanzia logically had scientifically,, fuatilia zaidi utagundua science imeshindwa kuthibitisha mwanzo wa ulimwengu huu kuanzia vitu vinavoonekana na visivo onekana,, science imeelezea source ya ulimwengu katika big bang theory kwamba band energy ndio source ya ulimwengu ambayo inasemekana ili explode na kutengeneza hydrogen ges,, hyo hydrogen ika explode kuleta helium ges ambazo ziliendelea kufanya hivo hadi kutengeneza jua Kisha sayar ndo dunia, wanadam na wanyama na kila unachokiona kikatokea...

Sasa swali je hyo band energy ilitokea wap🤷??
Science imeshindwa kujua hyo...

Hapo ndipo utajua kua Hakika Mungu yupo..

Kutokujua kwako wew kuhusu Mungu si kigezo cha kwamba hayupo..

Iko hivi....
Mungu Ni nani?
Mungu Ni Mungu...

Aliumbwa na nani?
Hakuumbwa na mtu yeyote..

Alitokea wapi?
Alikuwepo tangu hapo mwanzo..

Mungu ana protocol zake za kumjua, huwezi kumjua kwa kusoma vitabu vya dini pekee..

Nakuhakikishia mkuu siku ukija kujua protocol za kumjua Mungu utarud hapa jamvini kukir uwepo wake..🙏
 
Yani mtu anang'ang'aniza kwamba hakuna kisicho na mwanzo logically na scientifically halafu hapohapo anasema mungu hana chanzo alikuwepo tu!!
Mtu kama huyu Gasper Mwaluanda hajui hata kuwa maandishi yake yanajipinga.
Inaonyesha hajui hata yeye anaandika nini.
 
Yani kwenye huo mfano wangu, ni sawa na kusema hivi.
"Ama usome sayansi ama ufukuzwe shule"
Soma vizuri maelezo niliyokupa. Usiruke vipengele.
Sasa vipi kama mimi sipendi masomo ya sayansi na sipendi kufukuzwa shule?

Nikichagua sayansi utasema nimechagua kwasababu ya uhuru wangu wa kuchagua?
Mfano wako si halisi katika muktadha huu. Uhuru wa kuchagua ni uhalisia Sasa jikite katika uhalisia huo. Usitoe mifano mfu ambayo imejifunga sehemu Moja.

Wewe unapofanya uovu huwa unalazimishwa ? Hujawahi kuona ya kujua ya kuwa jambo fulani unalifanya lakini nafsi inasita au unajua kabisa hapa nafanya hili lakini mwisho wake ni hivi ? Sasa usijadili jambo Pana hili kwa ufinyu wa akili yako.

Sasa Rudi katika uhalisia mfano huo mfu hauingii hapo. Nikikupa maelezo yaliyo jitosheleza huko juu, ila hujajibu hoja zaidi ya kurudia ulichosimamia.

Wewe umepewa uhuru wa kuchagua katika mambo yako. Sasa jadili uhalisia.
Nikichagua sayansi utasema nimechagua kwasababu ya uhuru wangu wa kuchagua?

Unajua nini maana ya uhuru wa kuchagua?
Mfano wako si halisi na haina uhakisia. Jadili uhuru wa kuchagua tulio pewa na Mola muumba.
Ushakariri kulazimishwa kitu ni mpaka ushikiwe bunduki?
Hapa umethibitisha wazi kwamba najadiliana na mtoto kiakili na kifikrahuendani mkubwa kiumri. Unaweza kuonyesha wapi nimekaribia ya kuwa kulazimishwa mpaka ushikiwe bunduki ? Hili lipo kwako, wangapi wanalazimishwa jambo kwa kauli tu na mfano wake ?

Kijana jikite kwenye uhalisia na ujifinze kutoa mifano yenye uhalisia.

Turudi katika uhuru kamili wa kuchagua tulip pewa na Mola wetu muumba. Mfano leo hii nyinyi au watu wanamkana Mola aliye waumba, hii inamaanisha ni uhuru wa kuchagua. Unaweza kuonyesha kulazimishwa katika watu wanao sema Mola hayupo na hawawezi kuthibitisha ?

Mna utoto mwingi, ukijadiliana na Mimi toa mifano yenye uhalisia.
 
Uislam bila uongo unakufa

Nani alikwambia mola Allah kakupa hiari?

Allah kapanga kila mtu kwamba atafanya Nini na mwisho wake kashapanga huna uhuru wa kubadili alicho panga

Nenda kasome dini Yako na uache mara moja kudanganya umma
Poa. Sijadiliani na mazwazwa.
 
Nakukanya acha kudanganya umma

Allah kashapanga ata wewe apo inaweza kuwa kashapanga unaenda motoni ata upigize fuvu chini kila siku mara 5 ni kiberiti tu

A'isha, said Allah's Messenger, there is happiness for this child who is a bird from the birds of Paradise for it committed no sin nor has he reached the age when one can commit sin. He said: 'A'isha, it may be otherwise, because Allah created for Paradise those who are fit for it while they were yet in their father's loins and created for Hell those who are to go to Hell. He created them for Hell while they were yet in their father's loins. Sahih Muslim 2662c
Poa.
 
Poa. Sijadiliani na mazwazwa.
Ndio usirudie tena kudanganya, sema kweli ya dini Yako acha kutunia takiya haitasadia

Allah kapanga mpaka wewe kisai utafanya unzinzi mara ngapi tena umeandikiwa kabisa wakati mimba Yako inatungwa

Pigiza fuvu chini ila kama amekupangia moto ni moto

Njoo hapa uone waislamu safi wamepiga vita sambusa walisema ni utatu 😂😂😂

 
Kingereza kirahisi Sana 😂😂 soma
Wewe endelea kupigiza fuvu sakafuni kama ni kiberiti huwezi epuka


Allah created for Paradise those who are fit for it while they were yet in their father's loins and created for Hell those who are to go to Hell. He created them for Hell while they were yet in their father's loins. Sahih Muslim 2662c
 
Wewe unapofanya uovu huwa unalazimishwa ?

Kisai nakutaka ujifunze dini Yako kwa umakini , unakuwa unampinga Allah na Muhammad wazi kabisa na unajua Aya ya 5:33 inataja ukatwe mikono na miguu

Allah anakupangia kila kitu mpaka uzinzi utakao fanya na utafanya na nani na wapi , Mimi kumpinga kanipangia chochote nacho fanya sio utashi ni mpango wa Allah

Soma
...Allah fixed the very portion of adultery which a man will indulge in. There would be no escape from it.....Sahih Muslim 2658a
 
Kuna mtu alisema huku duniani ndo hell kwenyewe,
 Tulikosea mahali adhabu ndo tumeletwa huku,
We're in hell guys
😂
 
Back
Top Bottom