DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Hahahahahaha....Mkuu mdachi alikua boya tu linapokuja swala kikosi cha mizinga walishawahi kumuamsha midnight aatengenezee biti na mdachi alitii bila shuruti
Kalapina hajawahi kumpiga Bou Nako.Ukitaka kijua ukweli wa kilichotokea siku hiyo sikiliza ngoma ya Bou Nako na Fidoo jina nimesahau kidogo
Mpaka miraji kikwete alitukanwa humo.nabii koko,kuna nyimbo yake ile moja ya matusi alitukana watu wengi ,mpaka kina prof jay na wabongo fleva kibao
kalapina ...anaga nguvu aliwai kupewa kichapo na Nuruhel ...tena Nuruhel alikuwa amelewa ...lakn alimpa kichapo...heavy.....Bongo mtu mwenye nguvu ni P.Funky majani....siunakumbuka siku ile Afande sele alipovutia bangi ...kwao na akina P..Funky ...yaani p..funky alipoamka akasikia alufu ya bangi ...ndipo alipompa kipigo mpaka Afande sele akaomba msamaha..yeye na marasta wake...icho ndo kilikuwa kisa cha kumfanya Afande shame dar nakwenda kwao maro.
Yaaah man anakuambia anamshukuru boban,yeye anatimbar dar daily ila pina haibuki arushaKalapina hajawahi kumpiga Bou Nako.Ukitaka kijua ukweli wa kilichotokea siku hiyo sikiliza ngoma ya Bou Nako na Fidoo jina nimesahau kidogo
Boban ndo alimtetea bou au?Yaaah man anakuambia anamshukuru boban,yeye anatimbar dar daily ila pina haibuki arusha
Yaap baada ya kupigwa nondo ,boban ndo alimchukua akampeleka aga khan hospitalBoban ndo alimtetea bou au?
Unaitwa "Beef ".nabii koko,kuna nyimbo yake ile moja ya matusi alitukana watu wengi ,mpaka kina prof jay na wabongo fleva kibao
Hahaa!!!! Ilikuwa NomaHiyo kumpiga Bou nako mpk akalazwa sio kweli walimpiga kikundi sio pina peke yake ni story tu... Halaf hiyo na yule mdachi ndo naisikia hapa
Akasema prof ana ukimwinabii koko,kuna nyimbo yake ile moja ya matusi alitukana watu wengi ,mpaka kina prof jay na wabongo fleva kibao
Kwa hiyo pina mchumba tuPina mtoto mdogo sana tulize Sisi wakongwe wa huko block enzi tangia kundi lililokuwa linaitwa Indiana polis kaka zake pina walikuwepo humo enzi Hizo hakuna kitu kinaitwa kikosi kwanza pina ni muoga wa askari sana sana alikuwa anawapiga watoto mgoba saba tu n'a kuwateka
Ova
Mbona sijawah kusikia pina ana demu mkaliUgomvi wake mwingi ulikuwa ni wa Madem tu
Ova
Hahaa!!!! Ila mdachi na Hashim Dogo walikuwa marafiki labda kama walizinguana baadaeMkuu mdachi alikua boya tu linapokuja swala kikosi cha mizinga walishawahi kumuamsha midnight aatengenezee biti na mdachi alitii bila shuruti
Mdachi Alikuwa anaonea watu wazembe kama afande sele unakumbuka alimpiga vibao afande sele pale bongo recordsMdachi naye alikuwa mtata, kama alifanya hivyo basi walikuwa wengi, ila Pina pekeyake asingethubutu kumzingua
Pina anasema alimpiga dudubaya mpaka akakimbia pale bill canas kwenye wimbo wake wa beefAnayejua kilichotokea kati ya Pina na Dudubaya atupe story, maana kila mtu anazungumza lake. Nikimnukuu Dudubaya kwenye interview zake kadhaa anasema tangu azaliwe hajawahi kupigwa wala kupigana, yeye huwa anapiga tu