Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

" Aisse, mama pendo na mme wake ndio wanakula laifu, sisi wengine ni wasindikizaji tu " Hilo nilirushiwa na bidada kipindi ndio Kwanza tuna anza anza maisha...!!! sikumsemesha kwa pale, ila siku ya pili katoka kwenye mishe zake akakuta kitasa kipya, aliponipigia simu nikamwambia atizame kwenye simu nimemtumia hela ya nauli ya kwao, na mabegi nimeshayatanguliza na basi. Kisha nikabadilisha laini na kuhama mtaa kwa miezi minne. Nilipomrudisha na kumueleza kosa lake, alibaki anashangaa tu, ila ninaishi nae mpaka sasa, watoto 3, nikikohoa tu, anaruka, Na akitaka kuongea anaomba ruhusa, Kisha anaongea taratibu kwa kuchagua maneno...[emoji41][emoji41][emoji41] !!!!
Nimecheka kinoma.
 
Mmh nilipata mrembo slayi queen nilidhani nimepata mke wa kudumu.....siku moja namkuta chumbani anatafuna mirungi (mira) na bigG nilishia nguvu nilianza kujiiuliza masuali mengi......nimeferi wapi lakini
[emoji2][emoji2][emoji3]
 
There u are[emoji1787][emoji1787]
Me sipendi niwe chama tawala na yeye tawala. Ni muhimu kiwe na arguement za kueleweka. Mambo ya ndiyo tu mimi hapana. Lazima tuchallengiane bila ugomvi. Nataka hiki kwasababu hii na hii. Sitaki hiki kwasababu hii na ile.
Siyo kila kitu yes.

Sasa.me mPole nutsmuwekea wapi jamanj? I want him to be the commanding. Kama wengine wanapenda church boys ni sawa. Haiwezi apply kwa wengine. Ila tu abusive man siyo. Hao waepuke. Mwanaume awe shababi jamani. Nikikosea aniambie waziwazi na nikiri na kuomba msamaha pia. Akinikosea pia ninweleze kwa upendo na upole.

Haya tunaongea with experience. Si story za vijiweni. Tunajua wapi tulikosea na wapi kwa kurekebisha. Hatujafundishwa kupandiana sauti na mwanaume.

Majukumu yake atafanya. Inapobidi kukaba loaf tutakaba. Kusaidoana muhimu. Sometimes lazima kuokoa jahazi.

Tukisema kila kitu tuwaachie sasa siku Mungu anawachukua ama wanapata kilema cha maisha na hatuwezi kuzalisha tena sindo mwanzo wa aibu. Lets be super women with purpose with big reasoning. Maisha ya kukomoana either kwa mwanaune ama mwanamke si sawa. Hayo si mapenzi.

Pia kumtoa out mara moja moja mume ama mpenzi wako pia si dhambi. Na sinkosa. Siki moja moja unamwambia todah i am going to treat you out. Either for a better bond ama kumpongeza kwa certain archievements. Si kila siku wao tu.
Na siwezi jisikia vibaya mwanaume kunilipia bills. I am a woman
Kwanini nimtunishie msuli?
How will i feel covered ama protected?
Hata niwe na million and he wants to do it sina haja ya kishindana kwamba na mimi nina hela i can take care of myself. Kwani ni mashindano?
[emoji1690]
 
I suspected she was about to start mahusiano mapya nikamuuliza akaruka but viashiria viliendelea kuwepo.
Nikamuuliza tena n she came out like "We mwanaume una shida mahala,HUJIAMINI KABISAAAA.JIFUNZE KUJIAMINI BANA,UNABOA".
Yaani siwez sema nilivyojisikia since I 100% trusted my insticts that shit was bout to go down.
Siku anakwenda kunyanduliwa na huyo boya i had a dream,nikamuuliza asubuhi akanikumbusha "nisivyojiamini" but alikwenda,nikaona hotel walioingia.I refrained from having sex with her for a while before we broke up.
lONG STORY SHORT, she is now HIV+.
 
I suspected she was about to start mahusiano mapya nikamuuliza akaruka but viashiria viliendelea kuwepo.
Nikamuuliza tena n she came out like "We mwanaume una shida mahala,HUJIAMINI KABISAAAA.JIFUNZE KUJIAMINI BANA,UNABOA".
Yaani siwez sema nilivyojisikia since I 100% trusted my insticts that shit was bout to go down.
Siku anakwenda kunyanduliwa na huyo boya i had a dream,nikamuuliza asubuhi akanikumbusha "nisivyojiamini" but alikwenda,nikaona hotel walioingia.I refrained from having sex with her for a while before we broke up.
lONG STORY SHORT, she is now HIV+.
hakuwahi kukutafuta tena mzee?
 
Dah kuna kioindi nliambiwaga na binti fulani kwmba "Mwanaume haishi mjini kwa ukubwa wa pu*** zake, Tafuta hela wewe" ehhh yani sitaki hata kumkumbukaga yule binti japo alikuwa sio hata dem wangu wala hata rafiki kivile, I was really hurt
 
I suspected she was about to start mahusiano mapya nikamuuliza akaruka but viashiria viliendelea kuwepo.
Nikamuuliza tena n she came out like "We mwanaume una shida mahala,HUJIAMINI KABISAAAA.JIFUNZE KUJIAMINI BANA,UNABOA".
Yaani siwez sema nilivyojisikia since I 100% trusted my insticts that shit was bout to go down.
Siku anakwenda kunyanduliwa na huyo boya i had a dream,nikamuuliza asubuhi akanikumbusha "nisivyojiamini" but alikwenda,nikaona hotel walioingia.I refrained from having sex with her for a while before we broke up.
lONG STORY SHORT, she is now HIV+.
Sad[emoji27][emoji27]
 
I suspected she was about to start mahusiano mapya nikamuuliza akaruka but viashiria viliendelea kuwepo.
Nikamuuliza tena n she came out like "We mwanaume una shida mahala,HUJIAMINI KABISAAAA.JIFUNZE KUJIAMINI BANA,UNABOA".
Yaani siwez sema nilivyojisikia since I 100% trusted my insticts that shit was bout to go down.
Siku anakwenda kunyanduliwa na huyo boya i had a dream,nikamuuliza asubuhi akanikumbusha "nisivyojiamini" but alikwenda,nikaona hotel walioingia.I refrained from having sex with her for a while before we broke up.
lONG STORY SHORT, she is now HIV+.
Duh...kuna watu wana majibu bwana
 
hakuwahi kukutafuta tena mzee?
Hata jana alikuja kibaruani kwangu. i encouraged her to start the meds.She like "I miss the good old days,nisaidie basi hata kwa kidole"
But man,inanikasirisha mno nikikumbuka kua I tried that had,breaking all my personal principles making her happy and see our relationship work but she only took me for granted,akadharau machale yangu ambayo mi nayaaminia mno.niliwanyima hadi sister zangu good time to make that hoe happy afu nikaaambiwa nina shida maybe kwenye malez sababu sijiamini kabisa.ni ubinadamu tu ndo unafanya niongee nae hadi leo
 
Back
Top Bottom