Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ungese ashawahi niambie nilimaindi kinyama [emoji53][emoji53][emoji53][emoji53][emoji45]Mbona hauko kama rafiki yako fulani.
[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Dah unaoataje nafasi ya kurevenge halafu unaitumia vibaya hivyo.....
Huyo unamkubalia anarudi kuwa na wewe, then siku moja unatafuta demu pisi kali mdangaji unamuomba aje maskani saa sita za usiku. Mpange kabisa kuwa upo na mwanamke unataka kumpa shida kidogo.
Avae kikorofi ile ya kutamanisha utamu nje. Then wewe siku hiyo mtengenezee mazingira demu wako mlale mapema sana saa tatu au nne hivi.
Akifika unamfungulia, then unampokea na deep sloppy kiss moja ambalo halikatishwi hata na mlipuko wa bomu. Unafunga mlango wa chumbani ufunguo unatoa katika kitasa. Unapanda na yule demu kitandani mnaaza kupeana kazi nzito wazi wazi bila kuogopa.
Yaani yeye muwe kama hamumuoni. Unapiga mashine ile kiugwadu na huyo demu aonyeshe ushirikiano..... Demu wako akitaka kuleta fujo unamtuliza then unaendelea kutoa mgegedo..... Unamwambia hebu tulia wakati najiongeza na huyu anae nipenda..... Tulia mbwa wewe nakwambia....
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Wakitanga nilishakua nae alikua na tabia ya kukaa vijueni kunywa kahawa na watu nakupiga stori za simba na Yanga.....
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ipi hiyooooh lolHatari mkuu...mie nilipewa moja hiyo nilichokaje.
Mtu mwenyewe huna mbele wala nyumba kama mche wa sabuni.
Yaani mkuu hapa usiniangalie mimi wala usiniulize mimi nataka nini! Kwa sababu hapa siongelei ninachotaka mimi bali ninaongelea uhalisia na namna mambo yanatakiwa yawe kwenye jamii!Sipo hapa kumbeza mwanamke, wala sipo hapa kutetea wanaopiga wanawake..kupiga mwanamke haikubaliki. Binafsi nimewahi kumzaba mwanamke baada ya kuvumilia kwa muda mrefu vijineno fulani fulani lakini nikiri haikuwa sahihi ilikuwa bora kumuacha au kumnyoosha kwa namna nyingine,, wala sijasema tunataka wanawake wakamilifu labda wamesema wenzangu nachojua hakuna mkamilifu
Shida ni kwamba inaonekana una yako tu kuhusu wanaume mara useme hutaki kutoa hata sh.mia yako kuchangia majukumu mara ubadilishe sio kuchangia ila kulea mwanaume mara useme wanaume walevi mbwa na malaya ni wengi kuliko wanywaji na wachepukaji wa akili
Hebu simama pahali, unataka mwanaume gani? Au hutaki mwanaume. Period
Maana hakuna atakayekushikia fimbo
Tofautisha kati ya asili na mambo ya kujitungia! Msilazimishe kila kitu hata maovu mnayofanya yawe asili!Hakuna anayejitetea tunafahamishana, tunaweza tusijitetee na hali ikabaki ilivyo asili haipingwi
Tafuta sababu za mkutano wa beijing acha kubumba bumba zako
Pole sana! Huwa mnatamani iwe hivyo kweli ila ndiyo haitakaa iwe hivyo!Mkuu kuna watu wana stress zao. Kwanilivyomwelewa mchangiaji hapo juu, ana chuki binafsi na ndio aina ya wanawake ama waliumizwa na sasa wanachuki moyoni, ama ego inawasumbua.
Hapa siongei ninachotaka mimi! Bali naongea yanayotakiwa kufanyika kwenye jamii!Wala haeleweki anataka nini
Ni kweli inahitajika uwe na hekima ya ziada maana midomo ndio silaha yao,especially wakishakuwa rage...Huwa napenda kufananisha uhusiano na business life cycle kama kitu ambacho huwa na stages tofauti. Introduction, growth, maturity and decline stage
Katika mahusiano kunakuwaga na point ikifika mahusiano huwa tena sio raha bali karaha tu na hapa ndipo hekima hutakiwa ku kick in. Hii ni kutokana na mmoja kuacha kuweka efforts to make it work au kupuuza hisia za mwenzie.
Hali hii huambatana na kauli za kukaraisha nafsi ambazo mmojawapo huzitoa just to make the situation worse. Lets share zile kauli zilizowahi kuchafua nafsi zetu! Nakumbuka hizi:
"We mbona hauko smart kama vijana wenzio"
"Una gubu sana we mwanaume hadi unaboa"
"Sa utapigia wanaume wenzio simu hadi lini?"
"Yani mwanaume umezubaa tu upo upo tu kama lizoba"
"Sasa kama mtu humuamini unakuwa nae wa nini..si umuache tu!"
Hata mimi sikubaliani na unyanyasaji kama ndio tunaozungumziaYaani mkuu hapa usiniangalie mimi wala usiniulize mimi nataka nini! Kwa sababu hapa siongelei ninachotaka mimi bali ninaongelea uhalisia na namna mambo yanatakiwa yawe kwenye jamii!
Nikisema nijiongelee mimi basi itabidi nikae kimya maana sina nilichoexperience katika hayo! I always speak for my fellow women sababu sipendi kuona mtu anamnyanyasa mwenzie bila sababu!
Unaongea na mwanaume wa tofauti sana na hao unaosema wapo katika jamiiNa hapo ndipo shida ilipo! Kumbukeni hata mwanamke kumsaidia mwanaume majukumu yake ya kiuchumi siyo tamaduni zetu lakini mbona inawezekana na wengi wanafanya?
