Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

(Aliniambia kwanza kuwa na mwanamke mrembo kama mimi ni bahati tu kwako,na hutopata mwanamke kama mimi)

Nilimjibu kuwa katika wanawake zangu kadhaa wewe ndo wa mwisho kwa kila kitu ..

.Alilia sana na mpaka sasa ananiomba msamaha
 
Wewe fanya kazi tu
 
Sawa hilo halina shida kama jamii haiwezi kuwa hivyo! Ila mbona na ninyi mnataka kulazimisha jamii ambayo mwanamke naye atakuwa anatoa pesa pasu kwa pasu sawa na mwanaume kwa kisingizio cha kwamba hayo ndiyo mapenzi wakati siyo tamaduni zetu?
Mwanamke anayekimbia kuchangia hela hata kidogo kwenye kuendesha maisha ya kawaida kila siku hafai. Ni. mbinafsi na mchoyo na hawezi kuvumilia shida hata siku 1 endapo uchumi wa baba utayumba. Ni wa kukwepa kama ukoma.
 
Sasa majukumu ya hela ni sisi tunang'ang'ania au nyie watoto wa "Mwanaume sharti anihudumie"
 
Duuh sasa hapo hamuoni kuwa mnakuwa unfair kwa wanawake? Kwahiyo mkuu unataka mwanamke ndiyo afanye majukumu mengi kuliko mwanaume yaani msaidizi ndiyo afanye majukumu mengi kuliko kiongozi si ndiyo?
We unajua ubishani wako hauna mantiki. Kiufupi kaa single usijaribu hata kubeba mimba maana nafikiri unataka usaidiwe hata hilo sababu una kikazi chako.
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Lala ndani ijulikane moja sio unaenda job halafu hata umeme huchangii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…