Unakuja unanipita hujanisalimia, unakwama halafu unataka nikusaidie

Unakuja unanipita hujanisalimia, unakwama halafu unataka nikusaidie

Wakuu salama?

Kuna watu ni wa ajabu sana. Sijui wanajikutaga akina nani vile. Unakuta jitu limekuja sehemu aidha dukani au popote pale, limekukuta likakupita tu. Limemkosa linaemtafuta halafu linarudi kukuuliza fulani yuko wapi?

Au limekwama huko limepotea njia ndio linajirudisha kuomba msaada ulielekeze.

Jitu linakuja linakukuta may be upo kwa mtu linaemtafuta, bahati mbaya katoka kidogo umebaki wewe. Halisalimii linafikia kumuangaza mhusika linamkosa, linarudi kukuuliza fulani yuko wapi.. Unagongwa nini? 😡😡😡

Sijajua nyie reaction yenu huwa ikoje, ila mimi sitakagi ujinga. Ukinikuta mazingira fulani ukaacha kutoa salamu hakikisha hautahitaji msaada kwangu. Naweza nikakushushia vinu (matusi) hujawahi kutana navyo. Huwa natafsiri ni kama dharau.

Salamu hufanya hata mtu kuwa mkarimu kwako pale unapohitaji msaada wa jambo fulani, utakuwa umeonyesha uungwana. Ila uje race tu kama vile unayapita mawe, utakubali.

KIONNGOZI; Mtu anakupita zake na boda, Bajaji au hata gari anapotea anarudi kukuuliza; Ulitaka akipita asimame akusalimia ndio apite?
Saidia watu kama unaweza maisha yamebadilika......
 
Wakuu salama?

Kuna watu ni wa ajabu sana. Sijui wanajikutaga akina nani vile. Unakuta jitu limekuja sehemu aidha dukani au popote pale, limekukuta likakupita tu. Limemkosa linaemtafuta halafu linarudi kukuuliza fulani yuko wapi?

Au limekwama huko limepotea njia ndio linajirudisha kuomba msaada ulielekeze.

Jitu linakuja linakukuta may be upo kwa mtu linaemtafuta, bahati mbaya katoka kidogo umebaki wewe. Halisalimii linafikia kumuangaza mhusika linamkosa, linarudi kukuuliza fulani yuko wapi.. Unagongwa nini? 😡😡😡

Sijajua nyie reaction yenu huwa ikoje, ila mimi sitakagi ujinga. Ukinikuta mazingira fulani ukaacha kutoa salamu hakikisha hautahitaji msaada kwangu. Naweza nikakushushia vinu (matusi) hujawahi kutana navyo. Huwa natafsiri ni kama dharau.

Salamu hufanya hata mtu kuwa mkarimu kwako pale unapohitaji msaada wa jambo fulani, utakuwa umeonyesha uungwana. Ila uje race tu kama vile unayapita mawe, utakubali.
Wanaopenda kusalimiasalimia ni wale madereva wanaoendesha magari mabovu.
Likimzimikia wamsaidie kusukuma.
 
Wakuu salama?

Kuna watu ni wa ajabu sana. Sijui wanajikutaga akina nani vile. Unakuta jitu limekuja sehemu aidha dukani au popote pale, limekukuta likakupita tu. Limemkosa linaemtafuta halafu linarudi kukuuliza fulani yuko wapi?

Au limekwama huko limepotea njia ndio linajirudisha kuomba msaada ulielekeze.

Jitu linakuja linakukuta may be upo kwa mtu linaemtafuta, bahati mbaya katoka kidogo umebaki wewe. Halisalimii linafikia kumuangaza mhusika linamkosa, linarudi kukuuliza fulani yuko wapi.. Unagongwa nini? 😡😡😡

Sijajua nyie reaction yenu huwa ikoje, ila mimi sitakagi ujinga. Ukinikuta mazingira fulani ukaacha kutoa salamu hakikisha hautahitaji msaada kwangu. Naweza nikakushushia vinu (matusi) hujawahi kutana navyo. Huwa natafsiri ni kama dharau.

Salamu hufanya hata mtu kuwa mkarimu kwako pale unapohitaji msaada wa jambo fulani, utakuwa umeonyesha uungwana. Ila uje race tu kama vile unayapita mawe, utakubali.
Ishara za ufukara hizi.

Tafuta hela.
 
Wakuu salama?

Kuna watu ni wa ajabu sana. Sijui wanajikutaga akina nani vile. Unakuta jitu limekuja sehemu aidha dukani au popote pale, limekukuta likakupita tu. Limemkosa linaemtafuta halafu linarudi kukuuliza fulani yuko wapi?

Au limekwama huko limepotea njia ndio linajirudisha kuomba msaada ulielekeze.

Jitu linakuja linakukuta may be upo kwa mtu linaemtafuta, bahati mbaya katoka kidogo umebaki wewe. Halisalimii linafikia kumuangaza mhusika linamkosa, linarudi kukuuliza fulani yuko wapi.. Unagongwa nini? 😡😡😡

Sijajua nyie reaction yenu huwa ikoje, ila mimi sitakagi ujinga. Ukinikuta mazingira fulani ukaacha kutoa salamu hakikisha hautahitaji msaada kwangu. Naweza nikakushushia vinu (matusi) hujawahi kutana navyo. Huwa natafsiri ni kama dharau.

