Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Una kumbukumbu sana aisee๐,.Chopeko na mnofu๐คฃ๐คฃ๐คฃ
AhahhahaNimemsahau jina lake,. Ila nakumbuka aliiba nyama afu akajifanya jino linauma limevimba
Watu wakupenda nyamaChopeko na mnofu๐คฃ๐คฃ๐คฃ
We bado mtoto sana kam ujui ๐La ngapi ๐
Ahaha au sioHuyo ndio mzee wa minyama mwenyewe ila sio maulid kitenge.
Ndio ndioAhaha au sio
Kuna mwenzake anaitwa 'haambiliki', siku moja alienda kwenye shamba la baba yake akawa anachezea mahindi kama nyani, baba yake alikuwa analinda mahindi yasiliwe na nyani baada ya Baba kuona mahindi yanatingishika alimpiga risasi haambiliki kwa kudhani ni nyani.Tuadhie vitoto vya 2000 huyu jamaa alikuwa anaitwa nani na mambo yake yalikuwaje๐๐๐๐
Watu wakongwe ๐๐CHOPEKO NA MNOFU 1996
Wakongwe mpo wengiNdio ndio
Ahahhaha na tulisoma nae uyoKuna mwenzake anaitwa 'haambiliki', siku moja alienda kwenye shamba la baba yake akawa anachezea mahindi kama nyani, baba yake alikuwa analinda mahindi yasiliwe na nyani baada ya Baba kuona mahindi yanatingishika alimpiga risasi haambiliki kwa kudhani ni nyani.
Sasa hivi Haambiliki' hatuko naye kwenye uso wa dunia (RIP).
Umenikumbusha zamaniAhahhaha na tulisoma nae uyo
KiasiWakongwe mpo wengi
Ahahah mtasema sasa watu mnapenda ujana ๐๐Kiasi