Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Heheheh command kama zipi unazipendaga? "Rara chini nikurenge"? [emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
No jamani. Kuna ile tu mwanaume akiongea basi adabu unaishika. Mafahali wawili hawakai zizi moja. Lazima mmoja ajishushe. Yaan ukiachiwa maagizo unahakikisha umekamilisha maana unajua eh baba akirudi nitashaa. A man should have a voice bwana. Sasa jamani nikapate mume kama pili..pili si nitajikuta na makofi nampiga? Nataka ujinga mimi?[emoji1787][emoji1787] sasa kama sikuheshimu kuna raha gani wewe kuwa mwanaume? Nichangamshe. Nipe presha nilalamike kwenye committee ya mashost zangu jaman Extrovat ananinyanyasa kisa nanpenda... nilie lie. Yaani. Kwanini upooze[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaha hakuna trust me. I am an ordinary lady. I want that thing let q man be a man. I hate competitions. Nikishindwa basi nutaondoka ila no battles. Mwanaume na asimame nafasi yake
Hahahah thats the shiyt i like. Hongera kwa ku keep it real!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
No jamani. Kuna ile tu mwanaume akiongea basi adabu unaishika. Mafahali wawili hawakai zizi moja. Lazima mmoja ajishushe. Yaan ukiachiwa maagizo unahakikisha umekamilisha maana unajua eh baba akirudi nitashaa. A man should have a voice bwana. Sasa jamani nikapate mume kama pili..pili si nitajikuta na makofi nampiga? Nataka ujinga mimi?[emoji1787][emoji1787] sasa kama sikuheshimu kuna raha gani wewe kuwa mwanaume? Nichangamshe. Nipe presha nilalamike kwenye committee ya mashost zangu jaman Extrovat ananinyanyasa kisa nanpenda... nilie lie. Yaani. Kwanini upooze[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahah ondoa shaka, maombi yako yamejibiwa😂😂😂! Im good at putting a woman in her place...Proudly a black king!
 
Haki wanaume wa jf mna gubuuu[emoji119][emoji119][emoji119]

Nimecheka sana lakini, poleni pia kwa maumivu. Hope with time mtapona.
Yaan utafikiri sisi hawatuudhi jamani wanaume wanaongea mwee
 
Back
Top Bottom