Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,233
- 8,022
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini pamoja na ubabe wote huo,leo hii anawacholea 7 washkaji
Mr blue naye tatizo ubitoz mwing mpaka kujipaka make upAlimtumia posa Mr blue byser
Ushamba wake ulikuwa nini!
!
Mshamba Sana Alikuwa Huyu Mshkaji
Ngoja niitafuteKuna ngoma ya kikosi walimshirikisha Belle 9 inaitwa *maisha yangu nyimbo tosha* ilikua ni ngoma kali sana ila sikuwahi kusikia ikipigwa redioni labda kwasababu ya ukali wa maneno ya Pina
Mmm Mmmmhhhh!!!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] uchochezi huo,clouds mbona wote wachoraji wa hiyo 7,pale hakuna awezaye kuchora moja
Hahaaalieahi kusema Msanii bora wa kike nchibi kwa kipindi hiko ni Voice Wonder.
Dharau iliyoje?
Yeah kata mbili tatu anazijua... Hata fido vato nae anacheza kickboxing .Nasikia anapiga karate
Fado huwa anajikuta Gangster Sana Sasa sijui kama ni kweli yeye ni thugYeah kata mbili tatu anazijua... Hata fido vato nae anacheza kickboxing .
Nasikia hata Lord Eyez alikuwa noma kwenye karateYeah kata mbili tatu anazijua... Hata fido vato nae anacheza kickboxing .
Solo Thang,alikuwa na bifu na Hashim Dogo wa kikosi.Kutokana na style yake ya kughani.Solo alikopi kwa Hashim Dogo "mwendawazimu fogo" style hiyo kwa madai ya Hashim DogoAliwahi tuma posa kwa Mr Blue, Aliwahi mteka Solo Thang
Mi naona hazifananiSolo Thang,alikuwa na bifu na Hashim Dogo wa kikosi.Kutokana na style yake ya kughani.Solo alikopi kwa Hashim Dogo "mwendawazimu fogo" style hiyo kwa madai ya Hashim Dogo
Lord nasikia alimkalisha pina bill canasNasikia hata Lord Eyez alikuwa noma kwenye karate
Pina mtoto mwepesi tu kwanza hajawahi kulala selo si anakaa pale block opp na kwa nwakitange ......pina wengine anatuamkiaaa tuHivi hawa wakina pina siwalikua watoto wa kishua?
Teh teh sema pina alikuwa na mambo ya kishamba tu block waliponshtukia wakaachana naye ndy kikosi ikafaaaMbona sijawah kusikia pina ana demu mkali