Fanton Mahal
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 1,597
- 4,661
Chopeko na mnofu , nafikiri nilikua darasa la pili au la 3 (98/99) nina miaka kama 8 hiv
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahhah mm nilianzaga kama wewe mama akawa ana nunua dawa za macho ana ninyunyuzia kila siku nikaacha nikawaambia nimepona mimi nilikuwa nawaonea wivu wanao vaa mewani na nyuma kuna kamba dahYule bwana alijua kunikomoa ,kwanza nilikuwa nikiwa pekee yangu nayavua maana nilikuwa nahisi bichwa linakuwa zito sioni vizuri ,plus macho kuuma Ila ndyo vile tena ningefanyaje na nipo kwenye mkakati wa kupata baiskeli ya kumtembelea kisa Ahmed Suzuki ameletewa baiskeli na aunt yake kutoka ughaibuni kaka?
Ahhahah aibu sana hii et jino linaaumaHuyu jamaa aliiba nyama, Mama yake akambonyeza mdomo ikaruka!! 😂
Ahahah ndio maanaAseeh sikumbuk...... Nadhani kipind tunaanza primary vilikuwa vinaelkea kutolewa
Waenga onyeeeChopeko na mnofu , nafikiri nilikua darasa la pili au la 3 (98/99) nina miaka kama 8 hiv
Wanatamani kuuliza ila wanajikaushaHizi hadithi St Kayumba wanazifahamu sana... wale wa yellow bus hawaelewi chochote..
sio dhambi kutokujuaHizi hadithi St Kayumba wanazifahamu sana... wale wa yellow bus hawaelewi chochote..
Tushakua wazee sasa, angalau hapa tunajichanya na nyie watoto kuenzi our past experiences, kitu ambacho ni ngumu kukifanya live huku mtaanWaenga onyeee
Acha kujifariji 😂😂😂 nikuhadithiesio dhambi kutokujua
KabisaTushakua wazee sasa, angalau hapa tunajichanya na nyie watoto kuenzi our past experiences, kitu ambacho ni ngumu kukifanya live huku mtaan
Kweli.sio dhambi kutokujua
nihadithie jinsi ya kupata hela, hizo story zitanisaidia nini mzee😅Acha kujifariji 😂😂😂 nikuhadithie
😂😂Ahahhah mm nilianzaga kama wewe mama akawa ana nunua dawa za macho ana ninyunyuzia kila siku nikaacha nikawaambia nimepona mimi nilikuwa nawaonea wivu wanao vaa mewani na nyuma kuna kamba dah
Msiba gani tena ndugu mbona sijafiwa nna muda?Ume acha baada ya kutangaza Ume pata msiba ehh😂😆
Chopeko na mnofuNimemsahau jina lake,. Ila nakumbuka aliiba nyama afu akajifanya jino linauma limevimba
Jinsi ya kupata pesa ni kujitoa akilinihadithie jinsi ya kupata hela, hizo story zitanisaidia nini mzee😅
AiseeWw inaonekana mtoto wa 2000
Ndiyo kaka....Ahahah ndio maana