Hapo mambo ya vizungu na kuelemika yamekujaje tena? Tamaduni za ulaya ziko wapi hapo mbona kama haujui unachokiongea?Wapo wengi tu sema maoandika andika vizungu ndo wengi mnafeli
Mnaamini mmeelimika na kujitambua
Tamaduni za ulaya unazileta huku
Ukweli mchungu enhAiseee
Nipo mkuu. Nimejificha hata sijafichwaMkuu upo? Umefichwa wapi nowadays?
Basi ukirudi mjini tutafutaneNipo my luv, nimerudi bongo ila hii weekend nilipanda KLM ndo niko huku.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenikumbusha enzi fulani
Shemeji yangu alikuwa akinywa pombe anachangamka hatari, akirudi home anampigisha stories kila mtu. Sasa akikaa sebuleni anaanza kuongea na sister basi mtacheka hadi basi.
Kuna vitu Mimi sipendi kufanya lakini my partner anataka ana force licha ya kumpa sababu so huwa sipendi na mwishowe ananiona mbishi anataka la kwake tu litimie by any means
Siwezi kutimiza mimiLitimize sasa [emoji23][emoji23]
Sijakuandikia Wewe hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pombe sio mbaya kumbe [emoji23][emoji23]
Na wa kushare nae uchumi wenu naye humtakiSasa hapo ambacho tunabishania ni kipi haswa? Nimeshasema mwanaume atakayenitegemea kiuchumi simtaki!
Mlitaka 50/50 halafu hamtaki kuchangia billsHapana kwa kweli hauwezi kuwa unafanya haya for fun! Ni kwamba hao wanawake mnaowataka hawapo ndiyo maana mnaumia!
Mimi ninayoyaongea humu hakuna lililonitokea hata moja! Halafu kwa taarifa yako sasa mimi sijuagi kumuomba hela mwanaume yaani wazazi wangu tu huwa naona shida kuwaomba sembuse mwanaume mie huwa naona fahari sana ku pay my own bills na hata nikitoka na company yangu huwa naona fahari kuwapa offer ya wanachokula/kunywa!
Ndiyo maana huwa namshangaa mwanaume anayeona shida kulipa bills zake na za mwanamke wake eti anataka mwanamke amsaidie kulipa! Mwanaume wa hivi mie namuona ni muoga wa maisha tu!
Yaani mimi mwanamke tu napenda kula kwa jasho langu! Sasa sijui inakuwaje mwanaume anaogopa kula kwa jasho lake anataka mpaka eti mwanamke arekebishe mambo duuh!
Umepima ukimwiMi mwanamke flani nilimpenda kwa moyo mmoja pamoja na kumpa time yangu.Lakini hakuyaona nimezaa naye mtoto mmoja.Keshanicheat sana vya kutosha na wanaume tofauti pamoja na kukuta naked photo anawatumia wanaume wengine.Lakini basi kwa vile nilikuwa namuheshim sikumtukana wala kujibishana naye niliamuwa kumuacha kimya kimya,Basi kakaa akaamuwa kujirudi na kuomba msamaha usiku na mchana na kusema amebadilika anajutia yote,basi nikarudisha moyo nikamsamehe.Akanialika niende kwake nimtembelee pia mi mwenyew nilikuwa nimmis mwanangu kumuona nikasahau yote nikaenda ni mkoani.
Basi ile kufika mkoani kanikaribisha na maisha yakaendelea,tukiwa happy mwanangu akafurahi kuniona.Hata siku moja sikugusia wala kuongelea yale makosa aliyofanya,nikaona ni kurudisha mambo nyuma na kuzua migogoro upya sikugusia kabisa, ki ukweli mi sipendi tafrani kwa kuwa huko nyuma nshapata matafrani nusura yantoe roho ya maisha lakini.
Ile tunaendelea kuishi nkaona mwenzangu kama anabadilika akanza kununa bila sababu, ye kutwa mzima ni simu na tv tu.Mnakaa sebuleni unachoomuuliza ndo anachojibu hamna siku mkae hata muongelee mustakabali ya maisha yetu.
Basi siku moja mi nkaenda mjini make huko tulipo ni kijinini nilienda kununua mahitaji,ile kurudi mida ya saa moja jioni nakuta staff wenzie wapo sebuleni wanatazama mpira afu wa kiume.Sasa mi nikamuuliza mbona una ujasiri wa kuleta wanaume nyumbani kwako huoni hata haya kwa nini hata hukunifahamisha.
Alichonijibu ni kuwa sasa mi ningefanyeje watu wamekuja kutazama mpira ningewafukuza mi nkamjibu hichi so kibanda umiza basi kanununa.Hao jama wameoa na wana tv makwao.
Sasa mi nkajiuliza mfano jamaa mmoja niache ye kaenda mjini mi niende kwa mkewe nimwambie shem hebu washa tv nikae nijitanue kwe sofa mmewe akija atanifikira vipi.
