Unakumbuka nini kuanzia Mwaka 1998 hadi 2000?

Unakumbuka nini kuanzia Mwaka 1998 hadi 2000?

Mimi binafsi nimezaliwa mwaka 1988 wakati ambao Tanganyika & Zanzibar zilikuwa kwenye muungano uliozaa Tanzania.

Wiki ikiyopita niliamua kujipa likizo binafsi,kwakuwa ninafanya kazi nyingi kwa takribani mwaka mzima bila kupumzika,nikaona huu ni muda muafaka wa kuipumzisha akili!

Hivi sasa ninapoandika huu uzi nipo hapa hifadhi ya Taifa ya Serengeti (SENAPA) nikiwa nimetulia zangu nikipata mvinyo baridi kabisa kutoka pale Dodoma!.

Nikiwa huku,mara zote nimekuwa nikipenda kusikiliza ngoma za miaka ya nyuma kutoka mamtoni,ngoma ambazo kizazi cha sasa kinaona kama zimepitwa na wakati!

Ahahahahaaa!,Vijana wa kisasa wameyakosa mambo matamu mnooo ambayo enzi zetu sisi tuliya-enjoy!
Nimekumbukia sana miaka ya 1998 hadi 2000!.Mwaka 1998 mimi binafsi nilikuwa nina miaka 10,aiseee nimekumbuka mambo mengi sana yanayohusu burudani nikiwa na washikaji zangu ambao wengi wao kwasasa ni Marehemu. Kuanzia mwaka huo wa 1998 hadi mwaka 2001 wasanii wa marekani ndiyo waliongoza kwa kutoa Hitsongs ulimwenguni!

Nakumbukia sana wimbo wa I need a Girl wake P. Diddy feat Usher & Loon ambao ulitoka mwaka 2001,Huu wimbo umenikumbusha mbali sana kiasi kwamba hadi machozi yamenitoka kwasababu nawakumbikia washikaji zangu wengi ambao nilikuwa nazunguka nao kwenye Peugeot 306 ya home,wengi wao hivi sasa hawapo duniani!,Aiseee nimekumbuka mbali sana!

Demu wangu enzi hizo alikuwa anakaa km 160 kutoka nilipo,hivyo nilikuwa naondoka na ma-bro tunaenda kwao nachukua mzigo then narudi nao maskani!,Ooooh God!,please take back the days!

Mwaka 2002 wakati kibao chake Nelly kiitwacho Dillema kinachiwa nilikuwa kwenye huba zito kiasi kwamba huu wimbo sitokaa niusahau hadi nafukiwa kwenye udongo!

Kwakuwa pia nilikuwa nampenda Mungu,nilikuwa shabiki wa kwanya ya Tumaini,iliyotoa albamu yao iliyoitwa Shangilieni,kwaya hii inapatikana pale Arusha!.,Aiseeee !

Mwaka 1998 to 2000 ,inapaswa kuwa miaka yenye kumbukumbu kwa wengi wetu!
Mkuu umenifurahisha sana, kwa kurejea hii era ya muziki hususan hiyo ya mamtoni, hakuna wakati wowote dunia imeshuhudia mziki mtamu na vipaji vya kukata na shoka kama kama zama hizi za 90s to 2000...na haitakaa itokee mpaka dunia inafika mwisho, ni mziki uliokuwa na vibe la kufa mtu...nimetengeneza playlist yangu ambayo nitaisikiliza mpk nazeeka natembelea mkongojo! nakuombea mapunziko yako yakawe yenye amani tele...
 
Mimi binafsi nimezaliwa mwaka 1988 wakati ambao Tanganyika & Zanzibar zilikuwa kwenye muungano uliozaa Tanzania.

Wiki ikiyopita niliamua kujipa likizo binafsi,kwakuwa ninafanya kazi nyingi kwa takribani mwaka mzima bila kupumzika,nikaona huu ni muda muafaka wa kuipumzisha akili!

