[emoji1787][emoji1787][emoji1787] alikua bint alielelewa mjini niseme wazazi wake walimpa uhuru sana na alikua bint peke na kaka zake sita kwahiyo alijifanya kuwaiga tabia, pia hakua romantic alikua anatabia nyingi za kiume, ila nilimuondawa kinamna namshukuru Mungu,[emoji3][emoji3][emoji3] Em mkuu nihadithie kdgo kuhusu huyo dem wa kukaa vijiweni??? Alkua mmama au ....Inashangaza
aiseeh!!! mlikutana mazingira gani mkuu 😀Wakitanga nilishakua nae alikua na tabia ya kukaa vijueni kunywa kahawa na watu nakupiga stori za simba na Yanga.....
namna hiyo!! yani kama mbwa wa jeshi😁😁" Aisse, mama pendo na mme wake ndio wanakula laifu, sisi wengine ni wasindikizaji tu " Hilo nilirushiwa na bidada kipindi ndio Kwanza tuna anza anza maisha...!!! sikumsemesha kwa pale, ila siku ya pili katoka kwenye mishe zake akakuta kitasa kipya, aliponipigia simu nikamwambia atizame kwenye simu nimemtumia hela ya nauli ya kwao, na mabegi nimeshayatanguliza na basi. Kisha nikabadilisha laini na kuhama mtaa kwa miezi minne. Nilipomrudisha na kumueleza kosa lake, alibaki anashangaa tu, ila ninaishi nae mpaka sasa, watoto 3, nikikohoa tu, anaruka, Na akitaka kuongea anaomba ruhusa, Kisha anaongea taratibu kwa kuchagua maneno...[emoji41][emoji41][emoji41] !!!!
mkuu kuna wale unapata wanapiga transit na madereva wa malori huwa wanakula veve kama mbuzi 😁mrangi gani anakula veve😂😂😂 bora ulivomuacha
ahahahHivyo tu mzee....! Mimi nilikua na huyo tulidumu kwenye mapenzi kama miezi saba hivi siku akabadilisha mche akanogewa dharau zikaanza na kuni tamkia kavu kavu na kunitemea mate juu "Nikija kukuvulia chupi yangu wewe sijui labda utombe maiti yangu" hahahahaha sikuumia sana kwakua nilikua na kwa kupoteza muda. Basi bana mimi ni wale type ya wanaume tusiokubali kushindwa na mwanamke, Nikasubiri kwanza penzi jipya lipoe Poe milivyo nusa tu halufu ya kupoa kwa penzi lake jipya nilirudi kwa nguvu zote nikalivuruga kabisa na kumpa mimba juu nilivyo ona tumbo limesha onekana nikamkumbusha tu alivyo nitukana niliweka moyoni na nimelipa kisasi na ukijifanya kuleta ujuaji sihofii kupoteza damu yangu huku nikimuangalia usoni kwa uso mkavu. Aliliaaa sanaaa aisee hadi leo yupo chini yangu namtuma kama mtoto hadi huruma....ila najua nikimlegezea tu kitanirudi so full ukauzu
Mkuu alikuja ofisini kwangu kufanya internship akaniomba offer nikampa offer sikujipa mda wakumjua sana tukaanza mahusiano alivo nizoea kaanza kuonyesha her "true calours'....ndo nikatafuta mbinu za kusepa bila funjo.aiseeh!!! mlikutana mazingira gani mkuu 😀
Umeanza kampeni mapema sana...[emoji119][emoji119][emoji119] bonge la ushaur kwa mimi nae tarajia kuoa 2025
huyo angekujakuwa na ujangili sanaMkuu alikuja ofisini kwangu kufanya internship akaniomba offer nikampa offer sikujipa mda wakumjua sana tukaanza mahusiano alivo nizoea kaanza kuonyesha her "true calours'....ndo nikatafuta mbinu za kusepa bila funjo.
