Unakumbuka Enzi za Kalapina?

Wakati

Wakati unapoielezea kikosi kwa mtazamo hasi kumbuka pia hata huyo Lord Eyes wako ni mwizi mzoefu na alishakamatwa na polisi Arusha kwa kuwaibia wazungu Laptops zao na camera. Usidhani watu hatujui chief.
Ndiyo ni mwizi wa guest house za kaloleni na maeneo mengi ya starehe.

Una kipya kingine?
 
N2N waliwakuta KIKOSI tayari wanavuma. Mkuu watu wanapenda kupotosha wakidhani sis movement hatuzijui
Hakuna aliyepotosha, umeambiwa vizuri tu umeamua kupindisha, hao kikosi wakiwa na umaarufu wao wamekutana na N2N na wao wakiwa na umaarufu wao.
 
Hebu weka list hapa ya waliosaidiwa na Pinna wakawa maarufu.
 
Mwenye, kuelewa anisaidie jamani
 
Hii collabo ya Cowboy na Kiroboto niliipenda, ingawa sikujua kwamba wamemjibu Kala Pina. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji331] [emoji331] [emoji331] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445]
 
Duh
 
hapana sio kweli ..track Yakima nature ilitangulia kutoka ilitoka 2005..na hiyo ya kala pina nabii coco "" ilitoka mwaka 2007
Duuh! tutalishwa matango pori sana humu ndani
 
Hii collabo ya Cowboy na Kiroboto niliipenda, ingawa sikujua kwamba wamemjibu Kala Pina. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji331] [emoji331] [emoji331] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445]
Tango pori hilo mzee usilichukue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…