Hivi sasa ninapoandika huu uzi nipo hapa hifadhi ya Taifa ya Serengeti (SENAPA) nikiwa nimetulia zangu nikipata mvinyo baridi kabisa kutoka pale Dodoma!.

Nikiwa huku,mara zote nimekuwa nikipenda kusikiliza ngoma za miaka ya nyuma kutoka mamtoni,ngoma ambazo kizazi cha sasa kinaona kama zimepitwa na wakati!

Ahahahahaaa!,Vijana wa kisasa wameyakosa mambo matamu mnooo ambayo enzi zetu sisi tuliya-enjoy!
Nimekumbukia sana miaka ya 1998 hadi 2000!.Mwaka 1998 mimi binafsi nilikuwa nina miaka 10,aiseee nimekumbuka mambo mengi sana yanayohusu burudani nikiwa na washikaji zangu ambao wengi wao kwasasa ni Marehemu. Kuanzia mwaka huo wa 1998 hadi mwaka 2001 wasanii wa marekani ndiyo waliongoza kwa kutoa Hitsongs ulimwenguni!

Nakumbukia sana wimbo wa I need a Girl wake P. Diddy feat Usher & Loon ambao ulitoka mwaka 2001,Huu wimbo umenikumbusha mbali sana kiasi kwamba hadi machozi yamenitoka kwasababu nawakumbikia washikaji zangu wengi ambao nilikuwa nazunguka nao kwenye Peugeot 306 ya home,wengi wao hivi sasa hawapo duniani!,Aiseee nimekumbuka mbali sana!

Demu wangu enzi hizo alikuwa anakaa km 160 kutoka nilipo,hivyo nilikuwa naondoka na ma-bro tunaenda kwao nachukua mzigo then narudi nao maskani!,Ooooh God!,please take back the days!

Mwaka 2002 wakati kibao chake Nelly kiitwacho Dillema kinachiwa nilikuwa kwenye huba zito kiasi kwamba huu wimbo sitokaa niusahau hadi nafukiwa kwenye udongo!

Kwakuwa pia nilikuwa nampenda Mungu,nilikuwa shabiki wa kwanya ya Tumaini,iliyotoa albamu yao iliyoitwa Shangilieni,kwaya hii inapatikana pale Arusha!.,Aiseeee !

Mwaka 1998 to 2000 ,inapaswa kuwa miaka yenye kumbukumbu kwa wengi wetu!
Kwangu ni kipindi cha mwaka wa mwisho chuoni, kuisaka kazi, kumpoteza Bibi mzaa Mama n.k. Ilikuwa hali ya kutokuwa na uhakika wa maisha.
 
Mwaka 98 anahamishwa kikazi kutoka Dom mpaka Rukwa, Mwaka 99 kwa mara ya kwanza nasafiri na mama kutoka Dodoma kwenda Mbeya na basi linaitwa URAFIKI tukafikia kwa babu yangu alikua askari magereza mstaafu alikua na tv inaonyesha rangi mbili tu hapo ndio msiba wa Nyerere unaonyeshwa ITV.

Mzee wangu alihamishwa kikazi Namanyere wilaya ya Nkasi, maisha tuliona ni magumu sana kwa sababu tulikua tunaishi Dodoma kuna umeme masaa 24 tunafika sehemu hakuna umeme wanatumia generator napo linawaka jioni ya saa 1 mpaka 3-4. Nyimbo zilizokua zinatawala ni lile kundi la Makoma. Daah nimekumbuka mengi sana
 
Nakumbuka enzi hizo kulikuwa na mashirika ya uchukuzi kila mkoa Mwanza ilikuwa KAUMA, Kagera ilikuwa KAGERA RETCO, Iringa ilikuwa IRINGA RETCO, Dodoma ilikuwa KAUDO, wadau mtaongezea.. Morogoro, Rukwa na kule kaskazini yalikuwa yanaitwaje..

