Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Ni kweli maisha ni rahisi sana! Ila tu watu wengi wanapata watu wasio sahihi na hali kama hii ndiyo inafanya wengi tuogope kuingia kwenye mahusiano au ndoa maana hali ni tete!
Tafuta mtu sahihi, sasa hapa ndio ugumu unapokuja huwezi kumtambua mapema
Katika uchumba watu wanaigiziana sana

Hitimisho ni kuomba Mungu tu ukipata anayeelewa masuala yalivyo utawashangaa wanaotazama ndoa kwa mtazamo chanya

Ingawa changamoto hazikosekani maana hamkuzaliwa tumbo moja lakini mengine yanavumilika
 
Unaweza ukawa sawa usemacho, Ila je, utafurahi siku wamekuja mashoga zako kukutembelea wakakuta mumeo anaosha vyombo au anadeki!???
Kwani hili ni la ajabu na kwanini mlitumie kama sababu? Na ndiyo maana nasema jamii ndiyo inatakiwa ianze kubadili mtazamo ianze kuona ni kawaida na hao mashoga ni sehemu ya jamii!
 
Kulingana na hali za kiuchumi

Kwahiyo hutaki?
Na hapo ndipo ubishi unapozaliwa kwa binti Karma. Muongelee yote ila kitu kinachoitwa cost sharing ni msamiati ambao haupo kwake.

Yani kote mtaenda sawa ila hapo pa yeye kutoa sh.100 yake tu kuchangia matumizi ndani ya nyumba ata kwa kununua pilipili tu ya kulia ugali lazma akushushie gazeti ila kwenye kupangiana zamu za kudeki na kupika au kufua aah moyo wake baridiiii😅😅😅!!! Atakuita jentromeni na kijana wa kileo kabisa.

Hii vita ni kubwa kama Marekani na Mrusi.
 
Mimi sifanyi wakati wote nisiwe muongo lakini kuna wakati nafikiri anahitaji msaada

Kama alipokuwa mjamzito, alianza kuumwa tangu wiki ya kwanza mpaka miezi tisa

Nimenyooka kweli kweli kupika, kufua nk. hadi alipopatikana binti msaidizi
Sawa hilo ni sawa kabisa na wala hakuna atakayekulazimisha kufanya hizo kazi wakati wote! Kwa sababu hata mwanamke naye anatakiwa akusaidie pale unapokwama tu na siyo wakati wote au eti nusu kwa nusu!
 
Kwani hili ni la ajabu na kwanini mlitumie kama sababu? Na ndiyo maana nasema jamii ndiyo inatakiwa ianze kubadili mtazamo ianze kuona ni kawaida na hao mashoga ni sehemu ya jamii!
Kwa akili hii unastahili kuishi mji wa Roma tu sio Africa. Mentality yako na iendelee kuishi kichwani mwako maana haina mahali ambapo itakuwa salama katika anga la Africa.
 
Tafuta mtu sahihi, sasa hapa ndio ugumu unapokuja huwezi kumtambua mapema
Katika uchumba watu wanaigiziana sana

Hitimisho ni kuomba Mungu tu ukipata anayeelewa masuala yalivyo utawashangaa wanaotazama ndoa kwa mtazamo chanya

Ingawa changamoto hazikosekani maana hamkuzaliwa tumbo moja lakini mengine yanavumilika
Mkuu mimi nimeona nibaki single tu hadi nakufa sihitaji uchumba wala ndoa na wala sihitaji tendo la ndoa maana kwangu siyo starehe! I am better off being single!
 
Niliambiwa sioni umuhimu wa kuwa na wewe... mweee nilichoka nkakaa na chini na kiherehere changu kikaniisha nikakubali kushindwa nkaachana nae for good maisha yakasonga nashukuru Mungu nw nipo na mwanaume wa maisha yangu....
Hahahaha hilo linaitwa pigo takatifu 😅😅😅
 
Na hapo ndipo ubishi unapozaliwa kwa binti Karma. Muongelee yote ila kitu kinachoitwa cost sharing ni msamiati ambao haupo kwake.

Yani kote mtaenda sawa ila hapo pa yeye kutoa sh.100 yake tu kuchangia matumizi ndani ya nyumba ata kwa kununua pilipili tu ya kulia ugali lazma akushushie gazeti ila kwenye kupangiana zamu za kudeki na kupika au kufua aah moyo wake baridiiii[emoji28][emoji28][emoji28]!!! Atakuita jentromeni na kijana wa kileo kabisa.

Hii vita ni kubwa kama Marekani na Mrusi.
Wewe ndiyo unajifanya haunielewi! Mwanaume akinisaidia majukumu yangu hata mie nitamsaidia yake ila akiniachia yangu nifanye peke yangu basi hata yake nami nitamuachia afanye peke yake sasa hapo shida iko wapi?
 