Basi mi nkaondoka kuna kuna mtu alikuwa kaniagizishia vitu vyake nimpelekee.Ile narejea sijawakuta kumbe kawaambia mme wangu hataki kuwaona na hataki mje hapa mi wala sijuwi.Kesho yake kanuna balaa,ilivo fika usiku kaenda lala mi kuna movie nabaki naifatilia kufika saa 4nne usiku nkasema ngoja nkalale mtume!!! kanifungia mlango wa chumbani gonga! mlango wapi nikaamuwa nilale sebuleni.
Usiku mida ya saa kumi na moja kajiamsha anajifanya kushangaa eti ananiplz nikalale chumbani.Mi nkamjibu hapa pia ni pazuri we kalale tu.Akaenda kulala kumekucha yupo mkavu hata kuomba msamaha wala kujutia hamna yupo happy tu.Kuna kipindi Sexy ananijibu hajiskii,mara nimechoka hayupo romantic kabisa mda mwingine nkawa najihisi nimelala brother hata swala la usafi ni Zero .Nikaamuwa kuondoka now nasikia karudia kudanga tena.
mkuu hii kitu nilidhani ni huku kwetu runzewe.. kumbe mpaka huko?Toka niliposoma soma tu story yako nilijua ni mwalimu, walimu now days hawajambo wengi single mothers afu kwa mizinga ndio balaa[emoji38][emoji23]
sio mbaya mkuu, watumiaji ndo wanaichafulia jina ... watu tukilewa tuko poa sana.Pombe sio mbaya kumbe [emoji23][emoji23]
Ilikuwa masuala ya pesa, ikawa vipigo na majukumu sasa ni ulevi na umalayaUlevi na Umalaya ni kati ya hizo sifa mbaya ninazoziongelea hapa! Je ni wanaume wangapi hawana hizo sifa?
Yaani unataka kusema wanaume wengi ni walevi wa kujikojolea na malaya mbwa kuliko wanywaji na wachepukaji kwa akili?Basi hapa hatuongelei wanaume wa sampuli yako maana mko wachache sana hivyo hatuwezi kuwatumia ninyi kama sample! Basi kumbe ndiyo maana tunashindwa kuelewana sababu wewe unataka tuongee habari za kufikirika ambazo hazipo wakati mimi naongelea uhalisia uliopo kwenye jamii ambao wanawake wenzangu wengi wanakutana nao!
Wewe unataka tuassume kuwa wanaume wote siyo malaya wala walevi wa kutupwa ilihali huko nje wanaume wengi kama siyo wote wana sifa hizo na wameoa au wanakata kuoa wanawake wenye sifa nzuri! Ndiyo maana nikakuambia usijiongelee wewe kwenye haya masuala ambayo yanagusa jamii kwa ujumla na nakumbuka nilishawahi kukuambia hiki kitu!
Nimejikuta vidole vinawasha kumtag๐๐๐Hahahah mi mapema tu huwa nataka ujue kuwa utaishi na mimi kwa amani ukiwa unajua mipaka yako. Kwangu mwanamke anapika, kufua na kuosha vyombo na kulea na wala hamna room ya majadiliano kuhusu hayo๐๐๐๐ kuna mwenzako huyo kila tukifikia hapo ubishi unaanza. Anataka tupangiane zamu za kudeki
Naunga mkono hoja, kuna raha aisee when a man has that masculinity na unajua kabisa nikitaka kuongea jambo lazima nipange gears za kumshawishi baba.Sasa ukute the guy ni mpole mpole ukimwambia hiki sawa tu hata hapingi aaargh haileti ladha kabisa, a man lazima awe na sauti bana akuchimbe mkwara kidogo๐๐[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
No jamani. Kuna ile tu mwanaume akiongea basi adabu unaishika. Mafahali wawili hawakai zizi moja. Lazima mmoja ajishushe. Yaan ukiachiwa maagizo unahakikisha umekamilisha maana unajua eh baba akirudi nitashaa. A man should have a voice bwana. Sasa jamani nikapate mume kama pili..pili si nitajikuta na makofi nampiga? Nataka ujinga mimi?[emoji1787][emoji1787] sasa kama sikuheshimu kuna raha gani wewe kuwa mwanaume? Nichangamshe. Nipe presha nilalamike kwenye committee ya mashost zangu jaman Extrovat ananinyanyasa kisa nanpenda... nilie lie. Yaani. Kwanini upooze[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Nina hakika hufahamu sababu, nia na malengo ya mkutano wa beijingWalitaka 50/50 baada ya ninyi kuona kama kuwatolea mahari na kuwahudumia ndoani ni kama kuwafanyia hisani wakati ni jukumu lenu! Hivyo mkaanza kuwanyanyasa kwa sababu mlijua hawana kauli na hawana pa kukimbilia!