Unakuja unanipita hujanisalimia, unakwama halafu unataka nikusaidie

Unakuja unanipita hujanisalimia, unakwama halafu unataka nikusaidie

Ilinitokea hii 😅😅🙌🏼nilienda kwa rafiki yangu na tulikuwa tumetoka kuwasiliana muda mchache tu, akaniambia yupo.

Mimi na kiherehere changu nikapitiliza bila kusalimia ile nafungua mlango umefungwa Kumbe katoka kidogo 😜😅😅😅nilipata aibu ya kimataifa.

Nilijifunza siku nyingine nitasalimia nipate msaada.
Haya yanayoona ni sawa ndio yasiyosalimia watu.
 
Ni kweli kabisa, nenda kule Oxford Street jijini London, watu wapo bize sana halafu msalimie mtu lazima utatukanwa au utaonekana omba omba au kibaka.
Kwa Hiyo Tuanze Na Mipango Ya Kuoana Kama Oxford Street?
 
Mkuu mjini mambo mengi muda mchache...... vitu ni vigumu kama ukitaka viwe vigumu.
Kwamba wewe ukitoka nyumbani kwako kila unayekutana naye popote pale unatoa salamu?...... aisee si utawehuka?

Na huo muda wa kuanza kukariri ni stranger gani hajanisalimia ili uje kum mind akikuuliza unautoa wapi mkuu?
Take it easy

Hizi ni ATHARI za UJIMA(ujamaa) nilikutana nazo sana nilipokwenda kijijini maana kijijini watu wote ni kama ndugu wanajuana wote so salamu ni LAZIMA
Usiposalimia unawekewa vikao kabisa na mwenyekiti.
Mjini watu wako race mkuu.
Alafu Kwa Race Zako Inaonyesha Mpaka Sasa Umepanga Tena Unalala Na Ndoo Za Maji Humo humo Watu Wa Dizaini Yako Huwa Mnaishi Maisha Ya Shida Mwanzo Mpaka Mwisho Wenu.
 
KIONNGOZI; Mtu anakupita zake na boda, Bajaji au hata gari anapotea anarudi kukuuliza; Ulitaka akipita asimame akusalimia ndio apite?
Saidia watu kama unaweza maisha yamebadilika......
Waumini Wa Dini Ya Kiislamu Tumepewa Maelekezo Ya Kwamba ,Ikiwa Uko Kwenye Usafiri Wako Njiani Ukakutana Watu/Mtu Inakubidi Usimame Umsalimie Mwenda Kwa Miguu Ndipo Uendelee Na Safari.
 
  • Kicheko
Reactions: M45
Mkuu naelewa unayosema,hata kama mtu haji kukuulizia,ni vema a
mkikutana na mwingine mnaefahamiana msalimiane,hii haina maana kwamba huna kazi ya kufanya,inaonyesha kujali na kutambua uwepo wa mtu mwingine,Mimi nilikuwa naacha kumsalimia mtu ambae hanisalimii,nikajakugundua kumbe wale ambao wanafanya vitendo kama hivyo wanaongozwa na roho hafifu,wana strees na uchungu wa maisha hivyo wanafikiri wasipokusalimia na wewe utakuwa na uchungu kama wao ili mfanane,lakini ukiwasalimia wewe wanaitika na kujiona wana dhamani,lakini ukikaa kimya utawaona jinsi walivyonuna kisa hujawasalimia. Salamu kama haiendani na matendo ya muhusika hiyo siyo salamu ni unafiq,hakikisha mtu anaekusalimia anamaanisha na siyo kusalimia kutokea mbali ili aonekane.
 
Na uhakika mkuu hujawahi ishi na mataifa tofauti na Tanzania hii kasumba ya salamu ni ya hapa Tz tu sema ni nzuri wengi huwa wakija wanauliza hivi huku ukiacha kusalimia unaweza adhibiwa? Mimi nimefanya kazi na watu tofauti tofauti sana kwa kipindi cha miaka6 sasa lakini salam sio kipaumbele kabisa mnaweza maliza mwezi hamjawahi hata kupeana Hi na mkikutana site kazi kazi na story zikibidi kama kawaida.Nimezoea hili japo mwanzo nilipata shida sana lakini wenzetu hawajari.Tembea tembea uone.
Unaweza Ukakuta Una Genge La Nyanya Ila Unajitia Una Fanya Kazi Na Wageni Ili Tu Utongoze Madem Wa Jf.

Kisa Mmeambiwa Tafuta Hela.
 
