Raia mdogo
JF-Expert Member
- Jan 5, 2018
- 1,387
- 1,518
Sawa nawe msalimie Mama UshimenMarahaba kijana, wasalimie hapo nyumbani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa nawe msalimie Mama UshimenMarahaba kijana, wasalimie hapo nyumbani
Toka mchango wa kwanza wa uzi huu, nimesoma maneno ya staha sana. Nimegundua kuwa, wanaosumbua kwa maneno ya kuudhi, ni kutoka kwa wale waliojua kusoma na kuandika, wakati yameanza kutoka magazeti ya , IJUMAA, UWAZI, AMANI, KIU NK, Big up WAHENGA!Nitakupa mpenzi uvipitie nawe ufaidi uhondo halisia wa vijarida hivi ambavyo vilikua gumzo nchi nzima wakati huo vikitoka mara moja kwa mwezi
Kumekucha na makucha yake Mama Mchungaji.Salama kabisa Baba Mchungaji. Kumekucha.
Ohhhh ahsante kijana, salam zimefika na mama ataitikaSawa nawe msalimie Mama Ushimen
He died so young!RIP philip ndunguru!Miaka ile, katuni hizi zilikuwa maarufu kiasi kwamba baadhi yetu tulipewa majina ya katuni zile kama majina ya utani.
R.i.P Mtunzi wa katuni hizi marehemu
Philip Ndunguru, aliyefariki mwaka 1986 akiwa na umri wa miaka 24. Katuni zake ziliendelea kuleta tabasamu miaka kadhaa iliyofuata. Kwa kumkumbuka mtunzi huyu, na kufurahia kazi zake.
DuuuuMiaka ile, katuni hizi zilikuwa maarufu kiasi kwamba baadhi yetu tulipewa majina ya katuni zile kama majina ya utani.
R.i.P Mtunzi wa katuni hizi marehemu
Philip Ndunguru, aliyefariki mwaka 1986 akiwa na umri wa miaka 24. Katuni zake ziliendelea kuleta tabasamu miaka kadhaa iliyofuata. Kwa kumkumbuka mtunzi huyu, na kufurahia kazi zake.
Shikamoo babuMarahaba kijana, wasalimie hapo nyumbani
Nimeitika kijana, habari ya majukumu..!!??Shikamoo babu
Sana.....He died so young!RIP philip ndunguru!
Umenikumbusha mbali sana, miaka ya 80 kuelekea 90 ndipo nilianza kulifuatilia sana hili jarida lililokuwa linatoka kila mwezi na hadithi za kusisimua sana akina Chepe, Kipepe, Sokomoko, Ndumilkuwili, Lodilofa, Madenge, Kifimbo Cheza, Dokta Pimbi, nakumbuka pia kulikuwa na kurasa kadhaa za vichekesho ilikuwa inaitwa cheka unenepe.
Ikifuatiwa na hadithi za wimbi la Kitintale unakutana na akina Obi, Linda, Zumo, Bosi Mayuyu liyekuwa anaishi kisiwani aliyekuwa anafanya biashara za madawa ya kulevya na magenge yake ya unyang'anyi, Ole aliyekuwa mtesaji wa huyo mdosi na mabaunsa wenzake. Riwaya za akina Eddy Genzel Mauaji ya Hayawani, Kizaizai na nyinginezo zilizokuwemo kwenye hilo jarida.
safi kabisa babu mdogo mdogo napambanaNimeitika kijana, habari ya majukumu..!!??
Pole na hongera kwa mpambano, Mungu azibariki kazi za mikono yakosafi kabisa babu mdogo mdogo napambana
Sasa mimi nilikuwa napata burudani zaidi during the mechi wanaweza waka cjinjiana na waanzishiana kichapo heavy....[emoji28][emoji28]Ukimalizia na zile mechi za mpira ilikua ni zaidi ya burudani.
Kweli wewe ni muhenga, mimi nimeanza kulisoma 2000+Umenikumbusha mbali sana, miaka ya 80 kuelekea 90 ndipo nilianza kulifuatilia sana hili jarida lililokuwa linatoka kila mwezi na hadithi za kusisimua sana akina Chepe, Kipepe, Sokomoko, Ndumilkuwili, Lodilofa, Madenge, Kifimbo Cheza, Dokta Pimbi, nakumbuka pia kulikuwa na kurasa kadhaa za vichekesho ilikuwa inaitwa cheka unenepe.
Ikifuatiwa na hadithi za wimbi la Kitintale unakutana na akina Obi, Linda, Zumo, Bosi Mayuyu liyekuwa anaishi kisiwani aliyekuwa anafanya biashara za madawa ya kulevya na magenge yake ya unyang'anyi, Ole aliyekuwa mtesaji wa huyo mdosi na mabaunsa wenzake. Riwaya za akina Eddy Genzel Mauaji ya Hayawani, Kizaizai na nyinginezo zilizokuwemo kwenye hilo jarida.
Sasa mimi nilikuwa napata burudani zaidi during the mechi wanaweza waka cjinjiana na waanzishiana kichapo heavy....[emoji28][emoji28]
Kuna mshikaji nilisoma nae tukawa tunamuita hilo jina 😀 😀,Mapung'o,
Dah kumbe Jamaa alikuwa bado mdogo sana, ila akili nyingi, aliyefariki mwaka 1986 akiwa na umri wa miaka 24
Itakuwa ulisoma masalia, ikiwa kama palikuwa na mtunzaji mzuri wa hayo majarida chiefKw
Kweli wewe ni muhenga, mimi nimeanza kulisoma 2000+
Hakika ilikuwa burudani sana.........[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Au tim moja hata washabiki wanafukuzia wachuchu wa tim ingine. Yaani mbilinge mbilinge na madhamsham ya mechi yalizidi uhondo wa mpira wenyewe.
Au maandalizi na mazoezi ya mechi yalivyokua yanafanyika. Bush stars wanaweza kuingia kwa mifugo uwanjani ilimradi kash kash tu.
Wanakwambia duv line!