wa marangu
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 259
- 407
nakumbuka wakati naanza form1 nilikutana na njemba la form4 alinipa chupi za demu wake nizifue zilikuwa chupi 18 mixa zina damu za hedhi. ambae alikuwa mwanafunzi mwenzetu sababu shule ilikuwa mchanganyiko. baadae nilikuja kujiunga na wanafunzi wahuni nikanza kuvuta bangi.kuna siku nilingia canteen muda wa msosi nikakuta wanafunzi bado hawajafika na meza yetu ilikuwa no 7 yale mabeseni ya chuma mnagawana watu 6. ulikuwa ugali wa ndondo c nikakimbia nao mpaka kichakani kwenda kuuficha.nikaenda kuuvutia bangi.kurudi kichakani nikaukuta nikanza kupiga mdogomdogo kufika nusu nikashiba uliobaki nikautupa. soo likasanuka ctakaa nisahau azabu niliopata mwalimu alinipeleka uwanjani una majani ya kufa mtu mwalimu aliweka jiwe kwenye kombio akarusha pale lilipoishia ndo mwisho wa kufyeka sitakaa nisahau nilifyeka wiki nzima alaaniwe yule mwalimu mbwa yule