1998 haya mashirika yalikuwa yashajifia zamani
 
Mimi binafsi nimezaliwa mwaka 1988 wakati ambao Tanganyika & Zanzibar zilikuwa kwenye muungano uliozaa Tanzania.

Wiki ikiyopita niliamua kujipa likizo binafsi,kwakuwa ninafanya kazi nyingi kwa takribani mwaka mzima bila kupumzika,nikaona huu ni muda muafaka wa kuipumzisha akili!

Hivi sasa ninapoandika huu uzi nipo hapa hifadhi ya Taifa ya Serengeti (SENAPA) nikiwa nimetulia zangu nikipata mvinyo baridi kabisa kutoka pale Dodoma!.

Nikiwa huku,mara zote nimekuwa nikipenda kusikiliza ngoma za miaka ya nyuma kutoka mamtoni,ngoma ambazo kizazi cha sasa kinaona kama zimepitwa na wakati!

Ahahahahaaa!,Vijana wa kisasa wameyakosa mambo matamu mnooo ambayo enzi zetu sisi tuliya-enjoy!
Nimekumbukia sana miaka ya 1998 hadi 2000!.Mwaka 1998 mimi binafsi nilikuwa nina miaka 10,aiseee nimekumbuka mambo mengi sana yanayohusu burudani nikiwa na washikaji zangu ambao wengi wao kwasasa ni Marehemu. Kuanzia mwaka huo wa 1998 hadi mwaka 2001 wasanii wa marekani ndiyo waliongoza kwa kutoa Hitsongs ulimwenguni!

Nakumbukia sana wimbo wa I need a Girl wake P. Diddy feat Usher & Loon ambao ulitoka mwaka 2001,Huu wimbo umenikumbusha mbali sana kiasi kwamba hadi machozi yamenitoka kwasababu nawakumbikia washikaji zangu wengi ambao nilikuwa nazunguka nao kwenye Peugeot 306 ya home,wengi wao hivi sasa hawapo duniani!,Aiseee nimekumbuka mbali sana!

Demu wangu enzi hizo alikuwa anakaa km 160 kutoka nilipo,hivyo nilikuwa naondoka na ma-bro tunaenda kwao nachukua mzigo then narudi nao maskani!,Ooooh God!,please take back the days!

Mwaka 2002 wakati kibao chake Nelly kiitwacho Dillema kinachiwa nilikuwa kwenye huba zito kiasi kwamba huu wimbo sitokaa niusahau hadi nafukiwa kwenye udongo!

Kwakuwa pia nilikuwa nampenda Mungu,nilikuwa shabiki wa kwanya ya Tumaini,iliyotoa albamu yao iliyoitwa Shangilieni,kwaya hii inapatikana pale Arusha!.,Aiseeee !

Mwaka 1998 to 2000 ,inapaswa kuwa miaka yenye kumbukumbu kwa wengi wetu!
umenikumbusha mbali kijana. huo mwaka uliozaliwa raisi mwinyi rip alikuja mkoani kwetu kufungua msikiti mkuu wa hapo mkoani kwetu
pia mwaka huohuo timu moja ya mkoani km sikosei kosto hiihii ya tanga ya akina mgunda huyu wa simba waliduwaza nchi kwa kutwaa kombe ligi kuu. miaka hiyo hizi simba na yanga wakikutana na reli ya morogoro kosto, pamba ya mwanza lolote linaweza kutokea.
 
