Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #21
Duh watu wakongwe mnakumbukumbu ninyi hamja hudhuria shule mlisoma shulechopeko na mnofu.
n.k kuna hawafu mwenye nguvu, upatu shujaa, pamela na kipini, mwanamalundi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh watu wakongwe mnakumbukumbu ninyi hamja hudhuria shule mlisoma shulechopeko na mnofu.
n.k kuna hawafu mwenye nguvu, upatu shujaa, pamela na kipini, mwanamalundi...
Mimi sio mzee mkuu, bado navunja mifupaAhahah mtasema sasa watu mnapenda ujana 😂😂
vip JUMA NA ULEDI WAZEE WA KUJISIFIAchopeko na mnofu.
n.k kuna hawafu mwenye nguvu, upatu shujaa, pamela na kipini, mwanamalundi...
Hahaha ilikuwa miaka ya 80 hukoChopeko na mnofu🤣🤣🤣
Ahahhaha wewe ukikamatwa ukafinywa vizuri utasema tu 😂Mimi sio mzee mkuu, bado navunja mifupa
Tupo nae hapa jirani na ameoaJamani hiv Juma na Uledi wapo wapi sahv maana walikuwa wazee wa kujisifia.
Au sio wachoyo wana mwakilishi wao 😂Mimi namkubali chibwaye mchoyo, huyu mwamba ni hatari 😆😂
Dah broo, hicho kitabu naki Kumbuka, si imo hadi Ile story ya Jamaa wezi.
Mimi nifinywe? Umerogwa niniAhahhaha wewe ukikamatwa ukafinywa vizuri utasema tu 😂
Nadhani kiongozi... kitambo sana...Dah broo, hicho kitabu naki Kumbuka, si imo hadi Ile story ya Jamaa wezi.
wali Iba sanduku la nyoka 😂
Bado ujasema 😂Mimi nifinywe? Umerogwa nini
Wakongwe oyeeeChopeko na mnofu 1999-Afu kuna Tola mla gizani wali trend sana kidumu na mfagio!
Hahahaha Mimi mdg mkuu Niko kwenye 52, 62, 72, hapo 😂We bado mtoto sana kam ujui 😂
Ahahha kumbe ila umesahau iko kitabuHahahaha Mimi mdg mkuu Niko kwenye 52, 62, 72, hapo 😂