Kwa sisi tusio penda kusalimiwa hatuna shida yoyote na huyo mtu ...tatizo ni huyo mtu afanye hivyo kwa nyinyi mitoto mipumbavu mnaosemaga BORA UNITUKANIE BABA YANGU KULIKO MAMA YANGU hapo itakuwa shida maana mnatabia za kikekike ...ndiyo maana ni rahisi kugeuzwa mashoga maana mwapenda sana salamu nyie ...mwapenda salamu kama wazanzibar 😁😁😁😁 utasikia Yahee mbona wanipita tu weyee kama nyuma ujaniona weyeee...
Achana Na Huyo Mwanamke Atakutia Uchizi Maana Hii Komenti Inakuonyesha Jinsi Unavyoteswa Na Streess.
 
Wakuu salama?

Kuna watu ni wa ajabu sana. Sijui wanajikutaga akina nani vile. Unakuta jitu limekuja sehemu aidha dukani au popote pale, limekukuta linakukaushia tu. Limemkosa mhusika halafu linakuja kukuuliza fulani yuko wapi?

Au limekwama huko limepotea njia halafu linakuja kukuuliza sehemu fulani wapi, bila hata salamu

Jitu linakuja linakukuta may be upo kwa mtu linaemtafuta, bahati mbaya katoka kidogo umebaki wewe. Halisalimii linafikia kumuangaza mhusika linamkosa, linarudi kukuuliza fulani yuko wapi.. Unagongwa nini? 😡😡😡

Sijajua nyie reaction yenu huwa ikoje, ila mimi sitakagi ujinga. Ukinikuta mazingira fulani ukaacha kutoa salamu hakikisha hautahitaji msaada kwangu. Naweza nikakushushia vinu (matusi) hujawahi kutana navyo. Huwa natafsiri ni kama dharau.

Salamu hufanya hata mtu kuwa mkarimu kwako pale unapohitaji msaada wa jambo fulani, utakuwa umeonyesha uungwana. Ila uje race tu kama vile unayapita mawe, utakubali.
Hii kuna dada mmoja tunafanya nae kazi, juzi kati asubuhi napiga hamza Kanoon kwenda kusaka usafiri akanipita race halafu mbele kidogo nikakuta ameingia mtaroni. Anajifanya kunisalimia, namimi kama zali boda ikapita nikasimamisha nikadandia nikasepa zangu
 
Alafu Kwa Race Zako Inaonyesha Mpaka Sasa Umepanga Tena Unalala Na Ndoo Za Maji Humo humo Watu Wa Dizaini Yako Huwa Mnaishi Maisha Ya Shida Mwanzo Mpaka Mwisho Wenu.
Mkuu you went straight into attack mode.
Status yangu ya uchumi imeingiaje hapa?

Am very very sorry if by any means my comment offended you

Next time jifunze kushambulia HOJA na sio kumshambulia mtoa hoja

🙏🙏🙏
 
Tumia akili wewe mpumbavu kwani kusalimia kuna kanuni ya nani aanze au nikupe visa vyangu binafsi nikuonyeshe upumbavu wenu nyinyi mnao lilia salamu ...kwanza mjue kuna tofauti ya kutokusalimiana na kuto kuitikia salamu ...wewe hapo kama umekutana na mtu ajakusalimia basi wewe ulishindwa nini kumsalimia yeye kwanza ? Mngekuwa mnalahumu mtu kutokuitikia salamu sawa ....sikumoja nilikuwa natembea nikakutana na jamaa akaniambia mbona usalimii nikamjibu kuwa mbona na yeye asalimii ...kisha nikamuuliza kwani kusalimiq ni lazima mimi nianze?...hivyo huyo aliye kupita bila ya kusalimia na wewe ukumsalimia basi nyinyi amkusalimiana hakuna mwenye haki la kumlaumu mwingine. Jobless_Billionaire
Inaonyesha Unatembea Bila Kichwa,We Umeingia Ofisini Kuna Mtu Ndani Ya Hiyo Ulivyoingia Ndani Umemkuta Mtu Mwengine Tofauti Na Uliyemkusudia Kwa Hiyo Wewe Na Akili Yako Mbovu Unataka Uliyemkuta Ndo Aanze Kukusalimia? Au Utakurupuka Tu Kuuliza Kama Mwehu?NB:UKIJIONA UNA TABIA YA KUTOKUSALIMIA JUWA KWAMBA GOROFANI KUNA TATIZO.
 
Back
Top Bottom