Unakumbuka Nini kuhusu maisha shule za bweni A level share kisa chako.

Unakumbuka Nini kuhusu maisha shule za bweni A level share kisa chako.

nakumbuka wakati naanza form1 nilikutana na njemba la form4 alinipa chupi za demu wake nizifue zilikuwa chupi 18 mixa zina damu za hedhi. ambae alikuwa mwanafunzi mwenzetu sababu shule ilikuwa mchanganyiko. baadae nilikuja kujiunga na wanafunzi wahuni nikanza kuvuta bangi.kuna siku nilingia canteen muda wa msosi nikakuta wanafunzi bado hawajafika na meza yetu ilikuwa no 7 yale mabeseni ya chuma mnagawana watu 6. ulikuwa ugali wa ndondo c nikakimbia nao mpaka kichakani kwenda kuuficha.nikaenda kuuvutia bangi.kurudi kichakani nikaukuta nikanza kupiga mdogomdogo kufika nusu nikashiba uliobaki nikautupa. soo likasanuka ctakaa nisahau azabu niliopata mwalimu alinipeleka uwanjani una majani ya kufa mtu mwalimu aliweka jiwe kwenye kombio akarusha pale lilipoishia ndo mwisho wa kufyeka sitakaa nisahau nilifyeka wiki nzima alaaniwe yule mwalimu mbwa yule
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mi nakumbuka nilikusanya assignment ambayo najua fikra sijaifanya ,nikamkabidhi teacher kwa story za hapa na pale akapokea. Kumbuka sijaifanya[emoji1787]
Nikaona sio kweli ,nikaingia ofisini nikachukua nikaondoka nayo
Baada ya matokeo

"[emoji849]Teacher assignment yangu vipi, unipi?!"
Teacher " Aisee sijui nikwambiaje ,unajua sielewi sijui imepotea au imedondoka nikaisomba na uchafu"
Mimi " [emoji17][emoji17]Basi jaza 100"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaaah ulitishaaa sanaaa.
 
Kuna ticha wa kiume alikuwa ana tabia ya kuingia ndani ya mabweni ya watoto wa kike usiku bila hodi kusaka wasioenda prep. Siku madogo wa form two wakamsubiri aingie ndani ya dorm, walikuwa wameandaa bakora zao, waliokuwa vitanda vya juu wakamfunika mablanket, waliokuwa chini wakazima taa wakamtandika bakora vizuri kabisa. Kabla wenge halijamtoka ticha vizuri madogo wakakimbia wote wakamwacha peke yake bwenini. Mpaka kesho hajawahi kujua alipigwa na nani ila ikawa mwisho wa kuvamia madorm bila hodi. Kesho yake form two hawakuingia class walishinda wanatumikia adhabu za nje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] walimkomeshaaaa.
 
Back
Top Bottom