Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
😁😁Mnaboa wenye tabia hii!unaeza Lia wallahMie hata uniambiaje sikuachi
Nakung'ang'ania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁Mnaboa wenye tabia hii!unaeza Lia wallahMie hata uniambiaje sikuachi
Nakung'ang'ania
Teh teh! Kazi kweli kweli aise!Atakuona kama unamzingua ila kimsingi ipo tafsiri kubwa katika hio sentensi hapo bro.
Basi oa mwanamke golikipa tu mkuu! Huyo ndiyo atakufaa ukitaka uishi kwa amani maisha yako yote ya ndoa!Hata kufanya kazi kujitafutia kipato binafsi kwa mwanamke sio tamaduni zetu. Tamaduni zetu Ni zile za mwanamke golikipa. Nkikuruhusu ufanye kazi basi lazima hela yako nitie mkono wangu pia.
Duuh wapi nimesema wanaume wote ni takataka? Hebu nioneshe tafadhali!Nilipobaini kwake wanaume wote ni takataka nilimshauri aachane na mambo ya ndoa/mapenzi
Ilikuwa tuishie pale maana shida yake imeanzia mbali
Kila mwanaume wa jf! Ila siyo wanaume wote!Asinielewe vibaya, Ila kwa mtazamo wake huo kla mwanaume ataupinga
Siyo wa wanawake wote ofcourse! Ila wapo wanawake wengi tu wenye mtazamo huu!Wala mtazamo wake sio wa wanawake
Uamuzi unaokufaa ni kuachana na mahusianoSiyo wa wanawake wote ofcourse! Ila wapo wanawake wengi tu wenye mtazamo huu!
Khaa sasa kama unampenda kwanini ulalamike? Mie ninachojua mwanamke kama ukimpenda siyo tu hautaona shida kumpa hela bali pia hautalalamika unapompa hela yako!Hivi unafikiri ni rahisi kumnyima hela mwanamke unayempenda?
Zinauzwaje mkuuChief nunua mashine ya kufulia nguo kurahisisha kazi nyumbani.
Unazungumzia waliopewa limbwata?Africa hii hii wapo wanaume hao hao ninaowaongelea! Jambo kama wewe haujawahi kuliona au kulisikia haimaanishi kuwa halipo jua kuna mwenzio kashaliona au kashalisikia mahali!
Hiyo ni jumla ya mawazo yakoDuuh wapi nimesema wanaume wote ni takataka? Hebu nioneshe tafadhali!
Sasa upande upi unaonufaika na upi unaoumia hapo? Tena mimi naona ninyi wanaume ndiyo huwa mnataka mnufaike kwenye kila kitu kinachohusiana na mapenzi!Kama ndivyo, mwanamke hatakiwi kufanya kazi. Akae nyumbani alee familia. Kwanini mnataka upande mmoja tu ndio unufaikie/kuumia na hiz 50/50 zenu? Yaani maana ya 50 50 inakuwaje sasa iwapo changu chako na chako chako?
Kwahiyo mimi hadi sasa sijaelewa point yako mkuu hebu niweke wazi! Wewe unataka mwanaume atafute pesa na ahudumie familia tu ila mwanamke atafute pesa ahudumie familia afanye kazi za ndani azae na bado alee mume na watoto peke yake au unatakaje hebu kuwa tu mkweli?Uamuzi unaokufaa ni kuachana na mahusiano
Inawezekana kuna mengine unamudu
Siyo limbwata! Wanaojua kuwa wanawake nao ni binadamu na wanapotafuta pesa wanachoka kama tu ambavyo wanaume wanachoka!Unazungumzia waliopewa limbwata?
Yes wapo
Siyo mawazo yangu bali labda yako mkuu! Mie nawafahamu wanaume wengi tu wenye hiyo mitazamo kama yangu na ndiyo maana nasema wapo sasa hao nao hauwezi kusema ni takataka au ni mbwa mie sifanyagi hizo generalizations za kijinga mkuu!Hiyo ni jumla ya mawazo yako
[emoji23][emoji23][emoji23] laki 3 na 50 unapata mpya kariakooZinauzwaje mkuu
Waswahili hatujui mambo hayo
Hawa wa jf ndio tunaotoka huko huko kwa hao wanaume wote mkuu. Pliz badilisha kidogo huo mtazamo wako, hautapingwa na wanaume tu hata baadhi ya wanawake wenzio watakupinga pia.Kila mwanaume wa jf! Ila siyo wanaume wote!
Unawachukia wanaume unayachukia mahusiano pengine kuna mahusiano unayamuduKwahiyo mimi hadi sasa sijaelewa point yako mkuu hebu niweke wazi! Wewe unataka mwanaume atafute pesa na ahudumie familia tu ila mwanamke atafute pesa ahudumie familia afanye kazi za ndani azae na bado alee mume na watoto peke yake au unatakaje hebu kuwa tu mkweli?
Sawa nitafanya, kutokana na kutofua muda mrefu jana nimechubua mikono dah nikajisemea nimeshakua mwanaume wa Dar sasa[emoji23][emoji23][emoji23] laki 3 na 50 unapata mpya kariakoo
Wanaume wote wa jf wako mtaani ila siyo wanaume wote wa mtaani wako jf! Huo mtazamo wangu unataka nibadilishe wapi hasa mkuu?Hawa wa jf ndio tunaotoka huko huko kwa hao wanaume wote mkuu. Pliz badilisha kidogo huo mtazamo wako, hautapingwa na wanaume tu hata baadhi ya wanawake wenzio watakupinga pia.