Unakumbuka Nini kuhusu maisha shule za bweni A level share kisa chako.

Unakumbuka Nini kuhusu maisha shule za bweni A level share kisa chako.

Hawa mafala wa ainahyo walinitesa Sana
Yani Cku ya kwanza kwenda class nakuta jamaa wanasolve trig Mara differentiation Mara integration aseeh jamaa wanabishana kinoma.. Nilijiona mjinga na nishafeli.. Niiwakariri wale jamaa na finally necta niliwaacha mbali Sana

Nakumbuka kuna siku nilikaa bwenini nikalia Sana.. Nikamkumbuka mama alivoniambiaga kuwa kuna Maisha magum duniani.. Ckuwahi kula marage ya wadudu.. Ugali mgumu wa Dona na kande la wadudu.. Mwanzoni nilikonda Sana.. Nilikuja nikazoea na nikatusua vizuri Sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndivo maisha yalivo mkuu. Yaani hao mabwana/ mabibi wanaweza kuwa ni vichocheo vya kufanya mtu asome kwa bidii au apotee kabisa.. atoke kwenye phase na kupanic juu [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Shule 1 kubwa ya vipanga ipo Eastern Zone. "wee mtoto mbona hufanani na kusoma tahasusi hii tena kwa shule hiii na shule uliyotoka mbna monekano wako tofauti" maneno ya makamu mkuu wa shule hapo ofisini kwake, nafany utaratibu wa usajiri 4m 5 sku ya kwanza nareport, nlijisikia vibaya mnoooh but nashukuru siku ya pili aliniita na kuomba msamaha na kunijenga kifikra. But changamoto kwa wanafunz wenzangu n nyingi ila nliondoka salama.
 
Shule 1 kubwa ya vipanga ipo Eastern Zone. "wee mtoto mbona hufanani na kusoma tahasusi hii tena kwa shule hiii na shule uliyotoka mbna monekano wako tofauti" maneno ya makamu mkuu wa shule hapo ofisini kwake, nafany utaratibu wa usajiri 4m 5 sku ya kwanza nareport, nlijisikia vibaya mnoooh but nashukuru siku ya pili aliniita na kuomba msamaha na kunijenga kifikra. But changamoto kwa wanafunz wenzangu n nyingi ila nliondoka salama.
Unahisi kwa nini alikuambia hivyo?
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mi nakumbuka nilikusanya assignment ambayo najua fikra sijaifanya ,nikamkabidhi teacher kwa story za hapa na pale akapokea. Kumbuka sijaifanya🤣
Nikaona sio kweli ,nikaingia ofisini nikachukua nikaondoka nayo
Baada ya matokeo

"🙄Teacher assignment yangu vipi, unipi?!"
Teacher " Aisee sijui nikwambiaje ,unajua sielewi sijui imepotea au imedondoka nikaisomba na uchafu"
Mimi " 😔😔Basi jaza 100"
 
Wakati nipo kidato cha sita Iyunga Tech Mbeya kuna siku sikuingia prepo nimelala bwenini (Mkwawa) mara nasikia wahuni wanakimbizana... Tulikua na mwalimu mmoja wa nidhamu mnoko haswaa Mr. Ambonise akikudaka suspension si jambo la mjadala ndio alikua anaendesha zoezi la kudaka waliolala mda huo akiwa na baadhi ya viongozi wa wanafunzi.
Niliposhtuka kitu nilichokifanya nikavaa viatu halafu nikamwaga materials yote ya kwenye tranka chini, kisha nikaanza kupanga moja baada ya lingine, mwamba kufika pale nilipo na bonge moja la fimbo kuuliza unafanya nini? Nikajibu kuna notes natafuta hapa nilikua darasani nimerejea kuzifuata....akanicheki kwa muda akaniacha na kuelekea upande mwengine wa bweni kwa makubaliano nikimaliza niende darasani, alivyoondoka tu nikarudi kulala.
Aaah genius kweli 😹😹😹😹
 
O Level nilisoma Day, A Level Boarding Arusha, Hayo mambo ya Prepo nilikuwa siyajui, bac kila ikifika saa 2 Usiku mimi nilikuwa wa kwanza kwenye deka nalala [emoji23][emoji23]
Form 5 tulikiwa tunakaa na O Level, bac hadi form two wakawa wananicheka, braza mbona husomi.
[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Likewise sema mimi nilianza kuwa hivyo second. Term form 5
 
Hawa mafala wa ainahyo walinitesa Sana
Yani Cku ya kwanza kwenda class nakuta jamaa wanasolve trig Mara differentiation Mara integration aseeh jamaa wanabishana kinoma.. Nilijiona mjinga na nishafeli.. Niiwakariri wale jamaa na finally necta niliwaacha mbali Sana

Nakumbuka kuna siku nilikaa bwenini nikalia Sana.. Nikamkumbuka mama alivoniambiaga kuwa kuna Maisha magum duniani.. Ckuwahi kula marage ya wadudu.. Ugali mgumu wa Dona na kande la wadudu.. Mwanzoni nilikonda Sana.. Nilikuja nikazoea na nikatusua vizuri Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi o level ndo chakula kilikuwa kibovu 🤮🤮🤮🤢🤢
A level chakula kilikuwa sexy sana
 
