mkali kwanza
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 1,301
- 1,181
pina hawez sumbua kwa koba kimanga.Kama yupo na una uhakika walishakunjana mashati mseme
Aliwahi kwenda kumchumbia Mr.Blue baada ya kuona dogo anajiremba sana na macho anarembuaNakumbuka alimtandika ngumi chid benzi pale maisha club, alimpiga bou nako mpaka akalazwa aga khan, Alikuwa ana gym lake block 41 ukitaka kuingi gym lazima upige push up 1000,aliwahi kumnyoa nywele salama wa eatv, yeye ndiye aliyeanzisha mambo ya kusema hiphop sio bongo flava na bado ana chuki na bongo flava mpaka leo, anapinga madawa ya kulevya ila na yeye anatumia mmea, alishawahi kupigana na p funk majani pale bongo records ilikuwa Noma, aliwahi Kuwa na bifu na kingoko, dudubaya n.k.....Ongezea mengine, Kalapina!!!!!!
Huo ni uzushi kama ulivyo uzushi mwingine. Na walishatoa traki yao ninayo inaitwa "UZUSHI TU"Aliwahi kwenda kumchumbia Mr.Blue baada ya kuona dogo anajiremba sana na macho anarembua
Toka afanye tukio hilo dogo akabadilika akawa na mwonekano wa kiume
What is the basis of ur argument?Mkuu I doubt kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa HIP HOP movement bongo au unaongelea mambo kishabiki.
Do ur researchhapana sio kweli ..track Yakima nature ilitangulia kutoka ilitoka 2005..na hiyo ya kala pina nabii coco "" ilitoka mwaka 2007
Tupe ukweli maana watu wanapotosha sanaWewe unajua harakati za kikosi zilianza kipindi gani? Kama hujui sema tukusaidie mkuu. Hapa sisi ukiongea uongo tu tunakupa uhalisia kwa hiyo kama hujui sema.Movement za Kikosi watu tunazifahamu nje ndani chief.Usidhani hatujui history
HahaaWakati
Wakati unapoielezea kikosi kwa mtazamo hasi kumbuka pia hata huyo Lord Eyes wako ni mwizi mzoefu na alishakamatwa na polisi Arusha kwa kuwaibia wazungu Laptops zao na camera. Usidhani watu hatujui chief.
nimeshaifnya ...na hilo ndio jibu mkuu""Do ur research
Eeh! wazee wa kurekebisha tabia hao..pia koba kimanga mzee wa central
Acha mkuu hiyo kitu sio poa hata kidogo [emoji119][emoji119] yule mtoto wa Morogoro alitenda haki humo"Maisha yangu Nyimbo Tosha"[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Nikisema baadhi yetu hatuna uelewa wa kutosha kuhusu HIP HOP movement mnabisha. Ndio maana toka mwanzo niliwaambia humu ukiongea uongo lazima utaumbuka tu
Hahaa!!!! Ila fido mtoto wa kishua namuonaga anabang Sana na mademu wa kizunguFido anajua kidogo sema ana mguu wa kuku
Naomba hiyo track kama unayoS
Huo ni uzushi kama ulivyo uzushi mwingine. Na walishatoa traki yao ninayo inaitwa "UZUSHI TU"
unao uwo wimbo wa bifu?Pina anasema alimpiga dudubaya mpaka akakimbia pale bill canas kwenye wimbo wake wa beef
Huu msemo unaniacha njia panda! Nifafanulieni.
Ninaomjomba
unao uwo wimbo wa bifu?