Salamu hufanya hata mtu kuwa mkarimu kwako pale unapohitaji msaada wa jambo fulani, utakuwa umeonyesha uungwana. Ila uje race tu kama vile unayapita mawe, utakubali.
Ajabu sana jitu kuanzisha uzi kwasababu halisalimiwi
 
Wakuu salama?

Kuna watu ni wa ajabu sana. Sijui wanajikutaga akina nani vile. Unakuta jitu limekuja sehemu aidha dukani au popote pale, limekukuta likakupita tu. Limemkosa linaemtafuta halafu linarudi kukuuliza fulani yuko wapi?

Au limekwama huko limepotea njia ndio linajirudisha kuomba msaada ulielekeze.

Jitu linakuja linakukuta may be upo kwa mtu linaemtafuta, bahati mbaya katoka kidogo umebaki wewe. Halisalimii linafikia kumuangaza mhusika linamkosa, linarudi kukuuliza fulani yuko wapi.. Unagongwa nini? [emoji35][emoji35][emoji35]

Sijajua nyie reaction yenu huwa ikoje, ila mimi sitakagi ujinga. Ukinikuta mazingira fulani ukaacha kutoa salamu hakikisha hautahitaji msaada kwangu. Naweza nikakushushia vinu (matusi) hujawahi kutana navyo. Huwa natafsiri ni kama dharau.

Salamu hufanya hata mtu kuwa mkarimu kwako pale unapohitaji msaada wa jambo fulani, utakuwa umeonyesha uungwana. Ila uje race tu kama vile unayapita mawe, utakubali.
Kukupita bila salamu kuna mengi huenda ni nawazo aliyonayo au ndio hiyo dharau, upande wangu Mimi ukinipita naangalia uko vipi Kama ni dharau nitajua na kama ni bahati mbaya pia nitajua, wa dharau simjibu nitamuangalia tu amalize maneno yake yote Mimi kimya ila huyu mwingine nitamsaidia.
 
Kawaida tu mkuu,.
Ila ngoja nijifunze kusalimia maana huyo ni mimi kabisa,,. Uzuri huwa siulizagi nikipotea au nikimkosa naye mtafuta huwa narudi tu nlikotoka kimyakimya
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mara nyingi ni wanawake ndo walio na hiyo tabia
Najua mtoa mada amemind kwa sababu amepona mwanamke huyo ni kama amemdharau hivi

Me mtu wa hivo HUWA simjibu ntabaki namuangalia tu afu nasepa zanguu
 
Na uhakika mkuu hujawahi ishi na mataifa tofauti na Tanzania hii kasumba ya salamu ni ya hapa Tz tu sema ni nzuri wengi huwa wakija wanauliza hivi huku ukiacha kusalimia unaweza adhibiwa? Mimi nimefanya kazi na watu tofauti tofauti sana kwa kipindi cha miaka6 sasa lakini salam sio kipaumbele kabisa mnaweza maliza mwezi hamjawahi hata kupeana Hi na mkikutana site kazi kazi na story zikibidi kama kawaida.Nimezoea hili japo mwanzo nilipata shida sana lakini wenzetu hawajari.Tembea tembea uone.
 
Wakuu salama?

Kuna watu ni wa ajabu sana. Sijui wanajikutaga akina nani vile. Unakuta jitu limekuja sehemu aidha dukani au popote pale, limekukuta likakupita tu. Limemkosa linaemtafuta halafu linarudi kukuuliza fulani yuko wapi?

Au limekwama huko limepotea njia ndio linajirudisha kuomba msaada ulielekeze.

Jitu linakuja linakukuta may be upo kwa mtu linaemtafuta, bahati mbaya katoka kidogo umebaki wewe. Halisalimii linafikia kumuangaza mhusika linamkosa, linarudi kukuuliza fulani yuko wapi.. Unagongwa nini? 😡😡😡

Sijajua nyie reaction yenu huwa ikoje, ila mimi sitakagi ujinga. Ukinikuta mazingira fulani ukaacha kutoa salamu hakikisha hautahitaji msaada kwangu. Naweza nikakushushia vinu (matusi) hujawahi kutana navyo. Huwa natafsiri ni kama dharau.

Salamu hufanya hata mtu kuwa mkarimu kwako pale unapohitaji msaada wa jambo fulani, utakuwa umeonyesha uungwana. Ila uje race tu kama vile unayapita mawe, utakubali.
Kwa sisi tusio penda kusalimiwa hatuna shida yoyote na huyo mtu ...tatizo ni huyo mtu afanye hivyo kwa nyinyi mitoto mipumbavu mnaosemaga BORA UNITUKANIE BABA YANGU KULIKO MAMA YANGU hapo itakuwa shida maana mnatabia za kikekike ...ndiyo maana ni rahisi kugeuzwa mashoga maana mwapenda sana salamu nyie ...mwapenda salamu kama wazanzibar 😁😁😁😁 utasikia Yahee mbona wanipita tu weyee kama nyuma ujaniona weyeee...
 
Kawaida tu mkuu,.
Ila ngoja nijifunze kusalimia maana huyo ni mimi kabisa,,. Uzuri huwa siulizagi nikipotea au nikimkosa naye mtafuta huwa narudi tu nlikotoka kimyakimya
Hata mimi nikimkosa niliyemfuata na sikusalimia nliokuwata huwa nasepa taratibu. Najua Wahafidhina wanakuwa wako standby nijichanganye niulize wanipe za uso.

"Mbongo anamaindi mambo madogo"

Darassa - Too Nuch
 
Back
Top Bottom