mzushi flani
JF-Expert Member
- Jan 20, 2020
- 1,627
- 2,473
mimi kitu nimeshashindwa ni kupigiwa simu na wana tukapige pombe halafu kuendelea kukaa na manzi, hua namcancel kwanza..Hawa viumbe bana, kuna msemo mmoja nilikuwa napenda kuutumia kwa wahuni wangu tukiwa chuo...
"Hommies is over hoes"
au
"Niggaz is over hoes"
Incase tuna ratiba ya pamoja halafu manzi kaingilia ratiba huwa nam cancel tu! Wahuni kwanza mwanamke baadae. Hii ilijenga spirit ya wanaume kuthaminiana zaidi. Demu anapigwa sound ila wahuni lazma ratiba ziendelee.[emoji23]
Hahahah lazma umkatae tu 😂😂😂 na uzuri yeye hapendi vikao vya ulabu namdanganya nakuja mda si mrefu hio ndio ntolee 😂😂😂mimi kitu nimeshashindwa ni kupigiwa simu na wana tukapige pombe halafu kuendelea kukaa na manzi, hua namcancel kwanza..
Basi hapa hatuongelei wanaume wa sampuli yako maana mko wachache sana hivyo hatuwezi kuwatumia ninyi kama sample! Basi kumbe ndiyo maana tunashindwa kuelewana sababu wewe unataka tuongee habari za kufikirika ambazo hazipo wakati mimi naongelea uhalisia uliopo kwenye jamii ambao wanawake wenzangu wengi wanakutana nao!Ila bia nakunywa ila sio za hadi kujikojolea na kulala bar au mtaroni.
Mie namoyo wa kuridhika.
Sawa bi. mkali 😅Basi hapa hatuongelei wanaume wa sampuli yako maana mko wachache sana hivyo hatuwezi kuwatumia ninyi kama sample! Basi kumbe ndiyo maana tunashindwa kuelewana sababu wewe unataka tuongee habari za kufikirika ambazo hazipo wakati mimi naongelea uhalisia uliopo kwenye jamii ambao wanawake wenzangu wengi wanakutana nao!
Wewe unataka tuassume kuwa wanaume wote siyo malaya wala walevi wa kutupwa ilihali huko nje wanaume wengi kama siyo wote wana sifa hizo na wameoa au wanakata kuoa wanawake wenye sifa nzuri! Ndiyo maana nikakuambia usijiongelee wewe kwenye haya masuala ambayo yanagusa jamii kwa ujumla na nakumbuka nilishawahi kukuambia hiki kitu!
Unaona sasa? Wanaume wenye fikira kama zako hamtakiwi kabisa kunywa pombe!kama nakunyamwa halafu hulewi...sasa unakunywa ili iweje?
ladha?
Bia sio tamu si bora unywe soda tu au Mo passion
Ndiyo kwahiyo tunapoongea haya msipende kusema eti tunapenda kubishana! Wewe kama kweli hauna tabia chafu basi una haki ya kupata mke mwema ila mimi humu kelele zangu ni kwa wanaume wenye tabia chafu nao kutaka kupata wake wema hiyo ndiyo ajabu!Sawa bi. mkali [emoji28]
hata kama anapenda siwezi kwenda nae kabisa, nmewahi kwenda na manzi alafu uko nkakutana na pisi hoot alafu ikanielewa ilipojua nna manzi pale ikanikataa tna nliumia sanaHahahah lazma umkatae tu [emoji23][emoji23][emoji23] na uzuri yeye hapendi vikao vya ulabu namdanganya nakuja mda si mrefu hio ndio ntolee [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha unatoka nae siku moja moja in your own company lakini sio lazma na washkaji.hata kama anapenda siwezi kwenda nae kabisa, nmewahi kwenda na manzi alafu uko nkakutana na pisi hoot alafu ikanielewa ilipojua nna manzi pale ikanikataa tna nliumia sana
yani kazi ya pombe ni kulewesha...sasa anaekunywa halafu halewi anakunywa ili iweje?...hana tofauti na anaeenda disco halafu hachezi au anaenda swimming pool halafu haogelei.Unaona sasa? Wanaume wenye fikira kama zako hamtakiwi kabisa kunywa pombe!
Kwahiyo wewe unakunywa ili ulewe uchelewe kurudi nyumbani si ndiyo? Mwe kazi ipo!
ewaaa, ili aone pisi zingine huko nje tukiwa wote apunguze kuringa au sio mkuu??Hahaha unatoka nae siku moja moja in your own company lakini sio lazma na washkaji.
tunakunywa ili tusilewe ndo inabamba ila ukilewa inabamba zaidi ila sio chakariUnaona sasa? Wanaume wenye fikira kama zako hamtakiwi kabisa kunywa pombe!
Kwahiyo wewe unakunywa ili ulewe uchelewe kurudi nyumbani si ndiyo? Mwe kazi ipo!
Kumbe ulishanielewa ila tu ulitaka kubishana! Nilishaelezea kule juu mtu anatakiwa anywe hadi kiasi gani ila wewe unataka ligi tu hapa!yani kazi ya pombe ni kulewesha...sasa anaekunywa halafu halewi anakunywa ili iweje?...hana tofauti na anaeenda disco halafu hachezi au anaenda swimming pool halafu haogelei.
kulewa sio kosa ishu labda iwe ni frequency ya kulewa na magnitude(extent) ya kulewa.
Mbona ndicho nilichomaanisha! Kuna kiasi fulani cha kulewa siyo hadi ulewe chakari!tunakunywa ili tusilewe ndo inabamba ila ukilewa inabamba zaidi ila sio chakari
wewe ulisema mtu anywe ila asileweKumbe ulishanielewa ila tu ulitaka kubishana! Nilishaelezea kule juu mtu anatakiwa anywe hadi kiasi gani ila wewe unataka ligi tu hapa!
naam naam nakubali..Mbona ndicho nilichomaanisha! Kuna kiasi fulani cha kulewa siyo hadi ulewe chakari!
Sasa mtu anakunywaje kilevi halafu asilewe? Ungesoma katikati ya mistari ungenielewa!wewe ulisema mtu anywe ila asilewe
Unajua usitake kufanya wengine tuonekane wabaya? Kingereza gani hiki? Jiheshimu. Byeeeanother toxic answers..
Imagine[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hajaona kwa wengin woooteee ila kaona kwetu. Anatesekea nini sasa. Watu wengine sijui wapoje. Such toxic people kama hawa ndo wa kuwaepuka. Yaani mambo yanakua yakienda vizuri ila over a sudden vooop anatafuta kosa mpaka alipate. Na wewe kasome uandike. Na ningekua nakijua kifarana, kireno, kituruki ningeandika. Babako hajanilipia ada. Be a man. I.d.i.o.t.
Poleni Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiwa member mkongwe huku jf attack kama hizo hazikosekanagi. Mtu anaamua akutolee ugumu wa maisha tu ghafla.[emoji23][emoji23][emoji23] Kaona we ndo mnyonge wake labda
Bwanaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sio mlevi kabisa. Ukimuangalia kwahraka huwezi kuyajua hayo. Fikiria kama siku ya kwanza tu ya mahusiano kaja geto na hizo tabia, mpaka ananitukania tatu bomba zangu, anakagua chumba utadhani chake, ananitumatuma nakuonesha uvivu, hv ningempa mkongojo akanogewa ningeficha wapi sura yangu