Unakumbuka nini katika enzi za gazeti la Sani?

Unakumbuka nini katika enzi za gazeti la Sani?

Nitakupa mpenzi uvipitie nawe ufaidi uhondo halisia wa vijarida hivi ambavyo vilikua gumzo nchi nzima wakati huo vikitoka mara moja kwa mwezi
Toka mchango wa kwanza wa uzi huu, nimesoma maneno ya staha sana. Nimegundua kuwa, wanaosumbua kwa maneno ya kuudhi, ni kutoka kwa wale waliojua kusoma na kuandika, wakati yameanza kutoka magazeti ya , IJUMAA, UWAZI, AMANI, KIU NK, Big up WAHENGA!
 
Miaka ile, katuni hizi zilikuwa maarufu kiasi kwamba baadhi yetu tulipewa majina ya katuni zile kama majina ya utani.

R.i.P Mtunzi wa katuni hizi marehemu
Philip Ndunguru, aliyefariki mwaka 1986 akiwa na umri wa miaka 24. Katuni zake ziliendelea kuleta tabasamu miaka kadhaa iliyofuata. Kwa kumkumbuka mtunzi huyu, na kufurahia kazi zake.
He died so young!RIP philip ndunguru!
 
Miaka ile, katuni hizi zilikuwa maarufu kiasi kwamba baadhi yetu tulipewa majina ya katuni zile kama majina ya utani.

R.i.P Mtunzi wa katuni hizi marehemu
Philip Ndunguru, aliyefariki mwaka 1986 akiwa na umri wa miaka 24. Katuni zake ziliendelea kuleta tabasamu miaka kadhaa iliyofuata. Kwa kumkumbuka mtunzi huyu, na kufurahia kazi zake.
Duuuu
 
Umenikumbusha mbali sana, miaka ya 80 kuelekea 90 ndipo nilianza kulifuatilia sana hili jarida lililokuwa linatoka kila mwezi na hadithi za kusisimua sana akina Chepe, Kipepe, Sokomoko, Ndumilkuwili, Lodilofa, Madenge, Kifimbo Cheza, Dokta Pimbi, nakumbuka pia kulikuwa na kurasa kadhaa za vichekesho ilikuwa inaitwa cheka unenepe.

Ikifuatiwa na hadithi za wimbi la Kitintale unakutana na akina Obi, Linda, Zumo, Bosi Mayuyu liyekuwa anaishi kisiwani aliyekuwa anafanya biashara za madawa ya kulevya na magenge yake ya unyang'anyi, Ole aliyekuwa mtesaji wa huyo mdosi na mabaunsa wenzake. Riwaya za akina Eddy Genzel Mauaji ya Hayawani, Kizaizai na nyinginezo zilizokuwemo kwenye hilo jarida.

Ukimalizia na zile mechi za mpira ilikua ni zaidi ya burudani.
 
Kw
Umenikumbusha mbali sana, miaka ya 80 kuelekea 90 ndipo nilianza kulifuatilia sana hili jarida lililokuwa linatoka kila mwezi na hadithi za kusisimua sana akina Chepe, Kipepe, Sokomoko, Ndumilkuwili, Lodilofa, Madenge, Kifimbo Cheza, Dokta Pimbi, nakumbuka pia kulikuwa na kurasa kadhaa za vichekesho ilikuwa inaitwa cheka unenepe.

Ikifuatiwa na hadithi za wimbi la Kitintale unakutana na akina Obi, Linda, Zumo, Bosi Mayuyu liyekuwa anaishi kisiwani aliyekuwa anafanya biashara za madawa ya kulevya na magenge yake ya unyang'anyi, Ole aliyekuwa mtesaji wa huyo mdosi na mabaunsa wenzake. Riwaya za akina Eddy Genzel Mauaji ya Hayawani, Kizaizai na nyinginezo zilizokuwemo kwenye hilo jarida.
Kweli wewe ni muhenga, mimi nimeanza kulisoma 2000+
 
Sasa mimi nilikuwa napata burudani zaidi during the mechi wanaweza waka cjinjiana na waanzishiana kichapo heavy....[emoji28][emoji28]

Au tim moja hata washabiki wanafukuzia wachuchu wa tim ingine. Yaani mbilinge mbilinge na madhamsham ya mechi yalizidi uhondo wa mpira wenyewe.

Au maandalizi na mazoezi ya mechi yalivyokua yanafanyika. Bush stars wanaweza kuingia kwa mifugo uwanjani ilimradi kash kash tu.

Wanakwambia duv line!
 
Au tim moja hata washabiki wanafukuzia wachuchu wa tim ingine. Yaani mbilinge mbilinge na madhamsham ya mechi yalizidi uhondo wa mpira wenyewe.

Au maandalizi na mazoezi ya mechi yalivyokua yanafanyika. Bush stars wanaweza kuingia kwa mifugo uwanjani ilimradi kash kash tu.

Wanakwambia duv line!
Hakika ilikuwa burudani sana.........[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom