mulwanaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 5,262
- 12,855
Wakitanga nilishakua nae alikua na tabia ya kukaa vijueni kunywa kahawa na watu nakupiga stori za simba na Yanga.....Huyo lazma mtoto wa kitanga tu[emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakitanga nilishakua nae alikua na tabia ya kukaa vijueni kunywa kahawa na watu nakupiga stori za simba na Yanga.....Huyo lazma mtoto wa kitanga tu[emoji28]
Nilidhani nishasikia kila kitu humu dunian[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alikuwa anaongea na simu huku akifoka.. nikamuuliza vipi mama unaongea na nani mbona unamfokea ivo akaniambia ni mtu wangu wa zamani bado ananililia lia hapa.. nikasema duu.. akajibu..
" wakati wake ulishapita , sahizi ni wakati wako bhana, ukitoka wewe utakuja wakati wa mwingine pia , ndo maisha yenyewe"..
sana mkuu, alafu hawa viumbe wamejaliwa uwezo wa kutuchapa kwa maneno yaani hadi unajihisi we ni taka taka kabisa.Mwanamke akiwa na soko anakuwa na nyodo.
pole Sana mkuu'' kunihudumia unanihudumia, kunijali unanijali lakini najikuta sikupendi tu ujiongeze na wewe" ...hii kauli sitaisahau niliamua kusepa kimya kimya mwisho akianza kunitafuta nikamwambia na Mimi nimejikuta tu simpendi, Hadi Leo anajifanya rafiki namimi namchora tu.
Wewe ni miongoni mwa wanaume wachache waliobakia" Aisse, mama pendo na mme wake ndio wanakula laifu, sisi wengine ni wasindikizaji tu " Hilo nilirushiwa na bidada kipindi ndio Kwanza tuna anza anza maisha...!!! sikumsemesha kwa pale, ila siku ya pili katoka kwenye mishe zake akakuta kitasa kipya, aliponipigia simu nikamwambia atizame kwenye simu nimemtumia hela ya nauli ya kwao, na mabegi nimeshayatanguliza na basi. Kisha nikabadilisha laini na kuhama mtaa kwa miezi minne. Nilipomrudisha na kumueleza kosa lake, alibaki anashangaa tu, ila ninaishi nae mpaka sasa, watoto 3, nikikohoa tu, anaruka, Na akitaka kuongea anaomba ruhusa, Kisha anaongea taratibu kwa kuchagua maneno...[emoji41][emoji41][emoji41] !!!!
😂😂😂Yaaani wewe siyo special ... Alikuwa fala kweli huyo.....
😂😂Aliniambia ana hisia na ex wake
pole Sana mku
Asante, japo yalishapita.pole Sana mkuu
😂😂"Yani mwanaume umezubaa tu upo upo tu kama lizoba"
Khaaaa😂😂
Looh 😂😂😂Wakitanga nilishakua nae alikua na tabia ya kukaa vijueni kunywa kahawa na watu nakupiga stori za simba na Yanga.....
😂😂Kuna binti flani nilikua na date nae kipindi nipo chuo hapa mjini. Huyu binti sijui ni usichana mwingi, u much know sana, sijui ndio alikua ame hit peak yake au lah.
Alikua anapenda sana matusi ya reja reja. Leo akwambie acha usenge bhasi, mara upo slow sana, acha uboya na mengineyo mengi. Ila on top ni hili "**** you boy". Alinambia mara ya kwanza nikamkanya hakusikia.
Aliporudia mara ya pili, nikasema acha iwe. Mwanaume nikapiga chini. Cha ajabu sasa alinililia sana. Mno mpaka kunitishia amebeba ujauzito wangu, mpaka nikabaki nashangaa sasa matashtiti yots yale yalikua ya nini.
Nimehudumia sana Yule mwanamke , covid-19 ilivuruga tu mfumo wangu wa kiuchumi.si unaonekana bahili.[emoji23][emoji23][emoji23] maana hutoi hadi uombwe
Hzo hua ni kauli za ma single maza"Yaani mb0.0 yako kabla sijakutana na wewe sikufikiria kuna mwanaume yuko hivyo. Ni ndogo sana"
Nilinywea feelings mpaka pvmbu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee noma sanaa"Yaani mb0.0 yako kabla sijakutana na wewe sikufikiria kuna mwanaume yuko hivyo. Ni ndogo sana"
Nilinywea feelings mpaka pvmbu.