1998 natoka Lusaka naelekea Cape Town kitongoji kimoja kinaitwa Gugulethu NY 21 House number 77 nilipofika Cape Town niliuliza hiace zinazoenda Gugulethu na nauli yake nilipanda Hiace mpaka Gugs nikashushwa mtaa wa NY 21 nikaanza kutafuta namba ya nyumba mpaka nikafika ndugu yangu aliponiona hakuamini kabisa maana alinipa Address nikiwa home Tanzania baadae mawasiliano nilipoteza ila Address yake niliandika nyuma ya Passport ndugu yangu alifurahi sana na hakuamini...ndio mwanzo wa Mapambano ya SA huko Cape stad The City of good hope au wenyewe wanaiita Mothercity nikasota mwaka mmoja kwa kazi za magari mara supermarkets ila mwaka 2000 nilipata kazi ya ndoto yangu Debeers Marine kama saidia fundi Engine room baada ya kufanya kazi kwa muda mrefu na kupelekwa vyuo nikawa Fundi kamili Engine room kweli maisha tumetoka mbali sana...
una bahati mkuu ulienda nchi tayari ina president mweusi ubaguzi wa mtu mweupe unaishiaishia maana vinginevo ungeziona rangi zote.
 
Dah!Nimekumbuka zanani kweli mwaka 2003nikiwa na miaka minne.Nilanza chekechea.Nilipokuwa napelekwa nilikuwa nachekacheka.Ila,mama aliponiacha na wenzangu nililia sana.Halafu,sasa nakumbuka mwaka 2014 nikaanza kuuza mayai yaliyochemshwa na karanga za kukaanga.Nikachangisha hela hadi nikanunue simatifoni.Mbona walinikoma.Sisi watu wa zamani hatupendi kujionesha tu.Nina stori nyingi sana za kusisimua.Nagonga miaka 24 kwa sasa,yaani kwa kukaribishia ni robo karne.
 
Nilizamia computer lab kumbe Kuna pindi pale UDBS enzi hizo Fuculty of Business and Com.... pale UDSM wakati nadoea computer niwasikilize wasanii wa Marekani pia nimsalimie rafiki yangu mzungu akiwa Spokane Washington. Enzi hizo 2000 tunahesabika tunaojua kutumia computer na mambo ya emails. Nilikuwa raia wa kitaa mdogo tu.
Umenikumbusha kulikuwa na kipindi nadhani Chanel 10 kikiitwa Muziki na Buzz,Alikuwa akiendesha Frenk Mtao na Salma Msangi.Yaani nilikuwa natuma sana Salamu kwa Email kwenye Internet cafe...
 
Umenikumbusha kulikuwa na kipindi nadhani Chanel 10 kikiitwa Muziki na Buzz,Alikuwa akiendesha Frenk Mtao na Salma Msangi.Yaani nilikuwa natuma sana Salamu kwa Email kwenye Internet cafe...
Yeah, nilikuwa naenda internet cafe pale Ubungo RUBADA kwenye hostel za watu wa Masters unawekewa timer ukilipia nusu saa muda ukiisha ngoma inakata unachukia. Ilikuwa expensive Sana.
Sehemu nyingine UCC pale UDSM kulikuwa na internet cafe. Wateja wengi wazungu tu. Kama una confidence unapata mbebe wa kizungu...😃😃

Mimi nikiona mfuko hauko sawa nazamia Comp Lab ya Department of Math, au ya Faculty of Science pale AVU, au Department of Geology, au UDBS.
Nilipata marafiki wengi sana shuleni nikiwa advance sababu ya kujua comp na internet. Enzi za Netscape Navigator browser, Hotmail, AOL (American Online) email service.

Note:
Sikuwa mwanafunzi wa chuo, nikifungua madude wanafunzi wanashangaa wanakuja niwafundishe. My two brothers walikuwa viongozi wa Faculty of Science ndiyo walinipa ujasiri wa kuingia popote.
 
