Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Yeah kabisa. Ukishaona tu mwanamke anakutolea kauli za ajabu ambazo zinaonyesha kuwa hakujali na anakuona kuwa wewe ni for granted, wewe jifanye mnyonge na mnyenyekevu then muingize katika kumi na nane yako kisha una mbadilikia......

Kuna brother, alikuwa amekutana na mwanamke wa sampuli hiyo, jamaa akawa mpole sana. Kumbe ameanza mahusano na rafiki ya huyo dada kwa siri na ameshamwambia shida za rafiki yake.

Unajua kuna ile hali mkeo anakuwa na rafiki yake unakuja mjua umeshaanza na mkeo tayari. Sasa mkeo awe na matabia ya ajabu hadi rafiki yake anajua na ameshaona kuwa wewe ni mtu poa sana sema tu mkeo hajui bahati aliyonayo kuwa na wewe.

Jamaa ameshakaa na mwanamke miaka kadhaa kumbe alikuwa anayapanga maisha na rafiki wa mkewe wakafanya maandalizi mengi sana nje ya mkewe kujua.

Kuna siku mwanamke mke wa jamaa kama kawaida yake akamtolea zile kauli za ondoka kama unaona nakukera na hakuna mwanamke atakuwa na wewe, jamaa akaona isiwe shida akaamua kuondoka tu siku moja kimya kimya akahamia makazi mapya na huyo mwanamke.

Na maisha yakaenda poa tu. Siku ziakenda demu anakuja kujua jamaa ana mtoto na mwenzake na maisha ni safi tu..... Akajiribu wafanyia fujo ila wapi ndio ikawa tamati yake.
Dah, hii mwanetu ni noma. Jamaa alikuwa kashaoa lakini au ndio dating for marriage?
Kuchukuliwa marafiki zao ipo sana. Unajua sie kuna wanawake wanatutamanigi sana sema access hawana ila ikitokea coincidence wanapenyeaga hapo na kuonekana ma snitch kwa wake zetu. Mwanamke anaona care anazopewa mwenzie ila hana shukurani huwa inawauma sana.
 
Huwa napenda kufananisha uhusiano na business life cycle kama kitu ambacho huwa na stages tofauti. Introduction,growth, maturity and decline stage.

Katika mahusiano kunakuwaga na point ikifika mahusiano huwa tena sio raha bali karaha tu na hapa ndipo hekima hutakiwa ku kick in.Hii ni kutokana na mmoja kuacha kuweka efforts to make it work au kupuuza hisia za mwenzie.

Hali hii huambatana na kauli za kukaraisha nafsi ambazo mmojawapo huzitoa just to make the situation worse. Lets share zile kauli zilizowahi kuchafua nafsi zetu! Nakumbuka hizi:

"We mbona hauko smart kama vijana wenzio"

"Una gubu sana we mwanaume hadi unaboa"

"Sa utapigia wanaume wenzio simu hadi lini?"

"Yani mwanaume umezubaa tu upo upo tu kama lizoba"

"Sasa kama mtu humuamini unakuwa nae wa nini..si umuache tu!"
Bado ndo Niko kwenye decline nikisha mapiza ntakuja.
 
"I want someone special".. Feken sana..

vidada vya hivo huwa vinamaisha ya ajabu ajabu sana[emoji1787].kuna kingine kilinambia “nataka kuwa na mtu ambaye yupo serious anaelewa anafanya nini,mimi saivi utoto utoto sitaki nataka tutulie tupange maisha” nikasema powa nitajirekebisha,haikuchukua muda kikarudiana na bwana wake wa zamani afu kikaanza na kunipiga vizinga ikabidi nikiache
 
vidada vya hivo huwa vinamaisha ya ajabu ajabu sana[emoji1787].kuna kingine kilinambia “nataka kuwa na mtu ambaye yupo serious anaelewa anafanya nini,mimi saivi utoto utoto sitaki nataka tutulie tupange maisha” nikasema powa nitajirekebisha,haikuchukua muda kikarudiana na bwana wake wa zamani afu kikaanza na kunipiga vizinga ikabidi nikiache
Kidemu kinakwambia kinataka mtu aliye serious wakati chenyewe hata shughuli ya kufanya hakina 😂😂😂
 
