Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #41
Ila yeye kanizidiTabia kama zako huyo kijana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila yeye kanizidiTabia kama zako huyo kijana
Kuli kuwa Kuna Ile ya la la la, mfalme aliye umwa na nyuki.Nadhani kiongozi... kitambo sana...
Hio iliitwa Sadiki na SIkiri au CHitemo kama sijasahau...
kumbukumbu imenipotea kama inakuja vile..hv wale walikuwa nyuki au alitegewa Nge mfukoniKuli kuwa Kuna Ile ya la la la, mfalme aliye umwa na nyuki.
Hahaha, long time kweli.
Usije uka andika hili neno ukiwa ume lewa, ni ushauri tu 😆Mimi nifinywe? Umerogwa nini
kumbukumbu imenipotea kama inakuja vile..hv wale walikuwa nyuki au alitegewa Nge mfukoniKuli kuwa Kuna Ile ya la la la, mfalme aliye umwa na nyuki.
Hahaha, long time kweli.
Na ushauri wako nafuata japo nshaacha pombe.Usije uka andika hili neno ukiwa ume lewa, ni ushauri tu 😆
Ni nge kakakumbukumbu imenipotea kama inakuja vile..hv wale walikuwa nyuki au alitegewa Nge mfukoni
Kabisa mkuu...Kuli kuwa Kuna Ile ya la la la, mfalme aliye umwa na nyuki.
Hahaha, long time kweli.
Ume acha baada ya kutangaza Ume pata msiba ehh😂😆Na ushauri wako nafuata japo nshaacha pombe.
Pamoja Sana, chess una fatilia??Kabisa mkuu...
hapo mwalimu akatunga igizo ili watu waelewe zaida,, nikapewa nafasi ya ufalme,, ilipofika kusema "lala laaa" watu vicheko🤣Kuli kuwa Kuna Ile ya la la la, mfalme aliye umwa na nyuki.
Hahaha, long time kweli.
Ma dr wa macho waongo wantaka mewani zao ziuzikeMwalimu Gatu alikuwa kashika hatamu katika kutusimulia hii hadithi ni kipindi hiko .
Nilikuwa na majanga nyumbani muda wote najiliza kwa kusema macho yanauma kumbe nataka baiskeli ,Basi nikanunuliwa miwani baada ya macho kuwa yanatoa machozi muda wote kumbe najiliza .
Alaaniwe daktari yule aliyenipima akasema nina uono hafifu .
Sasa siku hiyo stori imesimuliwa vizuri na mwalimu bado inaendelea si nikamuandikia barua Zaifati kikonyo ati nampenda Sana ,weeee akatishia kwenda kunishitaki ,Basi nikapasua miwani nikawa narudi nyumbani napepesuka Kama mlevi eti macho hayaoni kumbe ni vile nataka nionewe huruma na Zaifati asipeleke barua ofisini yakanikuta .
Hivyo wakati wa kusimuliwa kisa Cha huyo bwana kwenye picha ,mwenzenu nilikuwa napitia magumu nyumbani na shuleni .😂😂
Hapana mkuu, hata kucheza sifahamu.Pamoja Sana, chess una fatilia??
Yule bwana alijua kunikomoa ,kwanza nilikuwa nikiwa pekee yangu nayavua maana nilikuwa nahisi bichwa linakuwa zito sioni vizuri ,plus macho kuuma Ila ndyo vile tena ningefanyaje na nipo kwenye mkakati wa kupata baiskeli ya kumtembelea kisa Ahmed Suzuki ameletewa baiskeli na aunt yake kutoka ughaibuni kaka?Ma dr wa macho waongo wantaka mewani zao ziuzike
pamoja mkuuHapana mkuu, hata kucheza sifahamu.
Ww inaonekana mtoto wa 2000Una kumbukumbu sana aisee😃,.
Mie hata jina nimeshindwa kumkumbuka
Afadhali nyinyi, mimi sija Soma shule ila nili kisoma Kama starehe tu.hapo mwalimu akatunga igizo ili watu waelewe zaida,, nikapewa nafasi ya ufalme,, ilipofika kusema "lala laaa" watu vicheko🤣
wakanitunga hilo jina la mfalme 😅, shule nliiona chungu hasa akiingia mwl wa kiswahili,, baati nzuri nikaamishwa shule, nikafurai na jina likaishia hapo,
Aseeh sikumbuk...... Nadhani kipind tunaanza primary vilikuwa vinaelkea kutolewaAhahha kumbe ila umesahau iko kitabu