1998 natoka Lusaka naelekea Cape Town kitongoji kimoja kinaitwa Gugulethu NY 21 House number 77 nilipofika Cape Town niliuliza hiace zinazoenda Gugulethu na nauli yake nilipanda Hiace mpaka Gugs nikashushwa mtaa wa NY 21 nikaanza kutafuta namba ya nyumba mpaka nikafika ndugu yangu aliponiona hakuamini kabisa maana alinipa Address nikiwa home Tanzania baadae mawasiliano nilipoteza ila Address yake niliandika nyuma ya Passport ndugu yangu alifurahi sana na hakuamini...ndio mwanzo wa Mapambano ya SA huko Cape stad The City of good hope au wenyewe wanaiita Mothercity nikasota mwaka mmoja kwa kazi za magari mara supermarkets ila mwaka 2000 nilipata kazi ya ndoto yangu Debeers Marine kama saidia fundi Engine room baada ya kufanya kazi kwa muda mrefu na kupelekwa vyuo nikawa Fundi kamili Engine room kweli maisha tumetoka mbali sana...
Hongera mkuu towa maconnection
 
Mimi binafsi nimezaliwa mwaka 1988 wakati ambao Tanganyika & Zanzibar zilikuwa kwenye muungano uliozaa Tanzania.

Wiki ikiyopita niliamua kujipa likizo binafsi,kwakuwa ninafanya kazi nyingi kwa takribani mwaka mzima bila kupumzika,nikaona huu ni muda muafaka wa kuipumzisha akili!

Hivi sasa ninapoandika huu uzi nipo hapa hifadhi ya Taifa ya Serengeti (SENAPA) nikiwa nimetulia zangu nikipata mvinyo baridi kabisa kutoka pale Dodoma!.

Nikiwa huku,mara zote nimekuwa nikipenda kusikiliza ngoma za miaka ya nyuma kutoka mamtoni,ngoma ambazo kizazi cha sasa kinaona kama zimepitwa na wakati!

Ahahahahaaa!,Vijana wa kisasa wameyakosa mambo matamu mnooo ambayo enzi zetu sisi tuliya-enjoy!
Nimekumbukia sana miaka ya 1998 hadi 2000!.Mwaka 1998 mimi binafsi nilikuwa nina miaka 10,aiseee nimekumbuka mambo mengi sana yanayohusu burudani nikiwa na washikaji zangu ambao wengi wao kwasasa ni Marehemu. Kuanzia mwaka huo wa 1998 hadi mwaka 2001 wasanii wa marekani ndiyo waliongoza kwa kutoa Hitsongs ulimwenguni!

Nakumbukia sana wimbo wa I need a Girl wake P. Diddy feat Usher & Loon ambao ulitoka mwaka 2001,Huu wimbo umenikumbusha mbali sana kiasi kwamba hadi machozi yamenitoka kwasababu nawakumbikia washikaji zangu wengi ambao nilikuwa nazunguka nao kwenye Peugeot 306 ya home,wengi wao hivi sasa hawapo duniani!,Aiseee nimekumbuka mbali sana!

Demu wangu enzi hizo alikuwa anakaa km 160 kutoka nilipo,hivyo nilikuwa naondoka na ma-bro tunaenda kwao nachukua mzigo then narudi nao maskani!,Ooooh God!,please take back the days!

Mwaka 2002 wakati kibao chake Nelly kiitwacho Dillema kinachiwa nilikuwa kwenye huba zito kiasi kwamba huu wimbo sitokaa niusahau hadi nafukiwa kwenye udongo!

Kwakuwa pia nilikuwa nampenda Mungu,nilikuwa shabiki wa kwanya ya Tumaini,iliyotoa albamu yao iliyoitwa Shangilieni,kwaya hii inapatikana pale Arusha!.,Aiseeee !

Mwaka 1998 to 2000 ,inapaswa kuwa miaka yenye kumbukumbu kwa wengi wetu!
"Mimi binafsi nimezaliwa mwaka 1988 wakati ambao Tanganyika & Zanzibar zilikuwa kwenye muungano uliozaa Tanzania", hii Tanganyika na Zanzibar yako ni tofauti na tunayoishi sisi! Muungano wa mwaka 1964 wewe unauona mwaka 1988!
 
Back
Top Bottom