Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]Tulikuwa tunaita ambuuuush ticha akija usiku. Ukisikia hivyo ukiwa dorm unakimbia. Wanafunzi pamoja na utani, kwenye hili swala hatukuwa tunataniana.
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]School's motto:- "Use Your Common Sense"
Hawa mafala wa ainahyo walinitesa SanaHahaha .. Nakumbuka nimereport day one, tukaambiwa Twende Prepo usiku. Jamaa sina hili wala lile nang’aa macho na kushangaa shangaa sina cha kusoma . Naona majamaa pembeni yangu wanadiscuss topics tena wanabishana na kusolve word problems ambazo sijawahi kusikia.. nilipanic sana na kujiona nimeshafail [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Huu ubabe wa kuwahi masomo ulinitesa nikakonda kabisa na kujiona sipo kundi moja na wenzangu [emoji28]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu baada ya hapo ni vipara tu vilitawala
Ah mi nilijua mikasi ya Ngwea [emoji23]Mkuu baada ya hapo ni vipara tu vilitawala
Picha linaanza nimeripoti day one nakutana na mgomo, huku bomu za machozi huku mawe ya wanafunzi.
One hell of an experience!
😂 ongeza tangawizi na limau kwa wingi mkuu
Mkuu nakusalimu sana . Ila avatar yako inanipa majaribu.
Hii ni ifundaaaaKatika maisha shule kunakuwa kuwa na changamoto mbalimbali hasa tuliosoma shule za St kayumba mm nakumbuka baada ya kumaliza shule ya sekondari .Nilibahatika kufaulu na kupangiwa kuendelea na masomo shule moja ya boys huko mikoa ya nyanda za juu kusini.Muda ulipowadia kufunguliwa shule kijana nilijiandaa kwa ajili ya kuripoti nakumbuka tulitumiwa form za maandalizi nikanunua vitu vyote pamoja na sare .Siku ya kufunguliwa ikawadia nikabeba tranka langu na vifaa vingine mzee tulienda wote wahuni wakanipokea vifaa vyangu na kuvipeleka bwenini mm nikabakia na mzee kwa ajili ya kukamilisha Mambo Fulani .Baada ya muda kwenda nikaenda bwenini kucheki vifaa vyote hakuna kumbe wahuni walionipokea walikwenda kuviuza mtaani mm sura sikuwashika godoro ,tranka na ndoo nikawa nimepoteza dah! Sio mm peke yangu niliyeibiwa wengi tuu wanaoripoti walikuwa wakiibiwa na wababe wa pale shule form five tulikuwa tukiitwa form one wa kiangazi .nikabaki nikilia tuu mzee akaninulia vitu vingine akaniambia uwe makini ukiibiwa Tena sitokunulia toka siku iyo nikawa mbabe Sana nikaacha unyonge .ebu na ww unakumbuka ubabe gani uliokutana nao shuleni hasa za bweni.
Ajali mzee baba likitokea dereva anatupa upande wako!
tungo tata
Advanced level student unaibiwa kiboya hivyo, wakati uko Olevel hukuwahi kusikia stori za shule za bweni? Ninesoma bweni Shule za Serikali miaka 6 sikuwahi kuibiwaKatika maisha shule kunakuwa kuwa na changamoto mbalimbali hasa tuliosoma shule za St kayumba mm nakumbuka baada ya kumaliza shule ya sekondari .Nilibahatika kufaulu na kupangiwa kuendelea na masomo shule moja ya boys huko mikoa ya nyanda za juu kusini.Muda ulipowadia kufunguliwa shule kijana nilijiandaa kwa ajili ya kuripoti nakumbuka tulitumiwa form za maandalizi nikanunua vitu vyote pamoja na sare .Siku ya kufunguliwa ikawadia nikabeba tranka langu na vifaa vingine mzee tulienda wote wahuni wakanipokea vifaa vyangu na kuvipeleka bwenini mm nikabakia na mzee kwa ajili ya kukamilisha Mambo Fulani .Baada ya muda kwenda nikaenda bwenini kucheki vifaa vyote hakuna kumbe wahuni walionipokea walikwenda kuviuza mtaani mm sura sikuwashika godoro ,tranka na ndoo nikawa nimepoteza dah! Sio mm peke yangu niliyeibiwa wengi tuu wanaoripoti walikuwa wakiibiwa na wababe wa pale shule form five tulikuwa tukiitwa form one wa kiangazi .nikabaki nikilia tuu mzee akaninulia vitu vingine akaniambia uwe makini ukiibiwa Tena sitokunulia toka siku iyo nikawa mbabe Sana nikaacha unyonge .ebu na ww unakumbuka ubabe gani uliokutana nao shuleni hasa za bweni.