Unakuja unanipita hujanisalimia, unakwama halafu unataka nikusaidie

Unakuja unanipita hujanisalimia, unakwama halafu unataka nikusaidie

Jobless_Billionaire

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2022
Posts
3,106
Reaction score
8,101
Wakuu salama?

Kuna watu ni wa ajabu sana. Sijui wanajikutaga akina nani vile. Unakuta jitu limekuja sehemu aidha dukani au popote pale, limekukuta linakukaushia tu. Limemkosa mhusika halafu linakuja kukuuliza fulani yuko wapi?

Au limekwama huko limepotea njia halafu linakuja kukuuliza sehemu fulani wapi, bila hata salamu

Jitu linakuja linakukuta may be upo kwa mtu linaemtafuta, bahati mbaya katoka kidogo umebaki wewe. Halisalimii linafikia kumuangaza mhusika linamkosa, linarudi kukuuliza fulani yuko wapi.. Unagongwa nini? 😡😡😡

Sijajua nyie reaction yenu huwa ikoje, ila mimi sitakagi ujinga. Ukinikuta mazingira fulani ukaacha kutoa salamu hakikisha hautahitaji msaada kwangu. Naweza nikakushushia vinu (matusi) hujawahi kutana navyo. Huwa natafsiri ni kama dharau.

Salamu hufanya hata mtu kuwa mkarimu kwako pale unapohitaji msaada wa jambo fulani, utakuwa umeonyesha uungwana. Ila uje race tu kama vile unayapita mawe, utakubali.
 
Wakuu salama?

Kuna watu ni wa ajabu sana. Sijui wanajikutaga akina nani vile. Unakuta jitu limekuja sehemu aidha dukani au popote pale, limekukuta likakupita tu. Limemkosa linaemtafuta halafu linarudi kukuuliza fulani yuko wapi?

Au limekwama huko limepotea njia ndio linajirudisha kuomba msaada ulielekeze.

Jitu linakuja linakukuta may be upo kwa mtu linaemtafuta, bahati mbaya katoka kidogo umebaki wewe. Halisalimii linafikia kumuangaza mhusika linamkosa, linarudi kukuuliza fulani yuko wapi.. Unagongwa nini? 😡😡😡

Sijajua nyie reaction yenu huwa ikoje, ila mimi sitakagi ujinga. Ukinikuta mazingira fulani ukaacha kutoa salamu hakikisha hautahitaji msaada kwangu. Naweza nikakushushia vinu (matusi) hujawahi kutana navyo. Huwa natafsiri ni kama dharau.

Salamu hufanya hata mtu kuwa mkarimu kwako pale unapohitaji msaada wa jambo fulani, utakuwa umeonyesha uungwana. Ila uje race tu kama vile unayapita mawe, utakubali.
Acha uswahili.
 
Wakuu salama?

Kuna watu ni wa ajabu sana. Sijui wanajikutaga akina nani vile. Unakuta jitu limekuja sehemu aidha dukani au popote pale, limekukuta likakupita tu. Limemkosa linaemtafuta halafu linarudi kukuuliza fulani yuko wapi?

Au limekwama huko limepotea njia ndio linajirudisha kuomba msaada ulielekeze.

Jitu linakuja linakukuta may be upo kwa mtu linaemtafuta, bahati mbaya katoka kidogo umebaki wewe. Halisalimii linafikia kumuangaza mhusika linamkosa, linarudi kukuuliza fulani yuko wapi.. Unagongwa nini? 😡😡😡

Sijajua nyie reaction yenu huwa ikoje, ila mimi sitakagi ujinga. Ukinikuta mazingira fulani ukaacha kutoa salamu hakikisha hautahitaji msaada kwangu. Naweza nikakushushia vinu (matusi) hujawahi kutana navyo. Huwa natafsiri ni kama dharau.

Salamu hufanya hata mtu kuwa mkarimu kwako pale unapohitaji msaada wa jambo fulani, utakuwa umeonyesha uungwana. Ila uje race tu kama vile unayapita mawe, utakubali.
Mkuu mjini mambo mengi muda mchache...... vitu ni vigumu kama ukitaka viwe vigumu.
Kwamba wewe ukitoka nyumbani kwako kila unayekutana naye popote pale unatoa salamu?...... aisee si utawehuka?

Na huo muda wa kuanza kukariri ni stranger gani hajanisalimia ili uje kum mind akikuuliza unautoa wapi mkuu?
Take it easy

Hizi ni ATHARI za UJIMA(ujamaa) nilikutana nazo sana nilipokwenda kijijini maana kijijini watu wote ni kama ndugu wanajuana wote so salamu ni LAZIMA
Usiposalimia unawekewa vikao kabisa na mwenyekiti.
Mjini watu wako race mkuu.
 
Huyo ni mtu mbona unamwita LI LI li

Kusalimia sio lazima sana! Japo Mimi sipiti mtu Ila siwezi lazimisha unisalimu au kwann hujanisalimu
 
Back
Top Bottom