Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuvumiliane tu kwakweli maana unachokitaka kukipata ni ngumuNi kweli kabisa hata sisi yanatukuta unajikuta unachat na mwanaume dah hela hana sana sana akijitahidi ana simu na laptop. Ukimkataa unasemwa eti unabagua sana, yaan tuendelee kuvumiliana.
Nakazia, kitaani tupo wengi 😂, kwanini ubeti humu😂😂😂Mbona mnahangaika sana ilhali kitaa unapishana nao kila siku?! Njoo hata kitaani kwetu basi
👊👊👊Nakazia, kitaani tupo wengi 😂, kwanini ubeti humu😂😂😂
Tatizo Mtaan papuchi kupewa tunazungushwa sana....Bora kubet tuNakazia, kitaani tupo wengi 😂, kwanini ubeti humu😂😂😂
Shikamoo Mama!Tongoza at ur own risk