Pilot_In_Command
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 2,507
- 3,442
Hao akil zao mie naona zinaendana tu wao wanaita (ATTENTION) sas kilichobak tunafake Attention tunakula tunatembea nishachokaHahahah sasa mtu uache kaz uchat nayeye, next time make sure una date na 25+ mzee! Thats for serious
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Heheheh command kama zipi unazipendaga? "Rara chini nikurenge"? [emoji23]
Hahaha hakuna trust me. I am an ordinary lady. I want that thing let q man be a man. I hate competitions. Nikishindwa basi nutaondoka ila no battles. Mwanaume na asimame nafasi yakeIla akiwa hivyo mtasema tena oh limwanaume lina ukoloni sana. Ubabe mwingi sana.
Hahahah thats the shiyt i like. Hongera kwa ku keep it real!Hahaha hakuna trust me. I am an ordinary lady. I want that thing let q man be a man. I hate competitions. Nikishindwa basi nutaondoka ila no battles. Mwanaume na asimame nafasi yake
Utakuwa lizoba kweli, haiwezekani watatu wote[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ya pili kutoka mwisho from 3 girls....
Hahahaaaa.....
The feeling is a bullet, I don't catch it anymore..
Hahahah ondoa shaka, maombi yako yamejibiwa😂😂😂! Im good at putting a woman in her place...Proudly a black king![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
No jamani. Kuna ile tu mwanaume akiongea basi adabu unaishika. Mafahali wawili hawakai zizi moja. Lazima mmoja ajishushe. Yaan ukiachiwa maagizo unahakikisha umekamilisha maana unajua eh baba akirudi nitashaa. A man should have a voice bwana. Sasa jamani nikapate mume kama pili..pili si nitajikuta na makofi nampiga? Nataka ujinga mimi?[emoji1787][emoji1787] sasa kama sikuheshimu kuna raha gani wewe kuwa mwanaume? Nichangamshe. Nipe presha nilalamike kwenye committee ya mashost zangu jaman Extrovat ananinyanyasa kisa nanpenda... nilie lie. Yaani. Kwanini upooze[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Ya pili kutoka mwisho from 3 girls....
Hahahaaaa.....
The feeling is a bullet, I don't catch it anymore..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata mie dume zoba silitaki.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]NiLiwahi kuulizwa" hivi wakiitwa wanaume na wewe utakwenda?".
😂😂 Pamoja na hayo yote bafo tumedumu![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Dah kauli mbaya sana hii.
Yaan utafikiri sisi hawatuudhi jamani wanaume wanaongea mweeHaki wanaume wa jf mna gubuuu[emoji119][emoji119][emoji119]
Nimecheka sana lakini, poleni pia kwa maumivu. Hope with time mtapona.
Na wanajua kulaani hao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaan utafikiri sisi hawatuudhi jamani wanaume wanaongea mwee
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Gubu, hapo kweli alikupatia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila mpare una gubu wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha kuponda wewe...mkiambiwa muache uzembe mnasingizia gubu[emoji23][emoji23][emoji23]
Safi sana. Ulimkera sana pengine ndo akasema hivyo.[emoji23][emoji23] Pamoja na hayo yote bafo tumedumu!
[emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296]Ila mpare una gubu wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahahq yeeep. Kuna raha bana at times unanifokea kidogo akili inakaa sawa. Paroko mwenyewe anagomba sembuse weweHahahah thats the shiyt i like. Hongera kwa ku keep it real!