Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Nilidhani nishasikia kila kitu humu dunian[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
pole Sana mkuu
 
Wewe ni miongoni mwa wanaume wachache waliobakia

Nilikuwa nasoma comments za wadau humu nikawa bado sipati picha ni mazingira gani hadi mwanamke anijibu hivo
 
πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…