Fake P
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 3,952
- 11,919
Nimepotezwa huko sipatikani kabisa nahemea juu juu kama Hope urassa mdogo wakoUmepotea sana siku hizi🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimepotezwa huko sipatikani kabisa nahemea juu juu kama Hope urassa mdogo wakoUmepotea sana siku hizi🤔
Ngoja nikatafutie Salam ya kiuchokozi ilivyoanza. Anyway unausingizi wewwew na mkuu Fake P mmenikumbusha miaka flani uko nyuma kuna watu fulani wawili, mtu mke na mtu mume walianza kusalimiana kiuchokozi ivi ivi kama mlivoanza nyinyi apa. bdae kidogo nikaona wote wanachekacheka😇sijakaa sawa wamepotea, siwaoni😳mara nasikia kitanda kinapiga kelele (ni vile vitanda vya zamani vya chuma na springi katikati) uko ndani, mm khee!🤯nkajua tyr kimeumana🤣
Yupo sahihi mbona?😁😁😁Ngoja nikatafutie Salam ya kiuchokozi ilivyoanza. Anyway unausingizi wew
Heshimu mawazo yake tu. Ila kuwa sahihi hapana 🤣 meku Kaa kwa utulivuYupo sahihi mbona?😁😁😁
Hautaki kuonja mbege?Heshimu mawazo yake tu. Ila kuwa sahihi hapana 🤣 meku Kaa kwa utulivu
Tumeletewa vingi tu mkuu hata hicho kifaa unachotumia kuingia JF ni cha kuletewa achilia mbali mavazi.Dini tumeletewa.
Bora hata hizo, malighafi zake tunaweza kutamba zilitoka kwetu🤔Tumeletewa vingi tu mkuu hata hicho kifaa unachotumia kuingia JF ni cha kuletewa achilia mbali mavazi.
Mh...asiye na imani yeyote labda mtoto mchanga.Mm nisie na Iman yyt ngoja nisicoment chcht maana cjaulizwaa swali mm...
Tunanawakaribisha wenye Iman zenu mtupe mawazo
Kwahiyo wale ambao wanaletewa hivyo vifaa na hizo malighafi hazitoki kwao wanatakiwa kukataa hivyo vifaa vya kuletewa?Bora hata hizo, malighafi zake tunaweza kutamba zilitoka kwetu🤔
Tofautisha kati ya vifaa natamaduni na desturi fulanKwahiyo wale ambao wanaletewa hivyo vifaa na hizo malighafi hazitoki kwao wanatakiwa kukataa hivyo vifaa vya kuletewa?
Unataka nizungumzie tiba za kizungu, sheria za wakoloni, matumizi ya lugha za kigeni, mitindo ya maisha ya kizungu au nini?Tofautisha kati ya vifaa natamaduni na desturi fulan
Vyote sio sawa ndio maana mpaka leo tunaonekana watumwa tu.Unataka nizungumzie tiba za kizungu, sheria za wakoloni, matumizi ya lugha za kigeni, mitindo ya maisha ya kizungu au nini?
Sasa mbona wote tunatumia na kufanya hivyo vitu ila dini tu ndio tunasikia ikisemwa ni ya kuletewa?Vyote sio sawa ndio maana mpaka leo tunaonekana watumwa tu.
Korea ya kaskazini wanapinga vikali ,Iran, China na Burma pia wanapinga vikali.Sasa mbona wote tunatumia na kufanya hivyo vitu ila dini tu ndio tunasikia ikisemwa ni ya kuletewa?
Hakuna anayetuona watumwa ni fikra zetu tu ambazo bado hadi tunawaza utumwa kana kwamba ni sisi tu waafrika ndio tulifanywa watumwa. Nashangaa mtu anapinga dini kwa hoja et ni imani za kuletewa, dini zimetapakaa duniani kote huko ila husikii wenzetu huko jamii zengine wakisema ni dini za kulerewa mara sijui dini zimetufanya tusiwe na maendeleo ni sisi tu waafrika ndio tuna mtazamo huo.
Wanapinga nini?Korea ya kaskazini wanapinga vikali ,Iran, China na Burma pia wanapinga vikali.
Dini za kuletewaWanapinga nini?
Una uhakika kinachofanya wapinge ni kwa sababu ni dini za kuletewa ?Dini za kuletewa
Kinachopingwa ni dini za kuletwa na sio kinachofanya wapinge ni dini za kuletwa 🤔🤔zipo sababu mbalimbali zinazowafanya wapinge dini hizo zakuletwa.Una uhakika kinachofanya wapinge ni kwa sababu ni dini za kuletewa ?