Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Nimecheka kinoma.
 
Mmh nilipata mrembo slayi queen nilidhani nimepata mke wa kudumu.....siku moja namkuta chumbani anatafuna mirungi (mira) na bigG nilishia nguvu nilianza kujiiuliza masuali mengi......nimeferi wapi lakini
[emoji2][emoji2][emoji3]
 
[emoji1690]
 
I suspected she was about to start mahusiano mapya nikamuuliza akaruka but viashiria viliendelea kuwepo.
Nikamuuliza tena n she came out like "We mwanaume una shida mahala,HUJIAMINI KABISAAAA.JIFUNZE KUJIAMINI BANA,UNABOA".
Yaani siwez sema nilivyojisikia since I 100% trusted my insticts that shit was bout to go down.
Siku anakwenda kunyanduliwa na huyo boya i had a dream,nikamuuliza asubuhi akanikumbusha "nisivyojiamini" but alikwenda,nikaona hotel walioingia.I refrained from having sex with her for a while before we broke up.
lONG STORY SHORT, she is now HIV+.
 
hakuwahi kukutafuta tena mzee?
 
Dah kuna kioindi nliambiwaga na binti fulani kwmba "Mwanaume haishi mjini kwa ukubwa wa pu*** zake, Tafuta hela wewe" ehhh yani sitaki hata kumkumbukaga yule binti japo alikuwa sio hata dem wangu wala hata rafiki kivile, I was really hurt
 
Sad[emoji27][emoji27]
 
Duh...kuna watu wana majibu bwana
 
hakuwahi kukutafuta tena mzee?
Hata jana alikuja kibaruani kwangu. i encouraged her to start the meds.She like "I miss the good old days,nisaidie basi hata kwa kidole"
But man,inanikasirisha mno nikikumbuka kua I tried that had,breaking all my personal principles making her happy and see our relationship work but she only took me for granted,akadharau machale yangu ambayo mi nayaaminia mno.niliwanyima hadi sister zangu good time to make that hoe happy afu nikaaambiwa nina shida maybe kwenye malez sababu sijiamini kabisa.ni ubinadamu tu ndo unafanya niongee nae hadi leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…