NingeuaDah kuna kioindi nliambiwaga na binti fulani kwmba "Mwanaume haishi mjini kwa ukubwa wa pu*** zake, Tafuta hela wewe" ehhh yani sitaki hata kumkumbukaga yule binti japo alikuwa sio hata dem wangu wala hata rafiki kivile, I was really hurt
MmhMwiraq ni mbwa kama mbwa mwingine tu, yanapenda pesa balaa, unatongoza papo hapo unaenda kugonga
Nilimuomba kwanza pesa nyingi ya kupozea maumivu ya tusi, alivonipa tu nikamkatia fuse.Dah hakupendi kabisa huyo
Point kubwa sana, narcissist dawa yake kubwa ni kumpora attention tu, wala usiumie na vitimbi vyake.. utamuona anavyo haha..Unaanza kumburuza yeye sasa [emoji23][emoji23][emoji23] narcissist anapagawa ukimpora attention tu.
wewe dada ni tapeli pro max πNilimuomba kwanza pesa nyingi ya kupozea maumivu ya tusi, alivonipa tu nikamkatia fuse.
Wewe fanya kazi tuSasa hapa umenifurahisha and this has always been my point! Hebu muite ndugu yako Extrovert asome hapa na ajibu halafu ndiyo utajua mimi na yeye tunapishanaga wapi!
Huyo Extrovert yeye anataka hivi! Hata yeye na mwanamke wake wote wawe wanatafuta pesa na wanachangia bills pasu kwa pasu basi kazi za ndani bado azifanye mwanamke peke yake yeye hahusiki kabisa which is totally unfair and against our african traditions!
Ndiyo maana nasema it's either mwanaume na mwanamke wasaidiane kutafuta pesa na kazi za ndani kwa pamoja au mwanaume atafute pesa peke yake na mwanamke afanye kazi za ndani peke yake! Lakini siyo eti mmoja anafanya jukumu moja ila mwingine anafanya yote mawili hiyo siyo sawa kabisa!
Na kama wewe upo hivyo basi hongera mkuu mko wachache sana! Wanaume wengi kwenye jamii zetu hizi za kiafrika wanaangukia kwenye hilo kundi nililolizungumzia hapo juu na hao ndiyo ninaowaongelea humu mara nyingi!
Mwanamke anayekimbia kuchangia hela hata kidogo kwenye kuendesha maisha ya kawaida kila siku hafai. Ni. mbinafsi na mchoyo na hawezi kuvumilia shida hata siku 1 endapo uchumi wa baba utayumba. Ni wa kukwepa kama ukoma.Sawa hilo halina shida kama jamii haiwezi kuwa hivyo! Ila mbona na ninyi mnataka kulazimisha jamii ambayo mwanamke naye atakuwa anatoa pesa pasu kwa pasu sawa na mwanaume kwa kisingizio cha kwamba hayo ndiyo mapenzi wakati siyo tamaduni zetu?
Sasa majukumu ya hela ni sisi tunang'ang'ania au nyie watoto wa "Mwanaume sharti anihudumie"Sasa upande upi unaonufaika na upi unaoumia hapo? Tena mimi naona ninyi wanaume ndiyo huwa mnataka mnufaike kwenye kila kitu kinachohusiana na mapenzi!
Maana 50/50 inataka mwanaume na mwanamke wote wawe sawa kuanzia kwenye haki hadi kwenye majukumu! Ila ninyi wanaume hamtaki kuwe na haki sawa ila kwenye majukumu mnataka tuwe sawa tena majukumu yenyewe ni ya kiuchumi tu ndiyo mnataka tuwe sawa ila kwenye majukumu mengine hatuko sawa siyo?
We unajua ubishani wako hauna mantiki. Kiufupi kaa single usijaribu hata kubeba mimba maana nafikiri unataka usaidiwe hata hilo sababu una kikazi chako.Duuh sasa hapo hamuoni kuwa mnakuwa unfair kwa wanawake? Kwahiyo mkuu unataka mwanamke ndiyo afanye majukumu mengi kuliko mwanaume yaani msaidizi ndiyo afanye majukumu mengi kuliko kiongozi si ndiyo?
ππππππTeh hivi mkuu una exposure ya maisha kweli wewe? Nakusikitikia unabishia vitu ambavyo vipo ila tu haujaviona wala haujavisikia!
Jiulize au waulize wanaume wenzio waliooa na wanaolalamika huwa wanalalamikia nini? Kwa taarifa yako kuwa single ni maamuzi yangu binafsi na wala eti siyo kwamba nimekosa mwanaume au eti wanaume hawanitongozi!
Lala ndani ijulikane moja sio unaenda job halafu hata umeme huchangii.Duuh mkuu unapoongelea wazazi mbona nakuwa sikuelewi kabisa yaani! Hao hao wazazi wetu si ndiyo waliishi katika misingi ya tamaduni zetu kuwa mwanaume anatafuta pesa na kuhudumia familia huku mwanamke anafanya kazi za ndani na kulea familia?
Na hicho ndicho kitu ambacho wanaume wengi wa sasa mnakipinga! Which means mnaenda kinyume na tamaduni zetu za kiafrika sasa mnataka tuwaeleweje yaani hebu kuweni wawazi chagueni kimoja mnataka tufuate tamaduni zetu za kiafrika au tufuate uzungu?