Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Yaani pale tu Mungu alipomuuliza Adam kwanini umekula tunda na Adam akajibu, "NI HUYU MWANAMKE ULIYENIPA NDIYE ALIYENISHAWISHI" (wakati alikuwa na uwezo wa kulikataa lile tunda) hapo ndipo matatizo yalipoanzia.

Ikawa kuanzia hapo kila baya linalotokea hapa duniani hususani kwenye mahusiano ya kimapenzi au ndoa kina Adam lazima waseme wanawake ndiyo chanzo, hata kama kuna vingine chanzo ni wao wenyewe hilo hawakubali wao siku zote huwa wanajiona wako innocent na wataendelea kutuona wanawake ndiyo wabaya hadi mwisho wa dahari kwa sababu ilianzia kwa Adam.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti ndipo matatizo yalipoanzia.

Naona tu jinsi wanavyotulaumu humu[emoji23][emoji23]
 
Alikuwa anaongea na simu huku akifoka.. nikamuuliza vipi mama unaongea na nani mbona unamfokea ivo akaniambia ni mtu wangu wa zamani bado ananililia lia hapa.. nikasema duu.. akajibu..

" wakati wake ulishapita , sahizi ni wakati wako bhana, ukitoka wewe utakuja wakati wa mwingine pia , ndo maisha yenyewe"..
 
Alikuwa anaongea na simu huku akifoka.. nikamuuliza vipi mama unaongea na nani mbona unamfokea ivo akaniambia ni mtu wangu wa zamani bado ananililia lia hapa.. nikasema duu.. akajibu..

" wakati wake ulishapita , sahizi ni wakati wako bhana, ukitoka wewe utakuja wakati wa mwingine pia , ndo maisha yenyewe"..
Duh kwani yeye amekua kama basi ya mwendo kasi kushusha nakupakia abiria wampya pole sana
 
niliwahi ambiwa "we si unanichukulia poa eee!!! kwa taarifa yako kuna wanaume wazuri na wenye vipato zaidi yako wananihitaji"

kauli hii ilinikata maini nikaamua kumuacha taratibu,
wanawake sa ingine wakiuliziwa sana na vidume kitaa huvimba bt matokeo yake huangukia pua na kuwakumbuka walowatamkia shit
 
Ilikua kwenye simu halafu niko chimbo sina hela nikaamua nimkope jamaa yangu amtumie,baada ya hapo nilikata mawasiliano,nika block namba zote maisha yanaendelea. Kuna kutoa kwa aina mbili kwa wanawake, kuna mwanaume anatoa kwa sababu anazo lakini pia kuna mwingine hata kama hana atakopa ili mtu wake atatue shida zake. Sisi wa hili kundi la pili huwa haui appreciated kabisa.
si unaonekana bahili.😂😂😂 maana hutoi hadi uombwe
 
niliwahi ambiwa "we si unanichukulia poa eee!!! kwa taarifa yako kuna wanaume wazuri na wenye vipato zaidi yako wananihitaji"

kauli hii ilinikata maini nikaamua kumuacha taratibu,
wanawake sa ingine wakiuliziwa sana na vidume kitaa huvimba bt matokeo yake huangukia pua na kuwakumbuka walowatamkia shit
Mwanamke akiwa na soko anakuwa na nyodo.😂😂😂
 
Alikuwa anaongea na simu huku akifoka.. nikamuuliza vipi mama unaongea na nani mbona unamfokea ivo akaniambia ni mtu wangu wa zamani bado ananililia lia hapa.. nikasema duu.. akajibu..

" wakati wake ulishapita , sahizi ni wakati wako bhana, ukitoka wewe utakuja wakati wa mwingine pia , ndo maisha yenyewe"..
[emoji849][emoji849]
 
Alikuwa anaongea na simu huku akifoka.. nikamuuliza vipi mama unaongea na nani mbona unamfokea ivo akaniambia ni mtu wangu wa zamani bado ananililia lia hapa.. nikasema duu.. akajibu..

" wakati wake ulishapita , sahizi ni wakati wako bhana, ukitoka wewe utakuja wakati wa mwingine pia , ndo maisha yenyewe"..
Hahahahah hii lazma macho yakutoke kama fundi saa 😅😅😅
 
Mmh nilipata mrembo slayi queen nilidhani nimepata mke wa kudumu.....siku moja namkuta chumbani anatafuna mirungi (mira) na bigG nilishia nguvu nilianza kujiiuliza masuali mengi......nimeferi wapi lakini
Huyo lazma mtoto wa kitanga tu😅
 
Kuna binti flani nilikua na date nae kipindi nipo chuo hapa mjini. Huyu binti sijui ni usichana mwingi, u much know sana, sijui ndio alikua ame hit peak yake au lah.

Alikua anapenda sana matusi ya reja reja. Leo akwambie acha usenge bhasi, mara upo slow sana, acha uboya na mengineyo mengi. Ila on top ni hili "https://jamii.app/JFUserGuide you boy". Alinambia mara ya kwanza nikamkanya hakusikia.

Aliporudia mara ya pili, nikasema acha iwe. Mwanaume nikapiga chini. Cha ajabu sasa alinililia sana. Mno mpaka kunitishia amebeba ujauzito wangu, mpaka nikabaki nashangaa sasa matashtiti yots yale yalikua ya nini.
 
" Aisse, mama pendo na mme wake ndio wanakula laifu, sisi wengine ni wasindikizaji tu " Hilo nilirushiwa na bidada kipindi ndio Kwanza tuna anza anza maisha...!!! sikumsemesha kwa pale, ila siku ya pili katoka kwenye mishe zake akakuta kitasa kipya, aliponipigia simu nikamwambia atizame kwenye simu nimemtumia hela ya nauli ya kwao, na mabegi nimeshayatanguliza na basi. Kisha nikabadilisha laini na kuhama mtaa kwa miezi minne. Nilipomrudisha na kumueleza kosa lake, alibaki anashangaa tu, ila ninaishi nae mpaka sasa, watoto 3, nikikohoa tu, anaruka, Na akitaka kuongea anaomba ruhusa, Kisha anaongea taratibu kwa kuchagua maneno...[emoji41][emoji41][emoji41] !!!!
👏Hahah you handled that disrespect situation like a real man! 😂😂😂!!! Safi sana mzee adabu imerejea mahali pake.
 
Kuna binti flani nilikua na date nae kipindi nipo chuo hapa mjini. Huyu binti sijui ni usichana mwingi, u much know sana, sijui ndio alikua ame hit peak yake au lah.

Alikua anapenda sana matusi ya reja reja. Leo akwambie acha usenge bhasi, mara upo slow sana, acha uboya na mengineyo mengi. Ila on top ni hili "**** you boy". Alinambia mara ya kwanza nikamkanya hakusikia.

Aliporudia mara ya pili, nikasema acha iwe. Mwanaume nikapiga chini. Cha ajabu sasa alinililia sana. Mno mpaka kunitishia amebeba ujauzito wangu, mpaka nikabaki nashangaa sasa matashtiti yots yale yalikua ya nini.
Alikuwa anajifanya Tom-Boy uchwara! 😂😂😂
 
Back
Top Bottom