Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunapendana sema una wenge binti mdogo 😂😂😂hakika wanawake hatupendani,,shda ako m niingie cha kiume sio😂😂😂😂
daaaah 😂😂 kwakua nataman kufundshwa ata unitukane sijali wala nnTunapendana sema una wenge binti mdogo 😂😂😂
Kifo cha Mwalimu JK Nyerere mwaka 1999!Mimi binafsi nimezaliwa mwaka 1988 wakati ambao Tanganyika & Zanzibar zilikuwa kwenye muungano uliozaa Tanzania.
Wiki ikiyopita niliamua kujipa likizo binafsi,kwakuwa ninafanya kazi nyingi kwa takribani mwaka mzima bila kupumzika,nikaona huu ni muda muafaka wa kuipumzisha akili!
Hivi sasa ninapoandika huu uzi nipo hapa hifadhi ya Taifa ya Serengeti (SENAPA) nikiwa nimetulia zangu nikipata mvinyo baridi kabisa kutoka pale Dodoma!.
Nikiwa huku,mara zote nimekuwa nikipenda kusikiliza ngoma za miaka ya nyuma kutoka mamtoni,ngoma ambazo kizazi cha sasa kinaona kama zimepitwa na wakati!
Ahahahahaaa!,Vijana wa kisasa wameyakosa mambo matamu mnooo ambayo enzi zetu sisi tuliya-enjoy!
Nimekumbukia sana miaka ya 1998 hadi 2000!.Mwaka 1998 mimi binafsi nilikuwa nina miaka 10,aiseee nimekumbuka mambo mengi sana yanayohusu burudani nikiwa na washikaji zangu ambao wengi wao kwasasa ni Marehemu. Kuanzia mwaka huo wa 1998 hadi mwaka 2001 wasanii wa marekani ndiyo waliongoza kwa kutoa Hitsongs ulimwenguni!
Nakumbukia sana wimbo wa I need a Girl wake P. Diddy feat Usher & Loon ambao ulitoka mwaka 2001,Huu wimbo umenikumbusha mbali sana kiasi kwamba hadi machozi yamenitoka kwasababu nawakumbikia washikaji zangu wengi ambao nilikuwa nazunguka nao kwenye Peugeot 306 ya home,wengi wao hivi sasa hawapo duniani!,Aiseee nimekumbuka mbali sana!
Demu wangu enzi hizo alikuwa anakaa km 160 kutoka nilipo,hivyo nilikuwa naondoka na ma-bro tunaenda kwao nachukua mzigo then narudi nao maskani!,Ooooh God!,please take back the days!
Mwaka 2002 wakati kibao chake Nelly kiitwacho Dillema kinachiwa nilikuwa kwenye huba zito kiasi kwamba huu wimbo sitokaa niusahau hadi nafukiwa kwenye udongo!
Kwakuwa pia nilikuwa nampenda Mungu,nilikuwa shabiki wa kwanya ya Tumaini,iliyotoa albamu yao iliyoitwa Shangilieni,kwaya hii inapatikana pale Arusha!.,Aiseeee !
Mwaka 1998 to 2000 ,inapaswa kuwa miaka yenye kumbukumbu kwa wengi wetu!
Huyo ni mods ww 😂😂😂ebu kwanza,,ni nani uyo kwako😂😂😂
Uuuuiiiiii 🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️😂😂😂😂 kumbe,,m ata siwafahamHuyo ni mods ww 😂😂😂
Shauri yako 😂😂Uuuuiiiiii 🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️😂😂😂😂 kumbe,,m ata siwafaham
aya nambie basi nawewe jamani,,mdada mrembo kabisa😂😂😂😂😂Shauri yako 😂😂
Sema mtu mmoja muelewa sana.!
TAFUTA PESA 🤣aya nambie basi nawewe jamani,,mdada mrembo kabisa😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 Asante kwa ushauri asante sanaTAFUTA PESA 🤣
Ukiwa na pesa unawachezea wanaume kn wanavochezea wanawake wenye njaa
Dah!....those were your days...Nakumbuka nikiwa mdogo na miaka kama 6 hivi, raisi wa marekani alikuja arusha, na kuna project alikua anaicheki jirani na kwetu (hospitali ya wilaya), sasa katika harakati na shamrashamra shule wanafunzi tukaruhusiwa mapema kwenda home...
Sasa yule baba(president) alivokua anapita kulikua na helkopta zinapita juu.
Ilikua ndio mara ya kwanza kuona hii kitu, nkaogopa nikakimbilia chini ya miti, bahatimbaya ule upepo wa helikopta ukikua mkali kiasi kwamba tawi la mti nililokuwa nimejificha likakwanyuka na kuniangukia
Niliisi nimekufa nikaogopa hata kujijeuza nlikaa pale bila kujigusa kama dakika 10, baadae ndio nikainuka uzuri sijaumia。。
Ma Bro wengi walienda Marekani miaka hii kwasababu enzi hizo hakukuwa na akili ya kwenda nchi nyingine tofauti na MarekaniNilizamia computer lab kumbe Kuna pindi pale UDBS enzi hizo Fuculty of Business and Com.... pale UDSM wakati nadoea computer niwasikilize wasanii wa Marekani pia nimsalimie rafiki yangu mzungu akiwa Spokane Washington. Enzi hizo 2000 tunahesabika tunaojua kutumia computer na mambo ya emails. Nilikuwa raia wa kitaa mdogo tu.
Shuleni kwetu tulikuwa na michango 3 maarufu,kama hujalipa hiyo husogei darasani!1. Elnino pale home maji yalijaa balaa.
2. Ugaidi ubalozi wa marekani yani yale mabomu tuliyasikia.
3. Kifo cha Nyerere.
4. Kufutwa kwa mtihani darasa la saba 1997 na kurudiwa 1998. Nilikua mdogo sana ila nakumbuka.
5. Kuanza kwa michango ya wazazi ili kujenga shule za sekondari, ilikua kila mwanafunzi buku 5 kama sijasahau. Michango hii ndio iliwezesha kupata shule kadhaa ambapo baadae nilisoma moja ya shule hizo.
6. World cup ufaransa 1998.
7. Yote ya yote kirusi cha Y2K kilivyotishia computer kuzima dunia nzima 1999 kwenda 2000.
8. Bwana Kibwetere kuwachoma watu kanisani Uganda.
9. Kutangazwa kwa mwisho wa dunia 2000.
N.k n.k
😂😂😂😂 wifi pata pesa uchezee wanaume.!😂😂😂😂 Asante kwa ushauri asante sana
Hiiii kqmbq hiiii 🤣🤣🤣🤣Kwa hyo blaza ukiwa na miaka 10 ilikua na demu?