Unakumbuka nini kuanzia Mwaka 1998 hadi 2000?

Unakumbuka nini kuanzia Mwaka 1998 hadi 2000?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mi mshangazi kweli shauri yako.!!
Wifi unaye mshangazi nangai
Kwanza ebu njoo apaπŸ˜‚πŸ˜‚,,nani kakwambia mi wifi ako!!!,hujui unaweza kua unanifukuzia ndege zangu weweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
World Cup France 1998, The Best World Cup niliyowahi kuiona...kila nikiikumbuka namkumbuka Lizarazuu
 

Attachments

  • images (77).jpeg
    images (77).jpeg
    26.5 KB · Views: 2
Nakumbuka enzi hizo daftari za mistari mikubwa na midogo kwa ajili ya kujifunza mwandiko kwa wanafunzi zilikuwa zinapatikana maduka ya Tanzania Elimu Supplies tu.

Nakumbuka pia tulikuwa tunapewa madaftari bure shuleni kila mwaka shule ikifunguliwa na likiisha unakwenda kumuonyesha mwalimu anakupa jingine jipya.

Nakumbuka enzi hizo kulikuwa na mashirika ya uchukuzi kila mkoa Mwanza ilikuwa KAUMA, Kagera ilikuwa KAGERA RETCO, Iringa ilikuwa IRINGA RETCO, Dodoma ilikuwa KAUDO, wadau mtaongezea.. Morogoro, Rukwa na kule kaskazini yalikuwa yanaitwaje..

NB: HII NI MIAKA YA 80's
 
kwanza ebu njoo apaπŸ˜‚πŸ˜‚,,nani kakwambia mi wifi ako!!!,hujui unaweza kua unanifukuzia ndege zangu weweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wifi acha ujuaji!! Kwa ndege gani wa kupotezewa humu??
Niulize mimi nikupe details za kichaka cha JF shauri yako utatapeliwa ohhh 🀣🀣🀣
 
Wifi acha ujuaji!! Kwa ndege gani wa kupotezewa humu??
Niulize mimi nikupe details za kichaka cha JF shauri yako utatapeliwa ohhh 🀣🀣🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Sema umeongea point,, enhee nipe nipe basi jamani
 
Wifi acha ujuaji!! Kwa ndege gani wa kupotezewa humu??
Niulize mimi nikupe details za kichaka cha JF shauri yako utatapeliwa ohhh 🀣🀣🀣
Nikiona dada yupo kwenye kamati ya harusi najua msos uhakika 🦾🦾namna gani paleeeeeee
 
Nakumbuka enzi hizo daftari za mistari mikubwa na midogo kwa ajili ya kujifunza mwandiko kwa wanafunzi zilikuwa zinapatikana maduka ya Tanzania Elimu Supplies tu.

Nakumbuka pia tulikuwa tunapewa madaftari bure shuleni kila mwaka shule ikifunguliwa na likiisha unakwenda kumuonyesha mwalimu anakupa jingine jipya.

Nakumbuka enzi hizo kulikuwa na mashirika ya uchukuzi kila mkoa Mwanza ilikuwa KAUMA, Kagera ilikuwa KAGERA RETCO, Iringa ilikuwa IRINGA RETCO, Dodoma ilikuwa KAUDO, wadau mtaongezea.. Morogoro, Rukwa na kule kaskazini yalikuwa yanyanaitwaje.

Dar es salaam kulikuwa na UDA mkuu!
 
Mimi binafsi nimezaliwa mwaka 1988 wakati ambao Tanganyika & Zanzibar zilikuwa kwenye muungano uliozaa Tanzania.

Wiki ikiyopita niliamua kujipa likizo binafsi,kwakuwa ninafanya kazi nyingi kwa takribani mwaka mzima bila kupumzika,nikaona huu ni muda muafaka wa kuipumzisha akili!
!.,Aiseeee !

Mwaka 1998 to 2000 ,inapaswa kuwa miaka yenye kumbukumbu kwa wengi wetu!
Miaka hiyo nilikuwa tajiri wa wanafunzi shuleni kwetu babu yangu alikuwa ananipa shilingi mia nakusanya marafiki zangu wote tunakula bata shuleni vibabu mandazi kashata nk mia chenji Inabaki
 
Back
Top Bottom