Unakumbuka nini katika enzi za gazeti la Sani?

Heshima yako Mhenga.
 
Kutili plaza? Kutili kabati ya mbeho? Enzi hizo ukitaka kuoa mchagga? Tv ilikuwa ni chuo cha polisi na chuo cha ushirika tu. Umesahau YMCA. Balozi wa Tanzania nchini Kuwait alikuwa form four chopra sec (mwanza sec school).
Ni ya kweli hayo kwamba Balozi wa TZ - KUWAIT alikuwa Mwaseco? Maana nimemaliza hapo form four 1989. Na 1984 nilikuta tayari inaitwa Mwanza sec.
 
Ni ya kweli hayo kwamba Balozi wa TZ - KUWAIT alikuwa Mwaseco? Maana nimemaliza hapo form four 1989. Na 1984 nilikuta tayari inaitwa Mwanza sec.
Alimiza form four 1986 mwaseco. Alifundishwa Fizikia na mwl Mugyabuso na mahesabu mwl Mkono; mwl Kashusura history etc! Walikuwa na Marehemu Pendo etc Mwl Deya akiwa mwl mkuu kama sikosei.
 
Alimiza form four 1986 mwaseco. Alifundishwa Fizikia na mwl Mugyabuso na mahesabu mwl Mkono; mwl Kashusura history etc! Walikuwa na Marehemu Pendo etc Mwl Deya akiwa mwl mkuu kama sikosei.
Itakuwa sahihi maana mi nilianza form one 1986. Hao walimu wote niliwakuta na Mwl. Kashushura kwasasa ni jirani yangu ninapoishi alinifundisha geography. Mkono alinifundisha Additional Maths kwasasa ni marehemu.
 
Mwaka 1987, ulikuwa LY ....LAST YEAR ....tukiita hivyo enzi hizo, kumaliza Elimu ya Msingi
 
Dah safi sana mkuu, umenikumbusha mbali sana, enzi za Plaza, PICHA MBILI, KIINGILIO KIMOJA. Hiyo inaanzia sa 4 mpk liamba, dah MO TOWN tuliitendea haki sana na pale ABC kama waenda Railway Station
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…