Kwa akili hii unastahili kuishi mji wa Roma tu sio Africa. Mentality yako na iendelee kuishi kichwani mwako maana haina mahali ambapo itakuwa salama katika anga la Africa.
Basi hata ninyi kwa mentality hizo itabidi muende kuishi uzunguni huko ambako hela ya mwanaume ni ya wote na ya mwanamke ni ya wote na hakuna mgawanyo wa majukumu! Huku africa mtaendelea kulalamika na kuwaona wanawake ni wabinafsi ila hilo mnalotaka halitakaa kuja kutokea sababu tamaduni zetu zinalazimisha kuwe na mgawanyo wa majukumu hata yale ambayo yanaweza kufanywa na jinsia yoyote nayo yamegawanywa!
 
Na hapo ndipo ubishi unapozaliwa kwa binti Karma. Muongelee yote ila kitu kinachoitwa cost sharing ni msamiati ambao haupo kwake.

Yani kote mtaenda sawa ila hapo pa yeye kutoa sh.100 yake tu kuchangia matumizi ndani ya nyumba ata kwa kununua pilipili tu ya kulia ugali lazma akushushie gazeti ila kwenye kupangiana zamu za kudeki na kupika au kufua aah moyo wake baridiiii[emoji28][emoji28][emoji28]!!! Atakuita jentromeni na kijana wa kileo kabisa.

Hii vita ni kubwa kama Marekani na Mrusi.
Nafikiri tunaelewana anasema inategemea na mwanaume hapo nakubaliana nae
 
Kwani hili ni la ajabu na kwanini mlitumie kama sababu? Na ndiyo maana nasema jamii ndiyo inatakiwa ianze kubadili mtazamo ianze kuona ni kawaida na hao mashoga ni sehemu ya jamii!
Jamii gani unayoiongelea, kama Ni hii ya kwetu sahau. Huo mtazamo umerithi kwa mama au ni wa kwako tu. Na kama ni wako ushawahi kumuulza mama akakujibu nini. Au utasema mama nae ana mtazamo oldschool
 
Sawa hilo ni sawa kabisa na wala hakuna atakayekulazimisha kufanya hizo kazi wakati wote! Kwa sababu hata mwanamke naye anatakiwa akusaidie pale unapokwama tu na siyo wakati wote au eti nusu kwa nusu!
Katika lipi? Financially au majukumu ya nyumbani?
 
Kwani hili ni la ajabu na kwanini mlitumie kama sababu? Na ndiyo maana nasema jamii ndiyo inatakiwa ianze kubadili mtazamo ianze kuona ni kawaida na hao mashoga ni sehemu ya jamii!
@Karma kuna tatizo? Uko sawa mdogo wangu?
 
Jamii gani unayoiongelea, kama Ni hii ya kwetu sahau. Huo mtazamo umerithi kwa mama au ni wa kwako tu. Na kama ni wako ushawahi kumuulza mama akakujibu nini. Au utasema mama nae ana mtazamo oldschool
Alishasemaga kuwa yeye na dada zake ni newschool na wala mama yao hawamzingatii sababu yeye ni old school.😅😅😅
 
Ndiyo na hata wewe ukiona mwanamke wako malaya au kiburi kwanini umhudumie? Usimpe hata mia yako ikiwezekana muambie akapewe na hao wanaume wengine kwani ukimnyima atakufanya nini wakati pesa ni zako?

By the way mie huwa nashangaa sana wanaume wanaolalamika eti wanawake wanapenda pesa! Yaani ningekuwa mwanaume kama mwanamke sijisikii kumpa pesa si simpi tu kwani nisipompa atanifanya nini yaani!
 
Nafikiri tunaelewana anasema inategemea na mwanaume hapo nakubaliana nae
Huyo kanielewa sana ila kaamua kukaza kichwa! Maana hata ukiangalia kila tunavyobishana mie huwa naongea yale yale kila siku ila anajifanya hanielewi!
 
Mkuu mimi nimeona nibaki single tu hadi nakufa sihitaji uchumba wala ndoa na wala sihitaji tendo la ndoa maana kwangu siyo starehe! I am better off being single!
Oooh sasa nimeelewa shida iko wapi
 
Jamii gani unayoiongelea, kama Ni hii ya kwetu sahau. Huo mtazamo umerithi kwa mama au ni wa kwako tu. Na kama ni wako ushawahi kumuulza mama akakujibu nini. Au utasema mama nae ana mtazamo oldschool
Sawa hilo halina shida kama jamii haiwezi kuwa hivyo! Ila mbona na ninyi mnataka kulazimisha jamii ambayo mwanamke naye atakuwa anatoa pesa pasu kwa pasu sawa na mwanaume kwa kisingizio cha kwamba hayo ndiyo mapenzi wakati siyo tamaduni zetu?
 
Back
Top Bottom