Kwanini muone kama mwanamke kutokutoa hela yake ni ubinafsi ilihali ninyi kutokufanya kazi za ndani siyo ubinafsi? Suala la ninyi kutofanya kazi za ndani siyo kwamba haliwezekani ila tu wanaume hamtaki kusaidia ilihali majukumu yenu mnataka msaidiwe!
Asili ni mwanaume ni kichwa cha familia[emoji3][emoji3] nitakuongoza wewe na kipato chako fairly na wewe ukaridhikaTofautisha kati ya asili na mambo ya kujitungia! Msilazimishe kila kitu hata maovu mnayofanya yawe asili!
Inakuwaje lazima wakati siyo tamaduni za kiafrika? Si mnasema tunatakiwa tufuate tamaduni zetu za kiafrika au?Hata mimi sikubaliani na unyanyasaji kama ndio tunaozungumzia
Lakini kushare kipato chako(sio kulea mwamaume) hilo ni lazima ama sivyo utafanya mambo kuwa magumu
Sasa hapa umenifurahisha and this has always been my point! Hebu muite ndugu yako Extrovert asome hapa na ajibu halafu ndiyo utajua mimi na yeye tunapishanaga wapi!Unaongea na mwanaume wa tofauti sana na hao unaosema wapo katika jamii
Ni jana tu nimetoka kumsaidia wife shughuli fulani za nyumbani maana wiki hii amebanwa sana na shughuli za kuitafutia kipato familia
Sio kwamba mimi sina shughuli yangu ninayo ila yake kwao kuna moja imetokea nae akawemo na hiyo hela ameileta nikaiona tukaipangia
Kama kuna wanaume katika mazingira haya bado wataona wamejidhalilisha hawako sahihi
Mwanamke hawezi kutoka saa 10 alifajiri akaenda kutafuta hela akakuacha nyumbani umelala akarudi jioni sana pengine saa moja kasoro ukivaa viatu vyake unaona kabisa lazima atakuwa amechoka halafu aamke usiku afanye shughuli zake ndio aende huko anakojihimu kwa akili ya kawaida unajiongeza tu unaangalia shughuli iliyopo unamsaidia ili akiamka avae na kuondoka tu
Jana nimefua nguo zangu, zake na za mtoto kumpunguzia kazi
Sijajua unazungumzia wanaume wa aina gani pengine hapa ndio tunapishana
Kama ni Marioo hao hawakubaliki piga spana
Kama wale waliotopea kwenye mfumo dume piga spana
Kama wale washusha vipigo piga spana
Lakini kwa mwanaume straight lazima uende nae sawa
Nilihofia maana ilibaki kidogo useme wanaume wote mbwa...sio wotw bhana
Ni kweli maisha ni rahisi sana! Ila tu watu wengi wanapata watu wasio sahihi na hali kama hii ndiyo inafanya wengi tuogope kuingia kwenye mahusiano au ndoa maana hali ni tete!Asili ni mwanaume ni kichwa cha familia[emoji3][emoji3] nitakuongoza wewe na kipato chako fairly na wewe ukaridhika
Kazi ni yako, mshahara ni wako lakini nitakushauri, tunatumiaje sio unatumiaje, sitaingilia shida za kwenu pindi hela itakapohitajika lakini mizinga ikizidi nitakushauri kwa vitendo maana siwezi kusema kwenu wamezidi punguza kuwapa hela wakati mimi kwetu nawapa na unaona
Nikisema punguza na wewe unaona kwetu nimepunguza nasaidia pale penye haja ya kufanya hivyo
Maisha ni mepesi sana nafikiri tunakutana na watu wasio sahihi tu
Kulingana na hali za kiuchumiInakuwaje lazima wakati siyo tamaduni za kiafrika? Si mnasema tunatakiwa tufuate tamaduni zetu za kiafrika au?
Mimi sifanyi wakati wote nisiwe muongo lakini kuna wakati nafikiri anahitaji msaadaSasa hapa umenifurahisha and this has always been my point! Hebu muite ndugu yako Extrovert asome hapa na ajibu halafu ndiyo utajua mimi na yeye tunapishanaga wapi!
Huyo Extrovert yeye anataka hivi! Hata yeye na mwanamke wake wote wawe wanatafuta pesa na wanachangia bills pasu kwa pasu basi kazi za ndani bado azifanye mwanamke peke yake yeye hahusiki kabisa which is totally unfair and against our african traditions!
Ndiyo maana nasema it's either mwanaume na mwanamke wasaidiane kutafuta pesa na kazi za ndani kwa pamoja au mwanaume atafute pesa peke yake na mwanamke afanye kazi za ndani peke yake! Lakini siyo eti mmoja anafanya jukumu moja ila mwingine anafanya yote mawili hiyo siyo sawa kabisa!
Na kama wewe upo hivyo basi hongera mkuu mko wachache sana! Wanaume wengi kwenye jamii zetu hizi za kiafrika wanaangukia kwenye hilo kundi nililolizungumzia hapo juu na hao ndiyo ninaowaongelea humu mara nyingi!
Unaweza ukawa sawa usemacho, Ila je, utafurahi siku wamekuja mashoga zako kukutembelea wakakuta mumeo anaosha vyombo au anadeki!???Na hapo ndipo shida ilipo! Kumbukeni hata mwanamke kumsaidia mwanaume majukumu yake ya kiuchumi siyo tamaduni zetu lakini mbona inawezekana na wengi wanafanya?
Kwanini muone kama mwanamke kutokutoa hela yake ni ubinafsi ilihali ninyi kutokufanya kazi za ndani siyo ubinafsi? Suala la ninyi kutofanya kazi za ndani siyo kwamba haliwezekani ila tu wanaume hamtaki kusaidia ilihali majukumu yenu mnataka msaidiwe!