Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Kejeli zao huwa zina maanisha kitu sema wanafanyia cushioning ili kidume usije uka over react maana mengine yanakuwaga deep sana kwa ground! Kuna tofauti kubwa Ke akikwambia:

We mwanaume ndio huna akili kabisa yani sasa si ungeongea na mrajisi kwanza.

VS

Ha hah but mume wangu mi naona kama ungewasiliana na mrajisi kwanza ingekuwa jambo la akili zaidi mpenzi.

Katika hizi kauli mbili lengo ni kukosoa ila ya juu iko cold/harsh kiasi inaweza amsha hisia za hasira kwa mlengwa kwa kuona kama amedharaulika ila kauli ya pili ina warmth which means imekosoa constructively kiasi mtu hawezi feel offended kabisa.

Wanawake wengi hawajui the art of communication. Wengi ni good speakers but not good communicators.
Word.
 
Wewe unaweza ukampa pesa mwanamke mjeuri na mbishi? Basi hata sisi hatuwezi kuwapa pesa wanaume malaya na wanyanyasaji!
Shida ni hio definition yako ya unyanyasaji tu. Hapo ndio mie huchoka mwili na roho.
 
Hii kauli ya "kwann hupati mtoto" isikie tu kwa wenzako. Ikitokea muda wa kuzaa umefika uko tayari lakini mimba ni kama zimeenda likizo, ndio utajua uchungu wa hiyo kauli. Hapo umeambiwa na mawifi na mama mkwe pekee, akimalizia jamaa unaweza kujinyonga.
Wote kuanzia mama mkwe, mawifi watakula kichambo akifuatiwa na huyo mwanaume suruali mpaka wanikome wakafie mbele huko wao si Wana uzazi wazae mfyuuu
 
She has to be ready for that maana ni ngumu kum convince mwanamke wa kileo kwamba aache kazi alee familia. Utaishia kuambiwa kwani baba yangu alinisomesha ili iweje??? Hapo ndipo utajua hujui [emoji23]
Ndio maana nikasema practically ni ngumu. Ila akitaka kuwa free from financial responsibilities asitegemee itakuwa rahisi.

Best option ni kumfungulia biashara inayompa uhuru wa muda, au kumuenroll kwenye biashara zangu while paying her a salary.
 
Ndio maana nikasema practically ni ngumu. Ila akitaka kuwa free from financial responsibilities asitegemee itakuwa rahisi.

Best option ni kumfungulia biashara inayompa uhuru wa muda, au kumuenroll kwenye biashara zangu while paying her a salary.
that's bullshit nifanye kazi na partner/mume anilipe mshahara?!
 
that's bullshit nifanye kazi na partner/mume anilipe mshahara?!
Tunaongelea wanawake who insist on having their own money separate from hela ya mume / familia.

And yes its done sasa how else would you expect it? 50/50 shares into a business I founded and ran for years? Au uwithdraw pesa kwa matumizi yako any time you feel like it?
Tell me, how else would it be done bila predefined monthly stipend?
 
Tunaongelea wanawake who insist on having their own money separate from hela ya mume / familia.

And yes its done sasa how else would you expect it? 50/50 shares into a business I founded and ran for years? Au uwithdraw pesa kwa matumizi yako any time you feel like it?
Tell me, how else would it be done bila predefined monthly stipend?
Mfungulie yake mpya.
 
Kwa uzoefu nilionao kwa wanawake walioacha kazi for the sake of Ndoa!!

Mtu asijaribu hilo Tendo
Yaani nawaza wazazi wangu walivyojinyima,wameishi kwa shida ili wanilipie ada..halafu mume anakwambia acha kazi [emoji134]
Aki wazazi wataniona zuzu mno.. mbona wataanza kunipeleka kwenye maombi Sasa[emoji23][emoji23][emoji23]
Shida zote zile za nyumbani,ada ilivyotolewa kwa shida aseee wawe na huruma na wazazi wetu kama wanavyowaonea wazazi wao huruma

Nitaacha kazi kwa sababu zingine iwe kwa kufukuzwa au udhaifu (naumwa)
Ila hivihivi tu mimi kazi siachi wallah!

Kwanza mume atakunyanyasa hadi ushangae.
 
And that was the best option niliyoitaja mwanzo kabisa.
yes Ila pia iwe na usimamizi maybe unahitaji report kila week or monthly

manake wanawake saa nyingine tuna ujinga mwingi hasara provider akiwepo
 
Back
Top Bottom