Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

'' kunihudumia unanihudumia, kunijali unanijali lakini najikuta sikupendi tu ujiongeze na wewe" ...hii kauli sitaisahau niliamua kusepa kimya kimya mwisho akianza kunitafuta nikamwambia na Mimi nimejikuta tu simpendi, Hadi Leo anajifanya rafiki namimi namchora tu.
 
Mzee huyo mwanamke ni narcissist...Huwa wana power ya ushawishi na kurudisha watu katika dimbwi la mateso ya kihisia.

Ushaona mtu anakutesa wee kisha ukitaka kuondoka anajiliza na kujifanya mwema na anajutia makosa yake. Ukianza kujenga trust tu anakuvuruga upya tena. Thats the type of woman you are messing with. Chukua mtoto kisha tia block kimbia mazima usigeuke nyuma mtoto peleka hata kwa bibi yake.
 
Duh nilifikiri nimeshayaona yote
 
Nyumba ndogo: Baby usiongee na mkeo ukiwa na mimi, sipendi kusikia sauti yake ananiboa.
 
Nilifikiri ndo ameenda kukaa by the way hamna good relationship hapo... Huyo mdada ashakuwa ktk circle nyingine kbsaa ndo maana mpk wanaume wanaenda kwake kutazama Mpira...hapo anatakiwa atumie kichwa vizuri
Na ukiona mwanamke anakuonyesha ukosefu wa adabu kwa kuongea na wanaume wengine mbele yako bila tahadhari basi jua huyo ameshajiweka kuwa goma la wote na yupo hapo kwaajiri ya open fucking kwa yoyote atae muonyesha interest.
 
Dah unaoataje nafasi ya kurevenge halafu unaitumia vibaya hivyo.....

Huyo unamkubalia anarudi kuwa na wewe, then siku moja unatafuta demu pisi kali mdangaji unamuomba aje maskani saa sita za usiku. Mpange kabisa kuwa upo na mwanamke unataka kumpa shida kidogo.

Avae kikorofi ile ya kutamanisha utamu nje. Then wewe siku hiyo mtengenezee mazingira demu wako mlale mapema sana saa tatu au nne hivi.

Akifika unamfungulia, then unampokea na deep sloppy kiss moja ambalo halikatishwi hata na mlipuko wa bomu. Unafunga mlango wa chumbani ufunguo unatoa katika kitasa. Unapanda na yule demu kitandani mnaaza kupeana kazi nzito wazi wazi bila kuogopa.

Yaani yeye muwe kama hamumuoni. Unapiga mashine ile kiugwadu na huyo demu aonyeshe ushirikiano..... Demu wako akitaka kuleta fujo unamtuliza then unaendelea kutoa mgegedo..... Unamwambia hebu tulia wakati najiongeza na huyu anae nipenda..... Tulia mbwa wewe nakwambia....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…