Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una kumbukumbu sana aisee😃,.Chopeko na mnofu🤣🤣🤣
AhahhahaNimemsahau jina lake,. Ila nakumbuka aliiba nyama afu akajifanya jino linauma limevimba
Watu wakupenda nyamaChopeko na mnofu🤣🤣🤣
We bado mtoto sana kam ujui 😂La ngapi 😂
Ahaha au sioHuyo ndio mzee wa minyama mwenyewe ila sio maulid kitenge.
Ndio ndioAhaha au sio
Kuna mwenzake anaitwa 'haambiliki', siku moja alienda kwenye shamba la baba yake akawa anachezea mahindi kama nyani, baba yake alikuwa analinda mahindi yasiliwe na nyani baada ya Baba kuona mahindi yanatingishika alimpiga risasi haambiliki kwa kudhani ni nyani.Tuadhie vitoto vya 2000 huyu jamaa alikuwa anaitwa nani na mambo yake yalikuwaje😂😂😂😂
Watu wakongwe 😂😂CHOPEKO NA MNOFU 1996
Wakongwe mpo wengiNdio ndio
Ahahhaha na tulisoma nae uyoKuna mwenzake anaitwa 'haambiliki', siku moja alienda kwenye shamba la baba yake akawa anachezea mahindi kama nyani, baba yake alikuwa analinda mahindi yasiliwe na nyani baada ya Baba kuona mahindi yanatingishika alimpiga risasi haambiliki kwa kudhani ni nyani.
Sasa hivi Haambiliki' hatuko naye kwenye uso wa dunia (RIP).
Umenikumbusha zamaniAhahhaha na tulisoma nae uyo
KiasiWakongwe mpo wengi
Ahahah mtasema sasa watu mnapenda ujana 😂😂Kiasi