[emoji23] [emoji23]sana mkuu, alafu hawa viumbe wamejaliwa uwezo wa kutuchapa kwa maneno yaani hadi unajihisi we ni taka taka kabisa.
Mkuu umempenda saaana huyo na ni jambo jema piaHivyo tu mzee....! Mimi nilikua na huyo tulidumu kwenye mapenzi kama miezi saba hivi siku akabadilisha mche akanogewa dharau zikaanza na kuni tamkia kavu kavu na kunitemea mate juu "Nikija kukuvulia chupi yangu wewe sijui labda utombe maiti yangu" hahahahaha sikuumia sana kwakua nilikua na kwa kupoteza muda. Basi bana mimi ni wale type ya wanaume tusiokubali kushindwa na mwanamke, Nikasubiri kwanza penzi jipya lipoe Poe milivyo nusa tu halufu ya kupoa kwa penzi lake jipya nilirudi kwa nguvu zote nikalivuruga kabisa na kumpa mimba juu nilivyo ona tumbo limesha onekana nikamkumbusha tu alivyo nitukana niliweka moyoni na nimelipa kisasi na ukijifanya kuleta ujuaji sihofii kupoteza damu yangu huku nikimuangalia usoni kwa uso mkavu. Aliliaaa sanaaa aisee hadi leo yupo chini yangu namtuma kama mtoto hadi huruma....ila najua nikimlegezea tu kitanirudi so full ukauzu
[emoji23] [emoji23] eti treni airportMie baada ya kukaa mwezi sijamuona nikamfata kwake, alinijibu " I'll come see you when I have time to see you" ... hapo nikajisemea moyoni hapa nasuburia treni airport.
nakwambia kuna kauli zao wanatumia zinaweza kukupa kesi kama si mtu wa kuhimili hasirasana mkuu, alafu hawa viumbe wamejaliwa uwezo wa kutuchapa kwa maneno yaani hadi unajihisi we ni taka taka kabisa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]You seem to be a good boy...tell you what ? Wanawake hawawapendi good boys...mpelekeshe...siku moja usurudi nyumbani...nenda disco lala sehemu nyoa nywele zote mwilini km yule DJ wa gongo la mboto....atanyooka au piga chini leo leo huyo freak atakutesa
hivi yule DJ alimalizana na msala wake mkuu? 😁 😁You seem to be a good boy...tell you what ? Wanawake hawawapendi good boys...mpelekeshe...siku moja usurudi nyumbani...nenda disco lala sehemu nyoa nywele zote mwilini km yule DJ wa gongo la mboto....atanyooka au piga chini leo leo huyo freak atakutesa
[emoji23] [emoji23] mkuu una ujasiri kama mieHivyo tu mzee....! Mimi nilikua na huyo tulidumu kwenye mapenzi kama miezi saba hivi siku akabadilisha mche akanogewa dharau zikaanza na kuni tamkia kavu kavu na kunitemea mate juu "Nikija kukuvulia chupi yangu wewe sijui labda utombe maiti yangu" hahahahaha sikuumia sana kwakua nilikua na kwa kupoteza muda. Basi bana mimi ni wale type ya wanaume tusiokubali kushindwa na mwanamke, Nikasubiri kwanza penzi jipya lipoe Poe milivyo nusa tu halufu ya kupoa kwa penzi lake jipya nilirudi kwa nguvu zote nikalivuruga kabisa na kumpa mimba juu nilivyo ona tumbo limesha onekana nikamkumbusha tu alivyo nitukana niliweka moyoni na nimelipa kisasi na ukijifanya kuleta ujuaji sihofii kupoteza damu yangu huku nikimuangalia usoni kwa uso mkavu. Aliliaaa sanaaa aisee hadi leo yupo chini yangu namtuma kama mtoto hadi huruma....ila najua nikimlegezea tu kitanirudi so full ukauzu
Hahaaaaaaa...hivi yule DJ alimalizana na msala wake mkuu? [emoji16] [emoji16]