Shule 1 kubwa ya vipanga ipo Eastern Zone. "wee mtoto mbona hufanani na kusoma tahasusi hii tena kwa shule hiii na shule uliyotoka mbna monekano wako tofauti" maneno ya makamu mkuu wa shule hapo ofisini kwake, nafany utaratibu wa usajiri 4m 5 sku ya kwanza nareport, nlijisikia vibaya mnoooh but nashukuru siku ya pili aliniita na kuomba msamaha na kunijenga kifikra. But changamoto kwa wanafunz wenzangu n nyingi ila nliondoka salama.
Haha mazinde juuu hiyo 😹😹
 
Kuna ticha wa kiume alikuwa ana tabia ya kuingia ndani ya mabweni ya watoto wa kike usiku bila hodi kusaka wasioenda prep. Siku madogo wa form two wakamsubiri aingie ndani ya dorm, walikuwa wameandaa bakora zao, waliokuwa vitanda vya juu wakamfunika mablanket, waliokuwa chini wakazima taa wakamtandika bakora vizuri kabisa. Kabla wenge halijamtoka ticha vizuri madogo wakakimbia wote wakamwacha peke yake bwenini. Mpaka kesho hajawahi kujua alipigwa na nani ila ikawa mwisho wa kuvamia madorm bila hodi. Kesho yake form two hawakuingia class walishinda wanatumikia adhabu za nje
 
Kuna ticha wa kiume alikuwa ana tabia ya kuingia ndani ya mabweni ya watoto wa kike usiku bila hodi kusaka wasioenda prep. Siku madogo wa form two wakamsubiri aingie ndani ya dorm, walikuwa wameandaa bakora zao, waliokuwa vitanda vya juu wakamfunika mablanket, waliokuwa chini wakazima taa wakamtandika bakora vizuri kabisa. Kabla wenge halijamtoka ticha vizuri madogo wakakimbia wote wakamwacha peke yake bwenini. Mpaka kesho hajawahi kujua alipigwa na nani ila ikawa mwisho wa kuvamia madorm bila hodi. Kesho yake form two hawakuingia class walishinda wanatumikia adhabu za nje
[emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Siku ya kwanza nilienda assembly na blanket...walimu walinielewa wanakiambia nisirudie tena Ila kesho yake nilirudi nalo nikapewa kazi ya kuchimba visiki ilinitoke jasho. ..niliifanya hio kazi wk nzima mpk nikazoea baridi. ..boarding ni noma sn
 
Kuogeshwa kwenye mto usiku.

Hiyo ilikuwa form 5. Nimetoka kusoma day O level, sijawahi experience life la boarding. Niliona shule chungu mnoo.

Shuleni pale palikuwa na mto usiokauka maji mwaka mzima. Wakulungwa/wajuba walikuwa wanakuja usiku wa manane ukiwa umelala, wanakubeba ivoivo ulivyolala, kama ulikuwa umelala uchi unaenda ivoivo. Wanakupeleka mtoni, wanakulazimisha uzame mzima mzima. Kisha wanakurudisha bwenini na kukuamrisha upande kitandani ivoivo.

Baada ya muda likatokea bonge moja la timbwili. Form 6 & Form 4 VS Form 5 & Form 3. Ilipigwa mechi kali mpaka FFU wakaja kutuliza ghasia.

Mwisho wa siku kuna wajuba walipeperushwa na shule hawakuimaliza. Hiyo ilikuwa kama laana maana mwaka mmoja nyuma kuna mwanafunzi mmoja wa shule jirani aliuawa shuleni hapo (Lyamungo vs Umbwe).
Unforgetable
Lyamungo shule yetu, mchepuo wa kilimo, pamoja, na fani nyingine,

Elimu tuipatayo, tuzingatie nidhamu, kwani, ndo kipimo chetu

Sisi vijana, hapa Lyamungo, elimu yetu tuitumie kulijenga taifa
 
Boarding bana dah ....
maisha ya kula kwa table dah, nikapangwa na wahuni full ubabe muda wa msosi[emoji23][emoji23][emoji23]
kumiliki illegal material....
Naingia prepo saa mbili nipe nusu saa ni sha horizontal [emoji23][emoji23][emoji23]
Eti "horizantal"[emoji23][emoji23]
 
Kuiba mahindi ya walimu usiku na kuchemsha juu ya dari, mchana kugoma kula sababu ya chakula kibaya.
Tukarudishwa nyumbani shule nzima, tukakaa home mpaka tukajisahau kama sisi ni wanafunzi. Wakati tunarudi shule tunakutana na mock ya mkoa wale wasongo wamepiga mapindi wakapasua sisi wengi tuliojua tulikua likizo tukapata marks zinazokaribia umri wetu. Ila ilipofika necta mkeka ulipinduka hatari.
Msuli wa zima moto ulikua mtamu sana.
Mwaka uliofuatia madogo wakaendeleza mtindo wetu wa mahindi, wakachoma bweni.
Ahaa! Kumbe sisi watu wa TAMISEMI tunafuatilia sababu za mabweni kuungua, kumbe ninyi mnachomea mahindi bwenini. Ngoja tupange mashambulizi[emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom