Unakuta Mwanaume anavuta shuka muda huu, Wenzie tunaponda maisha bar

kumbe we jamaa ni mshamba aisee.

Kahama pekee kuna ndinga za kufa mtu, unadhani hizo premio za walimu na madaktari wa huko dar..... Mzeee kahama kuna hela
Kusema kahama kua na premio nyingi ni ushamba??
Kwahyo nikisema Kahama kuna magari makali ndio ujanja..
Ujanja wa mtu unapimwa kwa kusifia jambo??
 
Nipo home Budget leo hakuna live band NEMC wamewapiga pini. Niko najikumbushia mkanda wakomando john na tumaji tupo natuvuta kutoka freezer. Na mi mshamba?
Hivi live band zimezuiwa? Ndiyo maana kumekuwa kimya. Hakuna makelele kabisa, ila sehemu nyingi walizidi mpaka saa 11 alfajiri. Japo ni mpenzi wa live band bora tupumzike kidogo.
 
"A black man is always suspected".. kweli kabisa
 
kumbe we jamaa ni mshamba aisee.

Kahama pekee kuna ndinga za kufa mtu, unadhani hizo premio za walimu na madaktari wa huko dar..... Mzeee kahama kuna hela
😅😅😅jamaaumewachana. Walimu uwezo wa premio umewapa heshima hawana.
 
Nyie mnaoongoza kupiga picha ndo wale wazee wa ofa kazi kujichekesha na kuibua stori za abunuwas ili anaekununulia asikuchoke

mzee mm siyo kama ww jobless,sawa?

Sina shida kama unavyo dhani badala ya kuleta makasiriko lete kende hizo hapa nkuchape na bia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…