Unakumbuka nini kuanzia Mwaka 1998 hadi 2000?

Njaaa kali
 
Nilizamia computer lab kumbe Kuna pindi pale UDBS enzi hizo Fuculty of Business and Com.... pale UDSM wakati nadoea computer niwasikilize wasanii wa Marekani pia nimsalimie rafiki yangu mzungu akiwa Spokane Washington. Enzi hizo 2000 tunahesabika tunaojua kutumia computer na mambo ya emails. Nilikuwa raia wa kitaa mdogo tu.
 
Hustler
 
Nakumbuka mwaka 2000 nikiwa na miaka mitatu mimi babu na bibi tulikua tunaish dodoma nyumba za serikali zilikua zina ukuta wa mabati kwa nje ila ndani ukuta ni singboard sijui zile za zamani so wafanyakazi weng walikua wanakaa pamoja unakuta nyumba moja ndefu kama darasa wanagawa kwa wafanya kazi watatu vyumba viwil na sebule kila mfanyakazi, kwa ufupi chumba nlichokua nalala kinafuatiwa na chumba cha mfanyakaz mwngne na mkewe,nkatoboa singboard kashmo kuangalizia yanayojiri kwa wakubwa dahhh wa zamani utoto raha sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…