ila mnajua kulalamika jamani, khaaa, sasa mkitukera tusiwaaambie???????? ukiona mpaka mwanamke anakutamkia hayo aliyoorodhesha mleta uzi, ujue amefikia kikomo cha uvumilivu, mana usiombe ukutane na mwanaume ambae hajitambui wala hajui anataka nini kwenye hayo mahusiano, utajutraaaaaaaaaaa
 
ila mnajua kulalamika jamani, khaaa, sasa mkitukera tusiwaaambie???????? ukiona mpaka mwanamke anakutamkia hayo aliyoorodhesha mleta uzi, ujue amefikia kikomo cha uvumilivu, mana usiombe ukutane na mwanaume ambae hajitambue wala hajui anataka nini kwenye hayo mahusiano, utajutraaaaaaaaaaa
Hapa amekukera na nini?

"Kama mimi unanipa hichi ki-laki mbili na nusu chako, sasa hao wanawake zako wengine si utawapa zaidi"

#YNWA
 
ila mnajua kulalamika jamani, khaaa, sasa mkitukera tusiwaaambie???????? ukiona mpaka mwanamke anakutamkia hayo aliyoorodhesha mleta uzi, ujue amefikia kikomo cha uvumilivu, mana usiombe ukutane na mwanaume ambae hajitambue wala hajui anataka nini kwenye hayo mahusiano, utajutraaaaaaaaaaa
Sema wewe mama! Naona tu wanavyokaa wanaambizana uongo wanaoujua utafikiri wanatujua kuliko sisi tunavyojijua wenyewe!

Afadhali hakuna wanawake waliocomment kujitetea na hizi tuhuma maana tumeshaizoea hiyo jinsia kwa kutupia lawama jinsia yetu tu hawajambo! Waache waendelee kulalamika humu halafu tuone watafikia suluhisho lipi!
 
Hapa amekukera na nini?

"Kama mimi unanipa hichi ki-laki mbili na nusu chako, sasa hao wanawake zako wengine si utawapa zaidi"

#YNWA
ndo mana nikasema ukitamkiwa aliyoorodhesha mleta mada, hayo mengine ni ngumu kujaji mana sijui makubaliano yenu
 
Huwa napenda kufananisha uhusiano na business life cycle kama kitu ambacho huwa na stages tofauti. Introduction,growth, maturity and decline stage.

Katika mahusiano kunakuwaga na point ikifika mahusiano huwa tena sio raha bali karaha tu na hapa ndipo hekima hutakiwa ku kick in.Hii ni kutokana na mmoja kuacha kuweka efforts to make it work au kupuuza hisia za mwenzie.

Hali hii huambatana na kauli za kukaraisha nafsi ambazo mmojawapo huzitoa just to make the situation worse. Lets share zile kauli zilizowahi kuchafua nafsi zetu! Nakumbuka hizi:

"We mbona hauko smart kama vijana wenzio"

"Una gubu sana we mwanaume hadi unaboa"

"Sa utapigia wanaume wenzio simu hadi lini?"

"Yani mwanaume umezubaa tu upo upo tu kama lizoba"

"Sasa kama mtu humuamini unakuwa nae wa nini..si umuache tu!"
"Mimi siamini kauli ya mwana umme yoyote eti hana pesa isipo kua Baba angu tu ndo nae mwaamini" anapekua walleti yangu kila wakati, nikaona anifae kabisa nikatafuta mbinu za kumpiga chini, baada ya kuchanachana cheti chake cha ndoa ilikumpunguza usumbufu wa talaka
 
"Mimi siamini kauli ya mwana umme yoyote eti hana pesa isipo kua Baba angu tu" anapekua walleti yangu kila wakati, nikaona anifae kabisa nikatafuta mbinu za kumpiga chini, baada ya kuchanachana cheti chake cha ndoa ilikumpunguza usumbufu wa talaka
Hahahaha duh hii ni noma...yani demu wako ana kufanyia robbery ya pesa.
 
Back
Top Bottom