Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Kuna moja humu nililiona live yaan ni bora ningekutana na shetani kuliko huyo mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana. Vaa miwani ikibidi. Huyo ni Elcommandante Fidel Castro akiwa bado kijana.Ni Che yule mkuu
Siyo vizuri hivyo kamanda. Sote tu binadamu tena tulioumbwa kwa namna ya ajabu. Labda kama huyo mama alikutendea mambo ya kishetani na huongelei umbo lake ulivyomwona ulipokutana naye....Kuna moja humu nililiona live yaan ni bora ningekutana na shetani kuliko huyo mama
Wenye TECNO mbona tunadharauliwa sana jamani? TECNO mbona simu ya wajanja hii? Mtuwache na trouble zenu aisee [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]Tena simu yenyewe tecno.
Aaa wapi. Sema nikutumie psychological profile yako uone nilivyofikia hitimisho langu. Uko anda thete wewe Kasie unazugaga watu tu eti uko mhenga....Ngoja nikuitie huyu akuhakikishie kunyanzi zangu....
Ati sukari Watu8, Kasie ni mbichii au Kigagula Matata?
Mhakikishie Shimba.
😀😀 Hizo simu jamaa humu anadai simu yake ina 8gb memory.Wenye TECNO mbona tunadharauliwa sana jamani? TECNO mbona simu ya wajanja hii? Mtuwache na trouble zenu aisee [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Yeye alidhani 8GB ndo kikomo cha simu zote ama? Huyo naye alichemsha [emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3] Hizo simu jamaa humu anadai simu yake ina 8gb memory.
Anashangaa anaonyeshwa kuna file lina gb 64+[emoji3]
Kweli inawezekana ikawa kama usemavyo mkuu. Yaweza kua Fidel Castro huyo. Ila mimi ni admirer wa kazi za wote hao wawili. Thanks for picturesHapana. Vaa miwani ikibidi. Huyo ni Elcommandante Fidel Castro akiwa bado kijana.
Che ni mwingine kabisa aisee....
View attachment 1480590
Naunga mkono hojaWenye sauti tamuu ni wabaya hakkii
Hawa jamaa kwa kweli ilikuwa kombinesheni hatari. Waliaminiana sana japo kuna wengine wanaodai kuwa kama Che angekubali kubakia Cuba si ajabu wangesalitiana huko mbele ya safari kama ambavyo imetokea kwa maswahiba wengi katika duru za siasa na mapambano.Kweli inawezekana ikawa kama usemavyo mkuu. Yaweza kua Fidel Castro huyo. Ila mimi ni admirer wa kazi za wote hao wawili. Thanks for pictures
Halafu alikua hana tamaa ya madaraka wala mali. Nadhani aliamua kuacha uwaziri wa viwanda Cuba ili akajiunge kwenye mapambamo ya guerilla ya Chile kama sikosei!Hawa jamaa kwa kweli ilikuwa kombinesheni hatari. Waliaminiana sana japo kuna wengine wanaodai kuwa kama Che angekubali kubakia Cuba si ajabu wangesalitiana huko mbele ya safari kama ambavyo imetokea kwa maswahiba wengi katika duru za siasa na mapambano.
Kuna documentary moja inaonyesha jinsi Che alivyosalitiwa mpaka akakamatwa na hatimaye kupigwa risasi na CIA inasikitisha sana. Wamarekani siyo watu aisee.
Braza wangu unajua vyenye ninavokuwaga na utani hapa ..Siyo vizuri hivyo kamanda. Sote tu binadamu tena tulioumbwa kwa namna ya ajabu. Labda kama huyo mama alikutendea mambo ya kishetani na huongelei umbo lake ulivyomwona ulipokutana naye....
Aaa wapi. Sema nikutumie psychological profile yako uone nilivyofikia hitimisho langu. Uko anda thete wewe Kasie unazugaga watu tu eti uko mhenga....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nin hii mam kubwa sijaelewa lol.Harikaa washee....
Watidheee...!!
Hethina mburi, shighana nao...
Kwan' wanmany'jee...!?? Imi ni mwathuu wa Chome....
Wataka picha, wena matunduu..!!??
Mbuutaaa!!.
K'Matata.
HahaWenye sauti tamuu ni wabaya hakkii
Hahaha hahaha aseeKuna moja humu nililiona live yaan ni bora ningekutana na shetani kuliko huyo mama
Dah 😂Wenye sauti tamuu ni wabaya hakkii